Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Umetujulia wapi wewe kichakoro ngayangaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niite vizuri kwanza kunguru wwUmetujulia wapi wewe kichakoro ngayangaya
Kwa akili yako unadhani wanaweza thubutu kukwambia kuwa tunaenda kutambika?? Wanatumia hilo neno kuhesabiwa Kama tafsida tuDuh
Kwahiyo wakienda huko December huwa wanatambika na si kuhesabiwa kama wengi tunavyoamini?
Hoja hupingwa kwa hoja mbona unaleta uchuro badala ya hoja?? .....nmeishi uchagani so I know you guys in and out period!Acha chuki na wivu kwa wachaga.
Tabia ya mtu mnakomalia kugeneralize kabila zima.
Kwa lipi?? Tuwaonee wivu washirikina? Wezi? Wabaguzi?Watu mna chuki na wivu mkubwa sana kwa wachaga aisee!
Duh [emoji1745]Kwa akili yako unadhani wanaweza thubutu kukwambia kuwa tunaenda kutambika?? Wanatumia hilo neno kuhesabiwa Kama tafsida tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeishi, Uru, machame, Marangu, rombo, tarakea, mashati, mwika, na kibosho muda mrefu sana ,,so I am speaking from experience and I sincerely have no any reason to throw a shade on wachaga for nothing
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachunguzana mainiMnakaa miaka mitano ili mgundue nini huo ulikuwa uchumba sugu ni rahisi kufa
Nimekwambia leta,,huna hoja una bwabwaja tu Kama kuku mwenye kideri ...na naomba pls usiniite kyasaka...hayo majina itaneni ninyi kwa ninyi washirikinaUnatoka povu sana. Sifia kwenu! Oa kwenu kila kitu fanya kwenu. Kwani umelazimishwa???
Wivu tu unawasumbua kyasaka
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.
Kwao natambulika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.
Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.
Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.
Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.
Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.
Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.
Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.
Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.
Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli huwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.
Hatuna wivu Mkuu...kwani tunatamani Nini KUTOKA huko kwenu mbege?Watu mna chuki na wivu mkubwa sana kwa wachaga aisee!
Mimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini
Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
Bora umenisaidia kumjibu mkuu. Wanaofikiri sisi tunawaonea wivu hebu watulize akili zao na waanze kuupitia uzi upya na comments zote 300+ halafu walinganishe maoni ya wadau wote waliochangia hii mada ndo watapata ukweli kuhusu uozo wa hilo kabila la wapalestinaHatuna wivu Mkuu...kwani tunatamani Nini KUTOKA huko kwenu mbege?
Hapana
Twende December hiiHapana
Ila hii stori yao ya kwenda kuhesabiwa na kuchinja ng'ombe na mbuzi sikukuu ilinivutia, nikawa natamani siku moja na mie nikale nyama huko.
Hahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.Hapana
Ila hii stori yao ya kwenda kuhesabiwa na kuchinja ng'ombe na mbuzi sikukuu ilinivutia, nikawa natamani siku moja na mie nikale nyama huko.
Na wewe ni mchagga?Karibu December utafurahi mwenyewe
Nimeshaambiwa nyie wabaguzi pampula[emoji23]Twende December hii