Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Habari wakuu

Kuna binti mmoja tulikua kwenye mahusiano kwa takribani mwaka na visehemu,bahati mbaya sana tukaachana tar1/3 mwaka huu na tukatakiana maisha mema fresh fresh.

Sasa cha ajabu zinaweza zikapita ata wiki3 atanitxt na kunilaumu kwa nini namtenga sijui simtafuti na lawama kibao[emoji3]

Mfano punde tu katoka kunitxt na lawama zile zile na hapo alinicheki tena tar17/3.

Hivi mtu wa aina hii nikumjibu tu vibaya au nifanyaje wakuu? kwa ambao washakutana na hizi changamoto.

Nikiri wazi nampenda sana ila sitaki kabisa kurudisha haya mahusiano na nnapambana sana nimtoe moyoni ila kila nnapoanza kumsahau ndio anajitokeza.

1619865454478.png

 
Mwanamke anapenda taratibu na Anaacha taratibu pia, anachotaka kwako ni kumsaidia kumove on, msaidie ili aondoke maishani mwako taratibu hatimaye ataondoka mazima,

Ikifikia hatua ya kuondoka mazima hata akiiona sms yako hashtuki tena.
 
Wewe akikutumia text mjibu fresh tu yaan kama huna kinyongo nae siku isiyo na jina utasikia akianza Kukuuliza uko api ukiambia tu uko ghetto atakuambia nakuja unapewa Mzigo kiulainiiii hawa watu ukiwaonyesha kwamba umependa sana lzm wakuletee poz unaweza kaa ata miez bila kula tunda mzee
 
Aliwahi nambia wanaume wanaomtaka ni wengi sana hasa si awapelekee wamkune
Hii kauli naichukia haswa na nitaendelea kuichukia, na mtu/mwanamke atakaepita mbele yangu kwa kauli hii sitaangalia una msaada gani kwangu ama umenisaidia nini. Muhimu piga chini mkuu, na ukitumiwa sms usisome maana unaweza kupata huruma, ukiona sms yake DELETE haraka kabla ya kuisoma, tafuta kitu/vitu vya kukuweka bize. Futa namba yake kichwani mwako, futa mawazo ya kumuwaza kila mara...!
 
Hii kauli naichukia haswa na nitaendelea kuichukia, na mtu/mwanamke atakaepita mbele yangu kwa kauli hii sitaangalia una msaada gani kwangu ama umenisaidia nini. Muhimu piga chini mkuu, na ukitumiwa sms usisome maana unaweza kupata huruma, ukiona sms yake DELETE haraka kabla ya kuisoma, tafuta kitu/vitu vya kukuweka bize. Futa namba yake kichwani mwako, futa mawazo ya kumuwaza kila mara...!
Yani kaka ni hatari
Nimepitia mengi sana kujitoa kwake na Jf imechangia sana mimi kunifanya niwe mpya.
 
Wewe akikutumia text mjibu fresh tu yaan kama huna kinyongo nae siku isiyo na jina utasikia akianza Kukuuliza uko api ukiambia tu uko ghetto atakuambia nakuja unapewa Mzigo kiulainiiii hawa watu ukiwaonyesha kwamba umependa sana lzm wakuletee poz unaweza kaa ata miez bila kula tunda mzee

Yaani nikae miezi sijapewa papuchi halafu niseme nina demu!?,yaani ikipita wiki sijapewa mzigo huwa nasahau kama nipo kwenye relationship
 
Yaani nikae miezi sijapewa papuchi halafu niseme nina demu!?,yaani ikipita wiki sijapewa mzigo huwa nasahau kama nipo kwenye relationship
Kabisa kaka,yani mbususu yake kuipata ni kwa manati sana mpaka uiundie mkakati.

Na hata tulipoachana nlimwambia wazi kwamba nataka mtu ambae yuko commited na mimi haijalishi anafaidika nini.
 
Back
Top Bottom