Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Hahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.
Wewe fanya utafiti utagundua kuwa mwanafamilia yeyote ambaye hatashiriki matambiko yale huwa wanamtenga katika ukoo...yaani hili ni kabila la hovyo sijapata kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Kama umeoa mchaga ni lazima umpe ruhusa aende kwao mwisho wa mwaka akashiriki hayo matambiko....ukimkatalia hata hiyo ndoa mbona itavunjika bablai...ni lazima aende ili wasijekumtenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.
Wewe fanya utafiti utagundua kuwa mwanafamilia yeyote ambaye hatashiriki matambiko yale huwa wanamtenga katika ukoo...yaani hili ni kabila la hovyo sijapata kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee[emoji848]
Kama ni kweli basi ni hatari.

Mimi sijui mkuu, siwezi comment chochote maana sijawahi fika kabisa mikoa ya kaskazini
 
Umekaribishwa ukiuliza kabila shauri yako. Ila jua nyama utazikimbia wenyewe huko kwenu si mnakula maharage daily [emoji1787][emoji1787]
Nani kakudanganya?
Huku tunakula kitimoto kwa kwenda mbele
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh! Noma sana!
anyway mimi mchaga
 
Yaani unavyowadescribe hao wachagga jamani [emoji23][emoji23]
Ila sidhani Kama nyama Zina tatizo.
Mbona ndugu zetu waislam huwa wanawasema sana kuhusu zile nyama za Eid lakini Mimi nimezikula Sana tu pasi na tatizo lolote.
Kula nyama zao wala sio tatizo as long as huhusiki na matambiko yao maana wewe sio mwanafamilia mwenzao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaga...wanafundishwa kuiba tangu TU anazaliwa... Wenyewe kupata pesa ndo kipaumbele haijalishi hiyo pesa umeipataje... Ni wezi Sana wadhulimati... Na pia Ni walevi kupindukia...

Kuibia Watu kwao Ni sifa ujanja na ushujuaa
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wizi wa kueleweka sio kuiba kuku!
 
Back
Top Bottom