Kutoa papuchi kila wakati ukiambiwa kuchanga hutakiSijalalamika kwenda, balj jinsi tunavyoombwa kuchanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa papuchi kila wakati ukiambiwa kuchanga hutakiSijalalamika kwenda, balj jinsi tunavyoombwa kuchanga
You are completely out of sense....u deserve to be ignored
Achana na habari ya mbowe hapa tunaongelea cdm. Kuendesha kampeni si gharama ndogo eti;!! Hugo mbowe mwenyewe ni kama kafilisiwa
Katoe kwa Gwajima aendelee kukumwagia miuno moto.Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Mpuuzi ww umefosiwaKwa hiyo tuchange tu hata kama hatuna?
Sema huna hata mia, kapulu mkubwa wewe, utakuta unaishi kwa shemeji yako umekosa ajaira na bado huoni kama ni tatizo, siku dada yako akiachika utaelewaMkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Sema huna hata mia, kapulu mkubwa wewe, utakuta unaishi kwa shemeji yako umekosa ajaira na bado huoni kama ni tatizo, siku dada yako akiachika utaelewa
Mpuuzi ww umefosiwa
Katoe kwa Gwajima aendelee kukumwagia miuno moto.
Hebu lala dogo acha kujipa stress kwa ishu ambazo sio level yakoWanavyosema toeni simu zenu kisha bonyeza *150*00#, huoni kama hapo wanatuforce?
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
You are in love with CHADEMA. Wape publicity kama unavyofanya...
Hebu lala dogo acha kujipa stress kwa ishu ambazo sio level yako
Mchawi
Ova
Ni kweli naipenda chadema, ila pesa SITACHANGA
Mabeberu walizituma kupitia NGO fulani ya Haki za Binadamu Tanzania ila zimezuiliwa bank kutumika hadi upelelezi wa kusudi wa hela hizo utakapokamilika.Si mnasema wametumwa na MABEBERU? ina maana hao MABEBERU hawajawapa pesa hadi wanachangishana? Ukiwa Ccm hata uwe na PhD unakuwa mpumbavu kama mwenyekiti tu
Sema huna pesa, umenyonywa na mfumo wa CCM nani bado unashabikia ujingaStress wanatupa hawa wanasiasa na michango yao ambayo haieleweki
Acha unafikiNi kweli naipenda chadema, ila pesa SITACHANGA
HahahaaaMkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.