Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

bongo bila unafiki mambo hayaendi
Yan Mkuu acha tu. Unajua mtu atakutendea unafiki kwa kuwa amekusoma kuwa unatakiwa kunafikiwa.
Nina amini ukimtendea mtu kitu kizuri basi naye atakulipa mazuri ila sio kwa marafiki wabinafsi wenye tamaa. Ukiwa mzuri anatumia ule uzuri wako kujinufaisha maslahi yake. Jambo ambalo halipendezi.
 
Ushaanza kuwashwa na bange zako, sasa unafiki wangu upo wapi?! Kwani umeambiwa kanuni ya mahusiano inatoa muongozo wa kuishi na mtu katika mahusiano kwa kipindi gani?!

Kila couple ina malengo ya tofauti. Kuna ambao wanamambo wanaweka sawa kwanza kabla ya kuingia ndoani, wengine wakikutana tu mambo yapo sawa so wanaingia katika ndoa straight ndani ya wiki mbili. Inategemea.
Kwahyo bila kutukana huoni Raha humu
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wapalestina ni hawafai hata kulumangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan Mkuu acha tu. Unajua mtu atakutendea unafiki kwa kuwa amekusoma kuwa unatakiwa kunafikiwa.
Nina amini ukimtendea mtu kitu kizuri basi naye atakulipa mazuri ila sio kwa marafiki wabinafsi wenye tamaa. Ukiwa mzuri anatumia ule uzuri wako kujinufaisha maslahi yake. Jambo ambalo halipendezi.
Sema kitu nimegundua una roho nzuri sana kama mimi tu. Hizi roho nzuri zetu sikuhizi watu wanazitumia kama madaraja ya kusogea mbele huku wakituachia maumivu makali.

So we really need to act cold to some people ili tu kuwekeana mipaka mapema. Usitoe kama huna na hata ukiwa nacho sio kila mtu wa kumpa tu. Jifunze ku filter watu katika circle yako. Utaweza kuona ni kiasi gani umezungukwa na mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo 😂😂😂
 
Hey, kule mmesababisha mpaka uzi umezibwa comment na Mods [emoji23][emoji23][emoji23] hebu tongozaneni yaishe basi. Hii michezo niliifanya form 2!
Hahaaa mkuu Mimi na shida na mtu you know me well mbishi sasa ka mtu ananiandama nifanyeje kwa chuki zake[emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambilika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli uwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.
.
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambilika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli uwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.
Pole sana mdogo wangu
Huyo jamaa yako ni wakupiga chini kwa kuwa hana msimamo. Mimi nafahamu wachaga kibao wameoleana na watu wasio kuwa wachaga. Suala la mtazamo wa wazazi hauwezi kumnyima mtu kuoa mtu ampendaye. By the way, wazazi wengi wa kilimanjaro ni waelewa sana hawalazimishi mtu kuoa mtu wa kabila flani ILA wanaweza kumpa kijana mtazamo wao ambao sio lazima kuufuata.

Nimeona tatizo la kukaa kwenye mahusiano kwa mudfa mrefu ( mika 5?) linaweza kuwa limeleta changamoto pia
Binafsi naona muda mrefu zaidi wa kukaa kwenye mahusiano yanayolenga kuoana yasizidi miaka 3; zaidi ya hapo ujue hakuna ndoa (kuna mmoja atakuwa akishop around kama itatoikea fursa bora zaidi)
Amini tu Mungu anampango mzuri kwako ndio sababu amekuonesha kuwa huyo sio mume wako
Usichukue hasira kumpata mpenzi mpya; tuliza akili, tafuta mtu aliyekuzidi umri walau 3 to 8yrs hivi
 
Kiukweli kwa asilimia kubwa Wachaga wana umimi sana. Na si watu wa kuwaamini hata kidogo.
Niliwahi kuwa na rafiki Mchaga, yan tulipanga kufanya biashara fulani na nikachangia mtaji. Alichokuja kukifanya mhhhhh....
Kwa kweli Mungu anaweza akawa anamuepusha na jambo kubwa ambalo litamliza kuliko hili la sasa.
Wachaga...wanafundishwa kuiba tangu TU anazaliwa... Wenyewe kupata pesa ndo kipaumbele haijalishi hiyo pesa umeipataje... Ni wezi Sana wadhulimati... Na pia Ni walevi kupindukia...

Kuibia Watu kwao Ni sifa ujanja na ushujuaa
 
Back
Top Bottom