Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar

Kama siyo fasihi ni nini? ONDOA emotional ruhusu akili ifikiri
Ndio ni fasihi na alimaanisha ilikuwa fashi simulizi mpaka hapo Vatikani walipoamua kuiandika kama fasihi andishi kama kitabu kinachoitwa bibilia na sio Injili ili baadae wawezekuongezea utumbo wao kama sasa mashoga ni ruksa
Sasa wewe unatumia bibilia au Injili ?
 
Umeanza kuelewa Taratibu,umesema ukweli mtupu ,Sasa hata kitabu chako unachokiamini kilishushwa kuwa huru kidogo kijue nani aliandika ... Mimi ni Muuumini wa fasihi zote maana fasihi zote context yake ni moja ....Niko na aina hiyo ya utajiri
 
Mzungu alikuw anafny biashar hyo lakin pia mwarabu.baada ya industrial revolution,mzungu akaisitisha hyo biashara(abolition of slave trade)kwakufany hvyo bac alimtaka mwarabu alifunge soko hlo la kuuza/kununua watumwa.haikutumia nadharia ya udini hapa hvyo tuclete matabaka hap katik dini zetu sis sote ni wamoja
 
Hii umeitoa kwenye hadith gani?
Share nasi.

Sahih Muslim inasimulia habari za mtumwa wa mtume aliyeitwa Safina.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-26-23-14-12-400_com.openai.chatgpt~2.jpg
    78.5 KB · Views: 2
Ndiyo!!!! Kitu ambacho huelewi ni kitu KIMOJA tu kitabu chako kina story au hadithi za KUSADIKIKA kama vingine tu no new concept.. (HII HAINA MAANA KWAMBA SIHESHIMU WALA SITHAMINI MAWAZO YA WENGINE) Ninao uhuru kwa kuwa na maoni yangu yenye staha kwako.

Kama kweli unayoyaamini kwenye kitabu chako you take it as kweli yalitokea na yatatokea Iko shida mahala kwenye brain Yako which Umekuwa brainwashed kwa kiwango Cha juu kabisa...Mwarabu na mzungu hawapaswi kutetewa wanapaswa kuambiwa UKWELI
Uliwahi kuisoma ukaona ni fasihi ??
 
Kwa ushuhuda wa Quran Muhammad alimiliki watumwa na watumwa weusi walikuwana thaman nusu kuliko watumwa wa rangi nyingine.
Wazungu wanakili kuhuska kufanya utumwa ila wakilengwa waarabu mtu mweusi anawakingia kifua just because walimletea Dini.
Ushuhuda wa quran? Unaweza kuweka aya? Kama dalili mkuu?
 
So what?
 

Sasa tuambie huo ufasihi wa Quran utuletee ushahidi usitoe povu tafadhali
 
Kama hawakuanzisha, je pia hawakufanya hiyo biashara haramu moja kwa moja ama kupitia uwakala?

Akina Tippi Tippu ni kina nani?
 
Watasema imepikwa.
 
Kwa ushuhuda wa Quran Muhammad alimiliki watumwa na watumwa weusi walikuwana thaman nusu kuliko watumwa wa rangi nyingine.
Wazungu wanakili kuhuska kufanya utumwa ila wakilengwa waarabu mtu mweusi anawakingia kifua just because walimletea Dini.
= wanakiri

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kanisa na maaskofu hapo wanawapigia "propaganda" Waarabu, au siyo?
 
Kwa ushuhuda wa Quran Muhammad alimiliki watumwa na watumwa weusi walikuwana thaman nusu kuliko watumwa wa rangi nyingine.
Wazungu wanakili kuhuska kufanya utumwa ila wakilengwa waarabu mtu mweusi anawakingia kifua just because walimletea Dini.
Kwani hao wazungu walikuletea nini? Shanga ili ukatike vizuri, au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…