Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Kwahiyo Kama umeoa mchaga ni lazima umpe ruhusa aende kwao mwisho wa mwaka akashiriki hayo matambiko....ukimkatalia hata hiyo ndoa mbona itavunjika bablai...ni lazima aende ili wasijekumtengaHahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.
Wewe fanya utafiti utagundua kuwa mwanafamilia yeyote ambaye hatashiriki matambiko yale huwa wanamtenga katika ukoo...yaani hili ni kabila la hovyo sijapata kuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee[emoji848]Hahaha....Kama ni kula nyama utakula mpaka uziache lakini ujue kabisa ni nyama za mbuzi/ ng'ombe waliotolewa kafara kwa mizimu ya ukoo wao ili biashara na Mambo yao yaende vizuri mwaka mzima.
Wewe fanya utafiti utagundua kuwa mwanafamilia yeyote ambaye hatashiriki matambiko yale huwa wanamtenga katika ukoo...yaani hili ni kabila la hovyo sijapata kuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakudanganya?Umekaribishwa ukiuliza kabila shauri yako. Ila jua nyama utazikimbia wenyewe huko kwenu si mnakula maharage daily [emoji1787][emoji1787]
Wamekukaribisha wewe nenda lakini akili kumkichwa....uroho wa nyama za bure usije kukutokea puani siku za mbeleni maana wewe ni kyasakaAisee[emoji848]
Kama ni kweli basi ni hatari.
Mimi sijui mkuu, siwezi comment chochote maana sijawahi fika kabisa mikoa ya kaskazini
Mkuu usije nifanya nianze kuogopa wanaume wa kichagga[emoji1787]Kwahiyo Kama umeoa mchaga ni lazima umpe ruhusa aende kwao mwisho wa mwaka akashiriki hayo matambiko....ukimkatalia hata hiyo ndoa mbona itavunjika bablai...ni lazima aende ili wasijekumtenga
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji4]Nyie mnajua maparachchi..
Karibu utoke dodo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamekukaribisha wewe nenda lakini akili kumkichwa....uroho wa nyama za bure usije kukutokea puani siku za mbeleni maana wewe ni kyasaka
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh! Noma sana!Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wala usiwaogope...hata kudate wewe date nao tu lakini Kama sio mchaga usithubutu kuolewa naoMkuu usije nifanya nianze kuogopa wanaume wa kichagga[emoji1787]
But with maximum care[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nikienda nazikula kwelikweli[emoji1787]
Nitaziombea.
Okay....uwe saint kweli kweli Kama jina lakoNitaziombea.
Huwa naombea chakula kabla sijakula
Kudate bila kuwa na focus ya ndoa bora nisidate.Wala usiwaogope...hata kudate wewe date nao tu lakini Kama sio mchaga usithubutu kuolewa nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unavyowadescribe hao wachagga jamani [emoji23][emoji23]
You're a good woman... always keep that attitude in your mind!Kudate bila kuwa na focus ya ndoa bora nisidate.
I can not date just for fun.
Amin
Kula nyama zao wala sio tatizo as long as huhusiki na matambiko yao maana wewe sio mwanafamilia mwenzaoYaani unavyowadescribe hao wachagga jamani [emoji23][emoji23]
Ila sidhani Kama nyama Zina tatizo.
Mbona ndugu zetu waislam huwa wanawasema sana kuhusu zile nyama za Eid lakini Mimi nimezikula Sana tu pasi na tatizo lolote.
Eti matambiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula nyama zao wala sio tatizo as long as huhusiki na matambiko yao maana wewe sio mwanafamilia mwenzao
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wizi wa kueleweka sio kuiba kuku!Wachaga...wanafundishwa kuiba tangu TU anazaliwa... Wenyewe kupata pesa ndo kipaumbele haijalishi hiyo pesa umeipataje... Ni wezi Sana wadhulimati... Na pia Ni walevi kupindukia...
Kuibia Watu kwao Ni sifa ujanja na ushujuaa
Matambiko ndio...ukienda waulize akina meku eti ile damu nyingi ya mbuzi kibao wanaochinjwaga December huwa wanaipeleka wapi??Eti matambiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]