Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Kwahiyo Kama umeoa mchaga ni lazima umpe ruhusa aende kwao mwisho wa mwaka akashiriki hayo matambiko....ukimkatalia hata hiyo ndoa mbona itavunjika bablai...ni lazima aende ili wasijekumtengaHahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.
Wewe fanya utafiti utagundua kuwa mwanafamilia yeyote ambaye hatashiriki matambiko yale huwa wanamtenga katika ukoo...yaani hili ni kabila la hovyo sijapata kuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app