Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

”Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao."

Kwanza nikutakie pole sana!

Pili, nikupe hongera kwa kudumu penzini na Chagaboy kwa miaka mitano.

Tatu, ninashangaa sana uliwezaje kudumu penzini miaka mitano na mtu ambaye unadai kuwa kwao ni wabaguzi.

Hivi, ulikuwa kipofu kiasi gani?

Mimi maoni yangu ni kwamba, wewe ndiye mwenye makosa kwa sababu ulikubali kutambulishwa kienyeji na huko Uchaggani wakakusoma kienyeji, wakakuchoka kienyeji kwa tabia zako za kienyeji maana ulijirahisisha kienyeji, tena inawezekana hata ulienda kujifulisha na kujipikisha kienyeji wakati hutambuliki rasmi huko.

Halafu, kwa kuwa ulikaa nao miaka mitano+ ni kwanini ulichukua muda kuvumilia Kama kweli ulibaguliwa?

Then, Kama ulisikia na au ulipata taarifa kwamba Wachaga hawapendi makabila mengine ni kwanini ung'ang'anie penzi la Kichagga?

Mimi niwape tu ujumbe humu na wewe mleta mada. Siyo kweli kwamba Wachaga hawaoi makabila mengine, ila ndugu zangu Watanzania, Wachaga tuna tamaduni tofauti kidogo na jamii nyingine, kwa hiyo, kuoana sisi kwa sisi huwa inashauriwa kwa sababu ndoa nyingi na makabila mengine hazidumu kwa sababu za kitamaduni!

Poleni nyote mnaosumbuka na mahusiano typical ya aina hii; kinachowasumbua siyo ukabila wa Wachaga ila ni tamaduni zenu ambazo haziivi na Wachaga na siyo vinginevyo.

Sijasema Kama una mahusiano na Mchagga muacheni, isipokuwa kama haupo tayari kufuata mila na desturi za Kichagga, kaa pembeni na upishe kwa amani maana hamtafika popote.

Pongezi kwenu mlionielewa!

Wachaga tuna asili ya Kiyahudi. Msamo wa Kichagga hauyumbi kienyeji!
 
Nani aanataka kuchanganya damu na Hawa majambazi wakichaga... Washirikina KILA December Ni kuloga wenzao na kutoa kafara... Waowane wenyewe kwa wenyewe.....wakaendeleze vizazi vya walevi, walozi na wezi.

Hili povu ni la kiwango cha omo.

Yaani wivu fulani wa Kikabila.

Aliye juu hashushwi kwa wivu. Tufuta hela, panga mipango maisha yaende.

Huwezi kuchanganya damu na Mchagga maana ulishaachana naye maana hamkuivana kitabia.

Una inferiority complex deep inside you!
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambulika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli huwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.





Na wewe umeenda kuchokoza huko angekuacha mwaka mzima kwenda kutafuta hela ungevumilia! Ungekuwa na pesa wangenywea
 
Brother we Acha tu...yaan napataga hasira wkt mwngne nikiona cmu ya mshua halafu ukipokea anaanza oooh wadogo zako wamerudishwa Ada,mara ooh wadogo zako cjui itakuaje leo chakula. Huwa nampa tu kwakua ndo Baba yangu na sina mwingine...Ila nawachukia kiukweli.
Bamkubwa huwa ananipigia ooh uje utafute mke huku uchagani namuitikia tu Ila KAMWE CTOTHUBUTU KUOA MCHAGA. Na nikipata demu wa kichaga huwa namchakata ki hardcore Hadi huwa wanasema nawakomoa Ila hawajui lililopo moyoni mwangu

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

Kwa hiyo humpendi baba yako kwa kuwa ni Mchagga!

Interesting!
 
”Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao."

Kwanza nikutakie pole sana!

Pili, nikupe hongera kwa kudumu penzini na Chagaboy kwa miaka mitano.

Tatu, ninashangaa sana uliwezaje kudumu penzini miaka mitano na mtu ambaye unadai kuwa kwao ni wabaguzi.

Hivi, ulikuwa kipofu kiasi gani?

