FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Isingekuwa Mjerumani ungekuwa Mzanzibar.Yanayoendelea sasa hapa Tanganyika ni zaidi ya Ukoloni.
Aliyekukoloni ni mjerumani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isingekuwa Mjerumani ungekuwa Mzanzibar.Yanayoendelea sasa hapa Tanganyika ni zaidi ya Ukoloni.
mmmh🤔🤔Watanzania, kama wanavyojua wengi ukweli ni kwamba hii janja janja ya wazungu na wa Asia ya kumpa PhD za Bure Ndugu yenu wameshamjua udhaifu wake na hivyo wanacheza na akili yake..
Takbir….Kazi ya Mungu haina makosa.
Endeleeni kujitoa ufahamu kisa niwa nyumbani kwetu.Isingekuwa Mjerumani ungekuwa Mzanzibar.
Aliyekukoloni ni mjerumani.
😅😅😅😅😅😅kumekuchaMzushi mkubwa wewe uliyejaa moyo wa chuki na wivu tu kama shetani. Kwanini usiweke hapa hiyo mikataba badala ya kuongea ngonjera zako hapa zisizo na UKWELI wala uhalisia? Kwani unafikiri Rais wetu ni mjinga kama ulivyo wewe ambaye siku zote ulishajaa chuki binafsi kwa Rais wetu?
Wewe tangia muda inafahamika wazi kuwa ni jitu na mtu mkabila ,mdini na mbaguzi sana uliyejaa chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.Washamjulia anachokipenda 🤣.
Easy work.
Wanapewa wenye akili na siyo vichwa panzi aina yako.Namimi nifanye nini ili nipewe PhD za bure?
Ambaye natilia shaka uwepo wa Mungu unanituhumu kuwa mdini!Wewe tangia muda inafahamika wazi kuwa ni jitu na mtu mkabila ,mdini na mbaguzi sana uliyejaa chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.
Akili yako ilishapofushwa na mawazo yako ya kijinga ya ubaguzi na chuki binafsi.Ambaye natilia shaka uwepo wa Mungu unanituhumu kuwa mdini!
Juha Kama jiwe wewe.
Nchi hii haina kitu kinachoitwa intelligence service, wapo watu wanaojiita usalama wa taifa na kazi yao ni kutumika na wanasiasa wa ccm na kutii amri za raisi aliyepo madarakani.Kama hadi nyie kina kaka kuona mnaliona hilo, mnadhani DGIS wetu halioni..?? Mnadhani Intelligence service zetu hazitoi proper counselling and advice..?
Mengine hayapo kama hivyo mnavyoyaona.
Come and fight me one on one. A street fight 🤛.Akili yako ilishapofushwa na mawazo yako ya kijinga ya ubaguzi na chuki binafsi.
Kichwa panzi ni wewe ambaye akili yako imechanganyika na maji kama siyo kamasiWanapewa wenye akili na siyo vichwa panzi aina yako.
Wakumlaumu ni Magufuli alifanya kosa kubwa sana.Akili ndogo inaendelea kutu cost kama taifa, mpaka aondoke madarakani huyu mwanamke atatuacha hatuna thamani yoyote zaidi ya kuhangaika kulipa madeni huku rasilimali zetu akiwa amezitoa kwa wageni, Samia amekuja kutuachia umaskini watanganyika.