mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Hapo ndo nakumbuka mistari ya wimbo wa Ney wa Mitego. 'Wajinga ndo wanakimbilia kwenye siasa'Hata viongozi wetu wengi wana matope vichwani mwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo nakumbuka mistari ya wimbo wa Ney wa Mitego. 'Wajinga ndo wanakimbilia kwenye siasa'Hata viongozi wetu wengi wana matope vichwani mwao
Bandari ni suala la Muungano, Kwani Zanzibar hawataki kufaidi? Hoja inarudi pale pale,kwa Nini bandari za Tanganyika tu?hiyo ni hoja ya kitoto kabisaa, eti kwa kuwa znz hawajawekeza basi sisi bara tusikubali...ebo! sasa hiyo ni hoja ama utoto?! kwa hiyo kila kinacho wekezwa bara lazima kwanza znz nao wakubali kwanza?! hiyo ni hoja ya kitoto, watu wazima hatuwezi kupoteza muda kwenye hoja hiyo.
kilichopo kwa sasa na "Makubaliano" sio "makataba" hivyo mikataba itakapo sainiwa basi vipengele vya msingi vitazingatiwa.
Makubaliano au mkataba? Wewe unaona ni kitu gani? Mtajikanyaga sana, Tulia kule bungeni kasema ni mkataba, Chongolo anasema makubaliano, Kinanaa anasema mkataba, we mbugila unasema ni Nini?hiyo ni hoja ya kitoto kabisaa, eti kwa kuwa znz hawajawekeza basi sisi bara tusikubali...ebo! sasa hiyo ni hoja ama utoto?! kwa hiyo kila kinacho wekezwa bara lazima kwanza znz nao wakubali kwanza?! hiyo ni hoja ya kitoto, watu wazima hatuwezi kupoteza muda kwenye hoja hiyo.
kilichopo kwa sasa na "Makubaliano" sio "makataba" hivyo mikataba itakapo sainiwa basi vipengele vya msingi vitazingatiwa.
Umesahau kuwa tuliwahi kuwaterea, mwekezaji mkristo, rais mkristo na, waziri mkristo?.Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.
Hata kama kuna jambo baya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!
Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.
Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.
Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Upuuzi mtupu mkuu fazili.Watu wanaogopa ugaidi uliofichwa ndani ya Uislamu.
Ule mkutano wenu wa bulyaga Temeke watu waliususia baada ya kugundua akili iliyopo nyuma ya wote wanaopinga uwekezaji wa DP World.Miaka yote haya mambo ya udini hujitokeza pale anapotokea mtawala dhaifu, asiyeweza kuenenda vyema na majukumu yake ya kiofisi, hasa anapoanza kuharibu kwa ujinga wake mwenyewe, na nchi kuanza kumshinda.
Ndipo wanajitokeza wajinga wenzie wa imani yake na kuanza kumtetea, huwa wanafanya hivyo kwasababu wamezoea kuchanganya hisia na facts, kwangu ni vitu viwili ambavyo haviendani kabisa, kwani suala la imani na ubovu wa mkataba, ni mambo mawili tofauti.
CCM nao, kwa kutambua huo ujinga wao, huanza kuitumia karata ya udini pale wanapoona utetezi wao mwingine wote tumegoma kuusikiliza, hapo ndipo hugeukia kwenye dini kama karata yao ya mwisho, ila bahati mbaya kwao this time, kwenye hili suala la bandari zetu watanganyika, udini wao nao umegoma.
Hapa niwaase wale jamaa ambao hujidai kuogopa kujadili jambo lenye muelekeo wa kidini, wakijiona wastaarabu sana, kwa kuhofia kuwakwaza wa imani tofauti.
Watambue kwa kufanya kwao hivyo, ndipo wanawapa CCM na uhuni wao ushindi, jambo lolote lenye muelekeo wa kidini lazima lijadiliwe kwa umakini, penye ukweli usemwe with facts, pasiwepo unafiki, tusifichane. Muhimu heshima iwepo mwiongoni mwetu, ili siku nyingine CCM washindwe kuitumia hii karata yao pendwa ya turufu kutupoteza.
Sasa hapa ni kuamua, ama kusema kweli ituweke huru, tujikomboe kifikra, na tulikomboe taifa, au tufichane kwa hofu ya kuogopa dini zetu hivyo tusiambizane ukweli, ili CCM iendelee kutuchezea milele kwa kujua na kuutumia udhaifu wetu, kwa maslahi yao, chaguo ni letu..
So maaskofu usoma vifunguvya mkataba vibovu,nao wangekuwa wanatufafanulia vifungu ili tuelewe we una Baki kusema nimzuri,tutapata faida nyingi, ajauzwa ahaa niutetezi gani up,chambua vifungu ,kwani issa shivji no mkristo mbona katufafanulia vifungu na tumemuelewaUzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?
Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Ni chuki na ukosefu wa exposure unaosumbua baadhi yetu.Kwaiyo izo nchi zaidi ya 90 DP World anazo operate zina ugaidi gani mbona kama chuki tu?
Tusiwe na roho za kutu.
Bandari za Zanzibar siku nyingi sana zimeshapata muwekezaji mwingine.Hakuna kutoka kwenye reli, bandari zetu haziuzwi kholela, kama uwekezaji huo una faida bandari za Zanzibar nazo ziwepo.
Akili za kishamba ndio hizi hapa. USA na UK hawa jamaa wamewekeza pia, na huko wana historia kama ya Tanzania?.Mtu aliyewafanya babu zetu kuwa watumwa kwa ukatili mkubwa leo hii tunawakumbatia eti watatusaidia, kweli?
Watashindana, hawatashindaNi rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.
Hata kama kuna jambo baya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!
Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.
Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.
Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Shehe Ponda alivyotunguliwa Risasi Maaskofu walipiga kelele za kukemea Bakwata walikaa Kimya
Msamaria Mwema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]