Mimi maoni yangu ni kwamba, wewe ndiye mwenye makosa kwa sababu ulikubali kutambulishwa kienyeji na huko Uchaggani wakakusoma kienyeji, wakakuchoka kienyeji kwa tabia zako za kienyeji maana ulijirahisisha kienyeji, tena inawezekana hata ulienda kujifulisha na kujipikisha kienyeji wakati hutambuliki rasmi huko.

Halafu, kwa kuwa ulikaa nao miaka mitano+ ni kwanini ulichukua muda kuvumilia Kama kweli ulibaguliwa?

Then, Kama ulisikia na au ulipata taarifa kwamba Wachaga hawapendi makabila mengine ni kwanini ung'ang'anie penzi la Kichagga?

Mimi niwape tu ujumbe humu na wewe mleta mada. Siyo kweli kwamba Wachaga hawaoi makabila mengine, ila ndugu zangu Watanzania, Wachaga tuna tamaduni tofauti kidogo na jamii nyingine, kwa hiyo, kuoana sisi kwa sisi huwa inashauriwa kwa sababu ndoa nyingi na makabila mengine hazidumu kwa sababu za kitamaduni!

Poleni nyote mnaosumbuka na mahusiano typical ya aina hii; kinachowasumbua siyo ukabila wa Wachaga ila ni tamaduni zenu ambazo haziivi na Wachaga na siyo vinginevyo.

Sijasema Kama una mahusiano na Mchagga muacheni, isipokuwa kama haupo tayari kufuata mila na desturi za Kichagga, kaa pembeni na upishe kwa amani maana hamtafika popote.

Pongezi kwenu mlionielewa!

Wachaga tuna asili ya Kiyahudi. Msamo wa Kichagga hauyumbi kienyeji!
Huyu mchaga wake Ni Mshenzi TU...Kama alikua anajua fika kwao hawataki wasio wachaga.. kwanini awe nae kwenye mahusiani ya muda wote huu...

Hi pia Ina apply kwenye Dini...mtu anajua kabisa kwao Ni walokole hatakiwi kuwa na Dini nyingine...alafu bado anaenda kwa hio Dini...baadae eti kwetu hawataki Dini nyingine...

Watu waache kupotezea Watu muda wote wake kwa waume.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] comments za humu bwana,kila mtu anajikuta ni victim wa Mchagha,kama hakuibiwa alidharauliwa kama hakudharauliwa alidhulumiwa share kwenye biashara alimradi kila mtu analalamika!!!

By the way yote hayo halijatokea bado duniani kabila lisiloyafanya,kama wizi kila mtu ni mwizi kama dharau kila mmoja ana dharau even dhulma kila mtu ni mdhulumishi ni vile hujaingia bado kwenye 18" zao tu.kingine tunasahau tabia ya mtu mmoja isiwe ndo sababu kuu ya kuhukumu kundi zima mbona nina rafiki zangu nawajua wameowa Mbeya,yupo brother kiongozi wangu town enzi nakua ameowa Mmwera kutoka kusini miaka 13 sasa wana maisha likizo pasaka wataaga wanaenda Mtwara Christmas utasikia wapo kaskazini.

Well uchaghani kapo kakikundi (sitakataja na najua hata nikitaja hapa mleta mada atasema ni hao hao) bado kanaamini kutunza mila zao za miaka na miaka ila in reality hazina maana yoyote kwa jamii iliyoendelea so tabia za kikundi kisifanye wooote waonekane wale wale.
 
Hakuna mtanzania asiye mbaguzi isipokuwa mgogo tu!!!!!! Na kabila linaloongoza kwa ubaguzi Tanzania ni WAHAYA!! Wakifuatiwa na wakurya kisha wachagga,
Hao wahaya na wakurya sio wabaguzi sema ni watu wa majigambo tu.
Ila wanawake zao ni rahisi sana kuwachukua na kuoa sema tu uvumilie majigambo yao au na wewe uwe mtu wa kuvimba ili muende sawa.
 
Kuna makabila hawawazi maendeleo wao wamekalia Ushirikina, Majungu na kukujazia ndugu Nyumbani. Unakaa na mwanamke miaka mitano hajawahi hata kuongelea lolote la maendeleo zaidi ya Ngono wa kazi gani.

