Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Pole dear, hajakupenda tu
Wadada wa kichaga wanabaguliwa Sana jaman waache waolewe na kaka zao
 
Yaani ukitaka usalama wa roho yako kama wewe si mchaga basi usioe /kuolewa na mchaga....yale matambiko wanayofanyaga Kila mwisho wa mwaka hawatakuruhusu ushiriki maana wewe ni CHASAKA
Mmhhh acheni uongo, hamna matambiko yoyote. Watu wasiende kwao kufurahi??
 
Dada yako aliolewa kwenye familia yenye njaa,hakuna familia yenye maisha yake hubagua damu yao...istoshe hilo tatizo la kupora marehemu mali liko kila mkoa labda uwe umeandika wosia
 
Ungejtajidi kidogo uwe mchaga but umekata tamaa mapema . Tafuta mwingine ila kabila rahisi sana ni kuwa Mang'ati 😂😂😂
 
Kaka yako dhaifu
 
mpaka wewe unatukandia mkuu....tupunzisheni kidogo basi......

mapenzi kutokujua ni sisi
wizi sisi
umalaya sisi
wazulamti sisi
wabinafsi sisi
wahongaji sisi
wachawi sisi


sifa mbaya kwanini zote ziende kwa wachaga tu....
Sisi ni wana wa israel tulishafika kanani mda wakati wao bado wanaoga maji ya tope
 
Oa kwenu aisee...hii ndio taabu ya kushobokea jamii considered ni advanced kumbe sio kama unavyodhani..

Jamii yako ina mabinti wazuri,wape umuhimu,waoe...

I really dont respect a man who despise women of his own people who gave him life....

Kukimbilia wasichana anao consider wametoka jamii aliyotamani kua humo...

Weak societies make it a mission to marry women of superior societies,infact they hate their own societies and people,which to me I cant forgive this kind of lunacy!

Oa kwenu,u will be more respected by your own people!Stop this self hate!
 
Meku umemalizaa yote,kunywa kitoshi bili nakuja kulipa
 
Na kweli;baadhi ya wachaga ni vihiyo.,ubaguzi wao kwa wao.,
Mkibosho atamuacha mwenzie kisa tu ni Mmarangu
MRombo hataki kusikia Mmachame/mpalestina!
 
Tangu nimezaliwa na kukulia uchagan sijawahi kuona tambiko la Aina yeyote kwa upande wangu. Kwa wengine sijui ila Mimi sijawahi
Nmeishi, Uru, machame, Marangu, rombo, tarakea, mashati, mwika, na kibosho muda mrefu sana ,,so I am speaking from experience and I sincerely have no any reason to throw a shade on wachaga for nothing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeishi, Uru, machame, Marangu, rombo, tarakea, mashati, mwika, na kibosho muda mrefu sana ,,so I am speaking from experience and I sincerely have no any reason to throw a shade on wachaga for nothing

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai but Mimi na uchaga wangu sijawahi kuona hiyo kitu, may be cause niliishi modern family ya baba Dr
 
Sikatai but Mimi na uchaga wangu sijawahi kuona hiyo kitu, may be cause niliishi modern family ya baba Dr
Yap,,Kuna wachache waliostaarabika kutokana na Elimu na ushika Dini hasa waishio mijini kwenye modern family as you said. Lakini hayo maeneo ya vijijini niliyokutajia Bado wanahusudu matambiko mpaka leo. Na huko ndio uchagani kwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…