Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi, kama hutaki kuombwa michango kaa nyumbani kwako, michango ni culture yetu ndio maana hata Lissu alitibiwa kwa pesa za michango yetu, M4C ilistawi kwa michango, wabunge walilipa faini mahakamani kwa michango yetu
Wewe kaa pembeni tu usitubabaishe, unabwabwaja kama mke mwenza
Binafsi nilikuwa na Kama Milioni hivi lakini kuchangia watu wanaotukana Serikali siwezi!!!!
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Usilalamike sasa, hela hujatoa bado unalalamika, ungetoa hela ingekuajeWe nae huna hata unalolijua. Kwenda nitaenda na kesho naenda segerea, ila PESA HATUTACHANGA
Nani atoe,Nchi hii tulikuwa tunachangia wale waliokuwa wanatafuta Uhuru tu!!!sio hawa opportunities hawaHakuna kutoa hata mia
Huyu John nasikia ndiye alikuwa stadi wa kumletea EL andiko la gharama za kampeni. Ikabidi familia ya mamvwi ingilie kati.
Usilalamike sasa, hela hujatoa bado unalalamika, ungetoa hela ingekuaje
Nenda Lumumba
Ila mimi sipo huko Dar, nitahudhuria ya kwetu huku Chuga.Mamluki kila mkutano naenda? We hadi sasa sidhani kama umehudhuria hata mmoja.
Kesho mapemaa nasogea pale tabata liwiti
Usitoe hata miaIla mimi sipo huko Dar, nitahudhuria ya kwetu huku Chuga.
Pandikizi la kijaniUnaonyesha kabisa kuwa wewe sio Mfuasi wao bali ni Mamluki.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Si mnasema wametumwa na MABEBERU? ina maana hao MABEBERU hawajawapa pesa hadi wanachangishana? Ukiwa Ccm hata uwe na PhD unakuwa mpumbavu kama mwenyekiti tu
USITOE MIMI NITATOA SIKUWAHI KUTOAMkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Anawashwa huyu sio bure, kwa taarifa yake tutachanga tu hata wakichangisha mwaka mzima
Hatutaki kuchanga pesa
Voda tena?! Walisema tuzichome moto kwenye sakata la Ben Saanane?... na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Mbona dawa ndogo tu, kampeni za Chadema usiende na simu au ukisikia "Tufikishe ujumbe kwa Magufuli, bonyeza nyota 150 nyota 01 nyota.... " Jua ni wizi wa mtandao. Zima simu chomoa na battery.Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.