Punguza sauti mkuu🤗
 
Wachaga...wanafundishwa kuiba tangu TU anazaliwa... Wenyewe kupata pesa ndo kipaumbele haijalishi hiyo pesa umeipataje... Ni wezi Sana wadhulimati... Na pia Ni walevi kupindukia...

Kuibia Watu kwao Ni sifa ujanja na ushujuaa
Duuuh!. Makubwa sana haya.
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

Una tatizo fulani!

Unataka urithi chuki za mama kwa baba yako?

How could you do it?
 
Kwakweli...Tuache kununua maduka yao..wakafungue maduka yao kwao huko...WANATAKIWA watengwe... Haiwezekani wakadharau makabila mengine...wakati wamejaa Mikoa ya Watu wakifungua maduka na tunawaungisha..

.Tena HUWA wanakuwa na umoja na kuwaibia wafanyabishara wale ambao Ni competitors wao...na kuwafanyia fitna wasipate mafanikio.

Wachaga watengwe.... Maduka yako tusinunue na biashara zao tusiwape support...
Maana wanajiona kuwa wako Bora kuliko Watu wengine..
.
Wewe hapo unaona umesaidiaje tatizo mfano?
You are just as wicked kwa hizo solution zako uchwara ulizotoa.

Comment zako mwanzo mwisho ni chungu mno. Hufai hata kuongoza mtoto mdogo maana utamfundisha roho mbaya badala ya mema.

Si ajabu hata ukiulizwa umefanywa nini na mchagga hutokua na jibu.jusr hearsay. Sio poa kusambaza sumu.
 
Wewe hapo unaona umesaidiaje tatizo mfano?
You are just as wicked kwa hizo solution zako uchwara ulizotoa.

Comment zako mwanzo mwisho ni chungu mno. Hufai hata kuongoza mtoto mdogo maana utamfundisha roho mbaya badala ya mema.

Si ajabu hata ukiulizwa umefanywa nini na mchagga hutokua na jibu.jusr hearsay. Sio poa kusambaza sumu.
Mtengwe....tu nyie... Nawatu wasinunue kwenye maduka yenu... Muuziane wenyewe kwa wenyewe... TU.

Namimi nikienda dukani ka la mchaga sinunui... You people are wicked and you don't deserve to live among us...

Mtengwe TU na jamii
 
Mimi nadhani mleta mada utakuwa na matatizo makubwa zaidi kuliko hata huyo jamaa aliyekuacha. Kwanini? Fuatana nami hapa hapa na utanielewa.

1. Umeaminishwa kuwa umeachwa kwa sababu ya kutokuwa mchaga na wewe unalazimisha kuamini kuwa umeachwa kwa sababu sio mchaga. Mwanzoni wakati mnapendana wewe ulikuwa mchaga?

2. Unakiri kuwa jamaa ana binti mwingine kwa sasa ambaye ni mchaga. Wewe unadhani uchaga wa huyo binti ndio kigezo cha jamaa kumpenda. Kwanini wewe ulalamike kwa hilo? Ulitakaje?
 
”Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao."

Kwanza nikutakie pole sana!

Pili, nikupe hongera kwa kudumu penzini na Chagaboy kwa miaka mitano.

Tatu, ninashangaa sana uliwezaje kudumu penzini miaka mitano na mtu ambaye unadai kuwa kwao ni wabaguzi.

Hivi, ulikuwa kipofu kiasi gani?

Mimi maoni yangu ni kwamba, wewe ndiye mwenye makosa kwa sababu ulikubali kutambulishwa kienyeji na huko Uchaggani wakakusoma kienyeji, wakakuchoka kienyeji kwa tabia zako za kienyeji maana ulijirahisisha kienyeji, tena inawezekana hata ulienda kujifulisha na kujipikisha kienyeji wakati hutambuliki rasmi huko.

Halafu, kwa kuwa ulikaa nao miaka mitano+ ni kwanini ulichukua muda kuvumilia Kama kweli ulibaguliwa?

Then, Kama ulisikia na au ulipata taarifa kwamba Wachaga hawapendi makabila mengine ni kwanini ung'ang'anie penzi la Kichagga?

