Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Hakuna mwislamu anaye valia rozali shingoni, na kama yupo basi huyo sio miongoni mwetu hata kama atajinasibisha na uwislamu, Tasbih inaweza kushikwa mkononi na akivaliwa shingoni kwa nia ya kuibeba hakuna shida lakini ikiwa kwa nia ya mapambo bado ni mafundisho tofauti na dini, hayo ni matakwa ya watu binafsi nasio dini. Ni kama vile wapo wakristo akivalia kanzu na kofia
Kuna utofauti gan kati ya rozali na tasbih? Nieleweshe tafadhal
 
Hakuna mwislamu anaye valia rozali shingoni, na kama yupo basi huyo sio miongoni mwetu hata kama atajinasibisha na uwislamu, Tasbih inaweza kushikwa mkononi na akivaliwa shingoni kwa nia ya kuibeba hakuna shida lakini ikiwa kwa nia ya mapambo bado ni mafundisho tofauti na dini, hayo ni matakwa ya watu binafsi nasio dini. Ni kama vile wapo wakristo akivalia kanzu na kofia
Kuna utofauti gan kati ya rozali na tasbih? Nieleweshe tafadhal
 
Nimejaribu kuelewa andiko lako kwa kulisoma kwa umakini sijaelewa. Nichukulie mfano ambao umeutoa wa Yesu na Gautama (buddha). Nitatumia mfano rahisi wa Yesu mnazareti.

Biblia imeandika maisha, matendo, kifo na kufufuka kwake. Haya ni matendo yaliyotokea katika historia na kwa hiyo yanapaswa kupimwa usahihi wake kwa vyanzo vya karne ya kwanza na si vinginevyo. Tuna vitabu kwenye Biblia vimeandikwa ndani ya miaka 30. Na kitabu cha mwisho ki

Kabla ya mwaka 570 BK hakukua na mtu anaitwa "Muhammad" na yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kuitwa "Muhammad bin Abdullah" huu ni ushidi tosha ,Sasa kujua huyu mtu alikuwepo kweli inabidi tuasome historia yake....mtume amepigana vita vingi inafahamika na kwana namna yeyote vita lazima ibakishe alama na ndio maana nikakuletea alama ya vita vya battle of trench ,Machi 627 BK - Aprili 627 BK.
Nabadhi ya maandiko kumuhusu ambayo mengine hayapo kwenye sira na hayawakuandikwa waislamu ambao walitambua uwepo wake

Njia nyingine ya kungalia ushahidi wa existence yake kwa kungalia mabaki ya familia yake , watu wake wa karibu (masahaba) na viongizi wa kipindi chake...maana kama yeye hakuwepo basi hao watu wote watukuwa ni WA kusadikika pia. Can you handle this ?
 
Jibril (AS) alisema: "Iqra."

Iqra inaweza kueleweka kama "kusoma [kutoka kwa maneno yaliyoandikwa]" na "kusoma [kitu kilichokaririwa]."

Jibu la Mtume (SAW) lilikuwa: "Mimi sio msomaji" au "Siwezi kusoma."

Kama ilivyo, alikuwa akisema: Sijawahi kujifunza au kusoma chochote ili niweze kukisoma.

Kwanza, kwa sababu alikuwa hasomi na hakuweza kusoma vitabu, kwa hivyo ni wazi hakukariri chochote kutoka kwa watu waliopita. Pili, kwa sababu hakukariri usomaji wowote wa mdomo kabla ya yote.

Kwa hivyo, ndio sababu alichanganyikiwa juu ya nini cha kusoma.

Kisha, Jibril (AS) akamkumbatia kwa nguvu sana. Halafu, hii ilirudia mara tatu. Jibril (AS) alisema "Iqra," na akasema "mimi sio msomaji."

Baada ya mara ya tatu, Jibril (AS) alimfundisha nini cha kusoma:

Soma! Kwa jina la Mola wako aliyeumba: Amemuumba mtu kutoka kwa umbo la kushikamana.

Soma! Mola wako Mlezi ndiye Mkarimu zaidi aliyefundisha kwa njia ya kalamu, ambaye alimfundisha mwanadamu asiyoyajua. (96: 1-5)

Hizi ndizo Aya za kwanza za Quran zilizoteremshwa.

Kwa muhtasari, kile Jibril (AS) alisema kilimaanisha "kusoma" na hii inaweza kufanywa na mtu asiyejua kusoma na kuandika ikiwa atakariri kitu. Hivi ndivyo Mtume (SAW) alifanya. Alisoma kile alichokariri kutoka kwa Jibril (AS).
Salaams. Nimependa majibu yako uliyojibu kwa weledi mkubwa. Lkn ktk kujibu swami hili nadhani kuna uelewa finyu miongoni kwa waislam wengi.
Yawezekana sababu hii inatokana na ufinyu la lugha ya kiswahili wa neno lenyewe.

Soma kwa kimombo lina maana nyingi.

Memorize (soma kwa maana -hifadhi kilichoandikwa), learn ( soma kitu kipya na elewa maana yake) , Read ( soma kilichoandikwa).

Naamini maana sahihi zaidi Mtume (S) aliamrishwa ni zote tatu na zote alizitekeleza. Lkn pale pangoni aliamrishwa a- Learn, na sio read au memorize kama waislam wangi wanavyoelewa.

