Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Huyo
Hata huyo atamwacha kisa ni mchaga wa machame.

Baadae atamwacha mchaga wa Rombo kwa sababu ni Ukoo wa Shirima.

Guys hatima ya maisha yako ya baadae kwa maana ya mahusiano unayo wewe, sio ndugu, rafiki wala wazazi. Kuta nne ndizo zitakuwa shahidi wa maisha yenu. Wake up guys!!

Huyo bwana alikuwa hakupenda, kwani angempenda kweli kweli asingesikiliza huu upuuzi wa kabila!!! Hujamsikia mwana mfalme ameachia ufalme na kuoa kisura wa kawaida kwasababu ya mapenzi? Vuta subira utapata atakayekupenda kwa dhati!!!
 
U see....

Umegeuka too emotional ujue nimesema kweli...

Kaa nao miaka 200 or whatever..who cares?

U hate yourself,you hate your people....you dont want to marry your own people sababu ya your self hate of your own blood!

Let me help you,unaongea vibaya kuhusu these people sababu you wanted so much to be them,u wanted their women,naona it went bad,ndio maana upo emotional namna hii....

Marry your own people,they are precious....utapunguza hizi emotions za kukataliwa na you will live longer!
Wapi nmesema nataka kuoa?? Wewe mwanaume mbona una king'ang'anizi Kama mwanamke mwenye mimba changa??
Hebu usiniharibie usiku wangu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother we Acha tu...yaan napataga hasira wkt mwngne nikiona cmu ya mshua halafu ukipokea anaanza oooh wadogo zako wamerudishwa Ada,mara ooh wadogo zako cjui itakuaje leo chakula. Huwa nampa tu kwakua ndo Baba yangu na sina mwingine...Ila nawachukia kiukweli.
Bamkubwa huwa ananipigia ooh uje utafute mke huku uchagani namuitikia tu Ila KAMWE CTOTHUBUTU KUOA MCHAGA. Na nikipata demu wa kichaga huwa namchakata ki hardcore Hadi huwa wanasema nawakomoa Ila hawajui lililopo moyoni mwangu

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Una drawback ya father abandonment....

Lazima ujenge resentment na anything related to him...

Kuondoa ni mpaka uje umuulize akupe sababu za kila alilofanya wewe ukaona wrong..anaweza kupa sababu ukaja kushangaa how tough it was walking on his shoes....

Hii resentment yako mostly haikusaidia lolote wala haimsaidii baba yako on anything,ni una feed kisasi chako juu yake,until when?Ni forever,you will never find true happiness thereafter....

Una vihela?Yes...ndio unadhani utapata true happiness in those?.....Una vihela,vitarudisha love from your dad you missed when you were younger?No

You missed that love,ni forever...you cant get that back hata uwe 1tril USD..time has passed,you cant turn back the hands of time....

Hating the whole tribe is nonsense maana no one knows shit about you,nobody cares that huwapendi au hutaki kuoa huko,no one knows that opportunity from you at the first place....

Unawachukia the whole tribe kujiridhisha moyo wako selfishly to people who do not know you na wala hawajui lolote
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Acha hizo wewe.. embrace your identity
 
Una drawback ya father abandonment....

Lazima ujenge resentment na anything related to him...

Kuondoa ni mpaka uje umuulize akupe sababu za kila alilofanya wewe ukaona wrong..anaweza kupa sababu ukaja kushangaa how tough it was walking on his shoes....

Hii resentment yako mostly haikusaidia lolote wala haimsaidii baba yako on anything,ni una feed kisasi chako juu yake,until when?Ni forever,you will never find true happiness thereafter....

Una vihela?Yes...ndio unadhani utapata true happiness in those?.....Una vihela,vitarudisha love from your dad you missed when you were younger?No

You missed that love,ni forever...you cant get that back hata uwe 1tril USD..time has passed,you cant turn back the hands of time....

Hating the whole tribe is nonsense maana no one knows shit about you,nobody cares that huwapendi au hutaki kuoa huko,no one knows that opportunity from you at the first place....

