Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Bahati Mbaya huwezi kueleza mabaya ya Mama yako aliyokuwa anamfanyie Mzee, na huwezi kuyaona au kutajua hadi utakapooa. Ndio maana aliamua kuondoka .
Mashangazi lazima walishangaa kazi unayofanya kwasababu unaonekana kabisa usoni kwamba huna akili sasa ukiwaeleza wanashangaa waliokuajiri waliwaza nini
 
Haya mapalestina ni bora muyaachage yaoane yenyewe kwa yenyewe tu...tena afadhali yako maana mwanaume ndo alikua mchaga ndo maana ukapata hata hiko kinafasi cha kutambulishwa ukweni
Mahusiano ambayo mwanamke ndo mchaga na mwanaume ni kabila jingine ndo yanakuwaga magumu balaa!!
Ni nadra sana mwanaume asiye mchaga (CHASAKA) kukubaliwa kuoa uchagani maana wanahofiaga kumpoteza member wa ukoo wao.
Kiufupi wachaga ni wabaguzi sana na wana ukabila kiwango cha SGR
😁😁😁😁😁 ilo neno "Chasaka" ni la kindezi sana😂😂😂!!!
 
Mimi nimchaga pia...nataka kukupooza hayo machungu unayopitia
 
Umeambiwa ukweli ukapaa Tu.

We si unaonaga ni Raha kutukatana makabila ya watu ( kwa mihemuko na chuki zako Bila utafiti) lakin wew ukiambiwa ukweli unapinga kama vile wew msafi wa kila kitu.

Bro nyie ni wabaguzi,wabinafsi,wezi na wenye roho mbaya.
Wajomba zako watakuachia radhi wewe.
 
Dah pole sana dada. Huyo kijana hana akili sawa sawa. Yaani miaka mitano halafu mtu ndio anakuzima hivyo?!

Kama amedhakuonyesha hizo dalili basi umefanya maamuzi ya busara sana kuondoka.

But usije ukawazia vibaya kuwa jamii ya wachagga wapo hivyo, hizo ni tabia binafsi za mtu au familia yake. Mimi kuna rafiki yangu ni Mnyakyusa, alikutana na binti wa kichagga kwenye mwaka 2012 hivi.

Binti alikuwa amemaliza form 4. So akawa ana msapoti kuendelea na masomo kuanzia ngazi ya cheti. So binti alitoka cheti, diploma hadi degree akamaliza.

Alipomaliza jamaa amejiachia anajua mke wangu ndo huyu aanze mipango ya ndoa weeee, binti alimgeuka kama kitu gani sijui. Kisa tu familia yake walikwenda kumchunguza familia ya mshikaji na walipogundua maisha yao na kuwa ni wanyakyusa mmmmmmhmn walipita hivi fasta wakawa wanakwepa kutena kutoa ushirikiano na binti yao wakaoza kwa kabwana mdogo kengine kajitu ka huko huko moshi.


Nilipochunguza ndio nikaambiwa kuna baadhi ya familia za kichagga huwa wanaogopa sana jamii za wanyakyusa, wahaya nadhani na wasukuma..... Nadhani ni kwasababu wanahisi zina nguvu sana na zinaweza kuwa dominate. Especially mawifi wa kinyakyusa.......
So, mmmmmmmhmn kumbu kumesa...

Kuna neno huwa wanatumia kwa mwanaume wa jamii tofauti na yao, wanaita Chasaka kama sio kyasaka.....
 
Mnakaa miaka mitano ili mgundue nini huo ulikuwa uchumba sugu ni rahisi kufa
Kuna Maisha yanalazimu mtu avute muda mrefu katika mahusiano. Wanaweza kuwa walikutana akiwa sekondari then akaanza safari ya masomo ya chuo kikuu, ni zaidi ya miaka 5.....
 
Kuna Maisha yanalazimu mtu avute muda mrefu katika mahusiano. Wanaweza kuwa walikutana akiwa sekondari then akaanza safari ya masomo ya chuo kikuu, ni zaidi ya miaka 5.....
Dah ulivo mnafiki na huoni aibu ama kweli Kuna watu uso wa soni hamna
 
Dah ulivo mnafiki na huoni aibu ama kweli Kuna watu uso wa soni hamna
sasa unafiki wangu upo wapi?! Kwani umeambiwa kanuni ya mahusiano inatoa muongozo wa kuishi na mtu katika mahusiano kwa kipindi gani?!

Kila couple ina malengo ya tofauti. Kuna ambao wanamambo wanaweka sawa kwanza kabla ya kuingia ndoani, wengine wakikutana tu mambo yapo sawa so wanaingia katika ndoa straight ndani ya wiki mbili. Inategemea.
 
Hakuna mtu ambae si mbinafsi, Kama huyo dada si mbinafsi mbona hataki kuwa kwenye mahusiano hayo? Anayodai hataki kuwa nayo? Huo ndio ubinafsi namba moja.
Sasa Mkuu mtu ameshaambiwa kuwa anatakiwa Mchaga, kwa hiyo aendelee kudate na jamaa wakati hakuna hope huko mbeleni ili asiwe mbinafsi?
Mi ninamsifu hata kwa kuamua kuuface ukweli maana jamaa angemtumia kisha akafunga ndoa na Mchaga mwenzake kimya kimya.
 
Mimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini



Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
watakutenga tu ...lbda uwe na mipunga sana
 
Hapana ni mfano tu, warombo ni wanawake wazuri kwa hakika, wana roho ya utu, hofu ya Mungu na watafutaji pia sio watu wa kubweteka... hata mizigo wanayo si umeona mwenyewe!! Kila la Kheri mkuu.
Hapo kwenye mizigo hapana, strictly Machame tu😂😂😂 ila kwa rangi na ngozi laini ni hapo Marangu mangi👏👏👏
 
Tatizo mnapenda wachaga lakini wao hawawapendi
Pumbavu sana kaoe /kaolewe kwenu hakuna watu huko? ?
Mimi nimeshuhudia kabsaaaa muhaya kanyimwa kuoa mrangi tena ameshamzalisha
Wazee wake wakampiga pin hawamtaki kabsaaaa huyo binti

Wamemtafutia muhaya mwenzake na ndoa ilishafungwa

Halafu sio lazima kuoa /kuolewa na kabila lingine tafuta wa kwenu kuondoa hizi lawama

Mnapenda kabila fulani kwa vile ni mafighter wa maisha ili unufaike nenda kwenu pumbavu kabsaa
Mbona mimi nimeoa kwetu Singida?
Tunakula maisha Hapa Denmark tuu

Kila kabila lina taratibu zake Hata wanangu nitataka waoe nyumbani

Period. !!!!!!

Mmesikia au niongoze sauti. ????
Sawa mzee tumekusikia, kila la heri kwenye kutawaza wazee hapo Denmark!
 
Mkuu vipi hawa wa Rombo ukoo wa shirima wanashida gani.?
Mchumba wangu ni wa huko na ukoo wake ni shirima , wanashida yoyote hawa.?
Shida ni hela zako tu 😂😂😂 zisije zikakata ghafla.
 
Back
Top Bottom