Mimi niwape tu ujumbe humu na wewe mleta mada. Siyo kweli kwamba Wachaga hawaoi makabila mengine, ila ndugu zangu Watanzania, Wachaga tuna tamaduni tofauti kidogo na jamii nyingine, kwa hiyo, kuoana sisi kwa sisi huwa inashauriwa kwa sababu ndoa nyingi na makabila mengine hazidumu kwa sababu za kitamaduni!

Poleni nyote mnaosumbuka na mahusiano typical ya aina hii; kinachowasumbua siyo ukabila wa Wachaga ila ni tamaduni zenu ambazo haziivi na Wachaga na siyo vinginevyo.

Sijasema Kama una mahusiano na Mchagga muacheni, isipokuwa kama haupo tayari kufuata mila na desturi za Kichagga, kaa pembeni na upishe kwa amani maana hamtafika popote.

Pongezi kwenu mlionielewa!

Wachaga tuna asili ya Kiyahudi. Msamo wa Kichagga hauyumbi kienyeji!


Mmh
 
Wewe hapo unaona umesaidiaje tatizo mfano?
You are just as wicked kwa hizo solution zako uchwara ulizotoa.

Comment zako mwanzo mwisho ni chungu mno. Hufai hata kuongoza mtoto mdogo maana utamfundisha roho mbaya badala ya mema.

Si ajabu hata ukiulizwa umefanywa nini na mchagga hutokua na jibu.jusr hearsay. Sio poa kusambaza sumu.
Nyie mnaofundisha watoto wadogo..wizi na dhuluma na mkiwashangilia wakiiba . Tena nasikia mtoto akienda kutafuta mnawambia nenda Kakwibe ulete nyumbani. ..
.hayo ndo Maadili yenu...Sasa Kama Ni Watu wakuwaibia nakudhulumu watu..m Watu msiowapa Watu wengine nafasi zaidi mkajipendelea ninyi TU..
.
Solution...WACHAGA WATENGWE.
 
Mimi nadhani mleta mada utakuwa na matatizo makubwa zaidi kuliko hata huyo jamaa aliyekuacha. Kwanini? Fuatana nami hapa hapa na utanielewa.

1. Umeaminishwa kuwa umeachwa kwa sababu ya kutokuwa mchaga na wewe unalazimisha kuamini kuwa umeachwa kwa sababu sio mchaga. Mwanzoni wakati mnapendana wewe ulikuwa mchaga?

2. Unakiri kuwa jamaa ana binti mwingine kwa sasa ambaye ni mchaga. Wewe unadhani uchaga wa huyo binti ndio kigezo cha jamaa kumpenda. Kwanini wewe ulalamike kwa hilo? Ulitakaje?

Aisee 😀 very high logic reasoning
 
Mtengwe....tu nyie... Nawatu wasinunue kwenye maduka yenu... Muuziane wenyewe kwa wenyewe... TU.

Namimi nikienda dukani ka la mchaga sinunui... You people are wicked and you don't deserve to live among us...

Mtengwe TU na jamii
Hahhhahhhahhaa.. i sayyy . Unatapa tapa balaa.. nakubaliana na mdau huko juu kukuambia una inferiority complex.. deep down.

Yani una chuki mpaka basi. We mtu hajakufanyia ubaya wowote umekaza shingo kwelikweli eti watengwe. .Alafu iweje sasa? Eti sinunui kwa mangi..unajichosha tuu na kujitesa bure.

Dada jitafakari moyoni kwako. Too much hate. Find and make peace with yourself, hutakua na shida na mchagga.
 
Nyie mnaofundisha watoto wadogo..wizi na dhuluma na mkiwashangilia wakiiba . Tena nasikia mtoto akienda kutafuta mnawambia nenda Kakwibe ulete nyumbani. ..
.hayo ndo Maadili yenu...Sasa Kama Ni Watu wakuwaibia nakudhulumu watu..m Watu msiowapa Watu wengine nafasi zaidi mkajipendelea ninyi TU..
.
Solution...WACHAGA WATENGWE.
Unahitaji Deliverance kwakweli. You deserve peace and happiness. Am sorry to break the news to you kwamba havipatikani kwa kuwatenga wachagga.
Go work with yourself first, so bitter.
Umeichukulia so personal hii mambo. Jishtukie kidogo bas.
Bye Felicia..
 
Back
Top Bottom