Unawachukia the whole tribe kujiridhisha moyo wako selfishly to people who do not know you na wala hawajui lolote
Well said..
Najua cwez Rudisha upendo uliokwishapotea Ila nafanya hivyo kujifurahisha.huenda mama yangu alizingua Ila ngumu mtoto kuelezwa.ila suala la kuacha Hadi kusomesha watt wako pamoja na kuwapatia mahtaj ya msingi pia shida ....aah

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mnapenda wachaga lakini wao hawawapendi
Pumbavu sana kaoe /kaolewe kwenu hakuna watu huko? ?
Mimi nimeshuhudia kabsaaaa muhaya kanyimwa kuoa mrangi tena ameshamzalisha
Wazee wake wakampiga pin hawamtaki kabsaaaa huyo binti

Wamemtafutia muhaya mwenzake na ndoa ilishafungwa

Halafu sio lazima kuoa /kuolewa na kabila lingine tafuta wa kwenu kuondoa hizi lawama

Mnapenda kabila fulani kwa vile ni mafighter wa maisha ili unufaike nenda kwenu pumbavu kabsaa
Mbona mimi nimeoa kwetu Singida?
Tunakula maisha Hapa Denmark tuu

Kila kabila lina taratibu zake Hata wanangu nitataka waoe nyumbani

Period. !!!!!!

Mmesikia au niongoze sauti. ????
Safi sana.. ungemalizia na neno 'KMMMK'
 
Kwa kweli dunia ina mambo ya ajabu sana. Exboyfriend wangu ni Mchaga wa milimani. Tumedumu naye katika mahusiano kwa miaka zaidi ya mitano. Lakini katika muda huo kumekuwa na ups and down nyingi sana ambapo tukikaa tunarekebisha maisha yanaendelea.

Kwao natambulika ingawa si rasmi. Na swali la kwanza waliloniuliza kwao mimi ni kabila gani.

Wakaonyesha kunipokea na kunijali ingawa haikuwa utambulisho rasmi.
Baada ya miaka yote, nimegundua mwenzangu ameanzisha mahusiano na binti wa kichaga, yupo chuo mkoani.

Nikajaribu kuongea na mwenzangu ambaye aliniambia hayupo serious naye na ndio maana muda wote yupo na mimi na hawezi kuniacha hata itokee nini.

Baada ya siku chache tena mwenzangu akawa anaendeleza mahusiano hadi kupigiana simu zao mbele yangu.

Nilichokifanya ni kumlazimisha jamaa kuchagua jambo moja, mimi au Mchaga mwenzake wa huko chuo.
Mwenzangu alionyesha ugumu sana sana sana kuniacha ila pia kule kwa Mchaga mwenzake pia hataki kuacha.

Anachonieleza ni kuwa amenizoea, namjali, mimi ni part ya maisha yake, hivyo hataki niondoke ila wazazi wake wanataka apeleke mtu Mchaga na si kabila lingine.

Nimeamua kuondoka katika maisha yake ingawa mpaka sasa mwenzangu analeta ugumu sana katika kuchukua vitu vyangu nilivyoacha kwake. Ananidanganya na kunizungusha sana lakini kiukweli maisha anayotaka niyaishi, si maisha ninayoyataka.

Nimehuzunika tu kwa kuwa tumefika mwisho kwa sababu mimi si MCHAGA. Ubaguzi ambao Wachaga wengi wanao.

Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi hii hata nimeweza kulitoa dukuduku hili kwa ndugu zangu wana JF.
Pamoja na comment za kibabe ila kiukweli huwa ninafarijika sana ninaposhare na kukosolewa au kuonyeshwa njia sahihi.

Em tuma picha yako huenda hata si kabila ndo shida
 
Umeambiwa ukweli ukapaa Tu.

We si unaonaga ni Raha kutukatana makabila ya watu ( kwa mihemuko na chuki zako Bila utafiti) lakin wew ukiambiwa ukweli unapinga kama vile wew msafi wa kila kitu.

Bro nyie ni wabaguzi,wabinafsi,wezi na wenye roho mbaya.
Si kweli..acha chuki
 
Haya mapalestina ni bora muyaachage yaoane yenyewe kwa yenyewe tu...tena afadhali yako maana mwanaume ndo alikua mchaga ndo maana ukapata hata hiko kinafasi cha kutambulishwa ukweni
Mahusiano ambayo mwanamke ndo mchaga na mwanaume ni kabila jingine ndo yanakuwaga magumu balaa!!
Ni nadra sana mwanaume asiye mchaga (CHASAKA) kukubaliwa kuoa uchagani maana wanahofiaga kumpoteza member wa ukoo wao.
Kiufupi wachaga ni wabaguzi sana na wana ukabila kiwango cha SGR
Si kweli
 
Yaani ukitaka usalama wa roho yako kama wewe si mchaga basi usioe /kuolewa na mchaga....yale matambiko wanayofanyaga Kila mwisho wa mwaka hawatakuruhusu ushiriki maana wewe ni CHASAKA
Chuki na wivu
 
Back
Top Bottom