Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Basi usijali,huyo jamaa hajakupenda kwa dhati,maana kama alikupenda hata sngeshinikizwa vipi na wazazi qake angekuoa tu,tumeona wachagga wangapi,ambao wameo makabila mengine,?
 

Mkuu vipi hawa wa Rombo ukoo wa shirima wanashida gani.?
Mchumba wangu ni wa huko na ukoo wake ni shirima , wanashida yoyote hawa.?
 
Dada la Kinyakyusa linaforce kuolewa na Mchaga
 
Umeambiwa ukweli ukapaa Tu.

We si unaonaga ni Raha kutukatana makabila ya watu ( kwa mihemuko na chuki zako Bila utafiti) lakin wew ukiambiwa ukweli unapinga kama vile wew msafi wa kila kitu.

Bro nyie ni wabaguzi,wabinafsi,wezi na wenye roho mbaya.
Issue ni kuachwa au ni uchagga? Ata kama angekua mgogo ningemtetea, huyo binti tutamwamini vipi kwa kwa habari ya upande mmoja? Embu tumieni vichwa vyenu vizuri
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu vipi hawa wa Rombo ukoo wa shirima wanashida gani.?
Mchumba wangu ni wa huko na ukoo wake ni shirima , wanashida yoyote hawa.?
Hapana ni mfano tu, warombo ni wanawake wazuri kwa hakika, wana roho ya utu, hofu ya Mungu na watafutaji pia sio watu wa kubweteka... hata mizigo wanayo si umeona mwenyewe!! Kila la Kheri mkuu.
 
Tatizo mnapenda wachaga lakini wao hawawapendi
Pumbavu sana kaoe /kaolewe kwenu hakuna watu huko? ?
Mimi nimeshuhudia kabsaaaa muhaya kanyimwa kuoa mrangi tena ameshamzalisha
Wazee wake wakampiga pin hawamtaki kabsaaaa huyo binti

Wamemtafutia muhaya mwenzake na ndoa ilishafungwa

Halafu sio lazima kuoa /kuolewa na kabila lingine tafuta wa kwenu kuondoa hizi lawama

Mnapenda kabila fulani kwa vile ni mafighter wa maisha ili unufaike nenda kwenu pumbavu kabsaa
Mbona mimi nimeoa kwetu Singida?
Tunakula maisha Hapa Denmark tuu

Kila kabila lina taratibu zake Hata wanangu nitataka waoe nyumbani

Period. !!!!!!

Mmesikia au niongoze sauti. ????
 
Kuna dada yangu wa ukoo aliolewa uchagani (yeye ni kabila tofauti), Mume wake akafariki, aisee katika vitu niliona wachaga ni wanyama ni baada ya kumfukuza yule sister kwenye nyumba na kumnyang'anya kila kitu, ikiwa na pamoja na miradi ambayo ingewasaidia kusukuma maisha. Sister akarudi mkoa mwingine kuanza na maisha upya akiwa na watoto wanne, watatu wakiwa shule mmoja ndio alikuwa mdogo. Huwezi amini wale watoto nusura waache shule kwa kukosa ada bahati nzur kama familia tuligawana mtoto mmoja mmoja ndo wakaendelea na shule. Wale watoto ukiwaita wachaga wanakuonesha kuchukia Live... hawapendi kbs hilo kbl ingawa ndo hvy wachaga by birth!!
Wachaga utu kwao ni pesa na mali tu.
 
chasaka, unajua makabila mengine tuna tabia za ajabu ajabu sana ndiyo sababu huwa tunaachika sana, hebu angalia hata wagombea urais wa kabila fulani wanayo aibisha na kuonyesha ushamba wa hali ya juu.

Mwanamke wa kichagga anataka mtafutaji, mtu mwenye maono lakini mwenye upeo "best upstairs" ndiyo maana pamoja na kubaguliwa kwa sana na awamu tatu zilizopita za serikali lakini wapo juu tu.
 
mkuu pole haya mapopoma siyo kabisa.
 
sawa wote mmeongea tumepima hoja zenu sasa tunakuja na hitimisho...wachaga sio wote wanakumbatia mila hivyo labda wale walioishi maisha ya ki mila sana ila wale wasomi huwa hawana mambo hayo unaweza kwenda kwake na akakupa binti kiroho safi
 
Mimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini



Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
Uamuzi ni wako Mkuu.
 
You are a tough woman indeed!
 
Yani we ulimuamini mchaga tena mwanamke!? Au alikuwa Bf wako?
 
Shukru Mungu wachaga wabinafsi sn umeepushwa na mengi Mungu atakupa mwingine wa kufanana nawe
Hakuna mtu ambae si mbinafsi, Kama huyo dada si mbinafsi mbona hataki kuwa kwenye mahusiano hayo? Anayodai hataki kuwa nayo? Huo ndio ubinafsi namba moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…