Na context ya aya hii aliamrishwa elimu yeyote atakayoisoma sawa na maelekezo ya MwenyeziMungu. Kwa maana kusoma kuwa ni sehemu ya ibada. Na wala isiwe ni kama dhana za elimu nyingine lengo likiwa ni kupata ajira au mfano wa hayo...
 
Kwa sasa sina ila ntakutafutia

Ukristo umeanza miaka.mamia kabla ya uislam inakuwaje maandiko ya Biblia yanashabihiana na Qur'an? Je wana wa Israel ni waislam? Kama ndio mbona mnawachukia?
Najaribu kuweka sawa sentensi yako. Quran inashabihiana kwa kiasi kikubwa na agano la kale, has a taurati na zaburi.
 
Mkuu Uislam ulianza karne ya Tisa baada ya Abbasid empire kuanza kukua kiuchumi Na kutanuka kimipaka...ili kujitofautisha Na warumi wakatunga story Kuwa miaka 200 iliyopita walikuwa Na mtume na Quran nk.

Lakini most historic evidence points that Uislam ulianza Karne ya tisa


Hebu tufafanulie kwamba uislamu ulianza Karne ya 9
 
Ahsante ndugu, Uhalali wa Mawlid "umekuwa mada ya mjadala mkali" na imeelezewa kama "labda moja ya majadiliano mabaya zaidi katika sheria ya Kiislamu". Wasunni wengi na karibu wasomi wote wa Shia wameidhinisha maadhimisho ya Mawlid, wakati wasomi wa Salafi, Mawahabi na Ahmadiyya wanapinga sherehe hiyo. Hapo zamani, Saudi Arabia kwa sasa inakataza maadhimisho ya Mawlid. Lakini ni ajenda maalum iliyotengenezwa na wamagharibi ili kuupunguza nguvu uwislamu, kwani mawlid hutumika kuutangaza uwislamu.

Kusoma Mawlid halali- maadamu ina mkutano na watu, kisomo cha Qu'an, kusimuliwa kwa ( wasifu wa) Nabii MUHAMMAD) - Mungu ambariki na ampe amani - na maajabu yaliyotokea wakati wa kuzaliwa kwake, ambayo yote hufuatiwa na karamu ambayo huhudumiwa kwao na wanayokula-ni ubunifu mzuri ( bid'a hasana), ambayo mtu hupewa thawabu kwa sababu ya heshima iliyoonyeshwa kwa nafasi ya Mtume - Mungu ambariki na ampe amani.
-----
Mtume alifanyiwa mawlid mbele yake kwa kusifiwa.
Mche mola wako akhy...


( bid'a hasana),
Kila bida'a ktk ni upotovu na kila upotovu.....?
Lakini ni ajenda maalum iliyotengenezwa na wamagharibi ili kuupunguza nguvu uwislamu, kwani mawlid hutumika kuutangaza uwislamu.
Hii leo mpya....kwa hyo adi sasa uislamu ulivyoenea ni jitihada za maulidi?

Ila mche Allah,na iyogope sku ya mwisho.
 
Najaribu kuweka sawa sentensi yako. Quran inashabihiana kwa kiasi kikubwa na agano la kale, has a taurati na zaburi.
Toa na mfano...maana ukisoma torati inaelezea sifa Za nabii ambazo muhamad hakuwa nazo
 
Kwanini mnasema muhamad alikuwa nabii/mtume? Kuna uspecial Gani alikuwa nao?
 
Kwa nini ya Muhamad iwe real ya Yesu iwe uongo chief? Unaweza kutupa maelezo kidogo ya hapo ili tuelewe u real na uongo uko wapi?
KWASABABU hakuna andiko lolote la kihistoria au kidini linaloonyesha tarehe ya kuzaliwa yesu lakini yapo maandiko ya kihistoria na kidini yanayoonyesha tarehe halisi aliyozaliwa Muhamad
 
hicho kitendo si unyanyasaji wa kingono? mtoto wa miaka 9 uke unaweza kubeba uume wa mtu wa miaka 25? je , Mwanao wa miaka 9 akitolewa mahari na Hasheem dhabit -utaruhusu afanywe mapenzi?
kwanza kabisa mtume hakumuoa Aisha akiwa na miaka 25 bali kipindi anamuoa aisha mtume alikua na miaka 53 wakati aisha akiwa na miaka 9.kuhusu swali la je mwanangu nitaruhusu aoelewe akiwa na miaka tisa jibu ni NO na ishu sio hasheem thabiti wala nani ishu ni sitashiriki ukatili kwa mtoto
 
KWASABABU hakuna andiko lolote la kihistoria au kidini linaloonyesha tarehe ya kuzaliwa yesu lakini yapo maandiko ya kihistoria na kidini yanayoonyesha tarehe halisi aliyozaliwa Muhamad
Hakuna andiko hilo. Kinachofahamika ni kwamba Mtume alizaliwa siku ya j'tatu. Na hili alilithibitisha mwenyewe.
Kama unalo andiko sahihi kuhusu tarehe,mwezi tuwekee
 
Mkuu Uislam ulianza karne ya Tisa baada ya Abbasid empire kuanza kukua kiuchumi Na kutanuka kimipaka...ili kujitofautisha Na warumi wakatunga story Kuwa miaka 200 iliyopita walikuwa Na mtume na Quran nk.

Lakini most historic evidence points that Uislam ulianza Karne ya tisa
kwamba mtume aliishi karne ya tisa ? au unamaanisha hakuwahi kuwepo
 
Back
Top Bottom