Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Mwanamke ambaye anaweza ishinda mitihani ya Dar ni wa kumuheshimu sana. Yani mwanamke hata awe na misimamo kiasi gani akija Dar lazima atafunwe na wajuba 😂😂😂
Nilikua staki kuchangia zaidi ya kusoma ila kusema ukweli

mwanamke alie dar akashinda mitihani ya hili JIJI mimi nampa Vyeo vyotee....
 
Mimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini



Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
Uyo mzee wako kweli kashika dini Ila haifuati dini...
 

Mkuu acha hizo,mimi nina mchumba msichana wa Rombo tabia swaaafi wazazi pia wamenielewa sana.
 
Pole sana
 
Ukiona hujakiwa mahali sio fungu lako huyu,yani tunaita vyasaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…