Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaBalance shobo
Anataka non-sexual attention and validation..Tafuta maana ya neno "male orbiter" utajua kwanini anataka umtafute.
Dah! nimepitia kakaTafuta maana ya neno "male orbiter" utajua kwanini anataka umtafute.
SureAnataka non-sexual attention and validation..
Hamna huyu ubinafsi unamsumbua tu yeye afaidike na uwepo wangu afu me niambulie sifuriUnakijua kitu kinaitwa mazoea wewe?ni kama ulevii hivi ukimzoea sana mtu
Kwa jinsi ninavyojuwa wanawake ikitokea mmeachana na bado anaendelea kukutafuta kwa ubaya Au uzuli tambua ya kwanza kuna vita kubwa inakaribia kuanza kati ya ww na huyo mwanamke ni vita ambayo mwanamke anakuja kulipa kisasi ambacho hutokuja kumsahau maishani mwako kwa kifupi kipindi tegemea mambo yafuatayo.....Habari wakuu
Kuna binti mmoja tulikua kwenye mahusiano kwa takribani mwaka na visehemu,bahati mbaya sana tukaachana tar1/3 mwaka huu na tukatakiana maisha mema fresh fresh.
Sasa cha ajabu zinaweza zikapita ata wiki3 atanitxt na kunilaumu kwa nini namtenga sijui simtafuti na lawama kibao[emoji3]
Mfano punde tu katoka kunitxt na lawama zile zile na hapo alinicheki tena tar17/3.
Hivi mtu wa aina hii nikumjibu tu vibaya au nifanyaje wakuu? kwa ambao washakutana na hizi changamoto.
Nikiri wazi nampenda sana ila sitaki kabisa kurudisha haya mahusiano na nnapambana sana nimtoe moyoni ila kila nnapoanza kumsahau ndio anajitokeza.
Vita ya nini wakati sijabaki na chake wala yeye hajabaki na changuKwa jinsi ninavyojuwa wanawake ikitokea mmeachana na bado anaendelea kukutafuta kwa ubaya Au uzuli tambua ya kwanza kuna vita kubwa inakaribia kuanza kati ya ww na huyo mwanamke ni vita ambayo mwanamke anakuja kulipa kisasi ambacho hutokuja kumsahau maishani mwako kwa kifupi kipindi tegemea mambo yafuatayo.....
1.kuombwa msamaha
2.ombi la kurudiana
3.ukishakubali hapo ndipo Safari yako ya kifo itakapoanza kutengenezwa na hapo hujajua ni kifo cha aina gani
"Nyumba uliyoizoea kuiacha ina tabuu" SSHUnakijua kitu kinaitwa mazoea wewe?ni kama ulevii hivi ukimzoea sana mtu
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona umepanikiVita ya nini wakati sijabaki na chake wala yeye hajabaki na changu
Haaahaaaahaaa [emoji16][emoji16] eti ni vita...acha kumtisha banaKwa jinsi ninavyojuwa wanawake ikitokea mmeachana na bado anaendelea kukutafuta kwa ubaya Au uzuli tambua ya kwanza kuna vita kubwa inakaribia kuanza kati ya ww na huyo mwanamke ni vita ambayo mwanamke anakuja kulipa kisasi ambacho hutokuja kumsahau maishani mwako kwa kifupi kipindi tegemea mambo yafuatayo.....
1.kuombwa msamaha
2.ombi la kurudiana
3.ukishakubali hapo ndipo Safari yako ya kifo itakapoanza kutengenezwa na hapo hujajua ni kifo cha aina gani
Sanaa"Nyumba uliyoizoea kuiacha ina tabuu" SSH
Kwa kuwa hulka yangu sio ya kumkaushia mtuMoja ya sifa kuu ya mwanaume ni msimamo.....ukishafanya MAAMUZI unatakiwa kusimamia maamuzi yako......na hapa ndipo wanapoteleza wanaume sana na kuonekana wadhaifu.....
Yeah! u much know mwingi sanaHuyo mwanamke sitaki nataka.
[emoji2]Amna sijapanic ila najiuliza kama ni hivyo jamaa alivosema kwanini yawe hivo wakati sijamharibia maisha yake kivyovyote[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona umepaniki