Uchaguzi 2020 Tumechangishwa tena michango. Nimeuchuna, sijatoa

Uchaguzi 2020 Tumechangishwa tena michango. Nimeuchuna, sijatoa

Hujalazimishwa ila me nilikuwepo na nimechanga
IMG-20200829-WA0006.jpg
 
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.

Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.

Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.

Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.

Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Na were mada zako za michango tuondolee hapa kwani umelazimishwa acha umbea
 
Usitoe hata mia
Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.
 
Si mnasema wametumwa na MABEBERU? ina maana hao MABEBERU hawajawapa pesa hadi wanachangishana? Ukiwa Ccm hata uwe na PhD unakuwa mpumbavu kama mwenyekiti tu
Waliwapa masharti mpaka yatokee maandamano na polisi waumize watz ndiyo wanaanza kuleta pesa. Ndiyo maana unamwona Lissu kila mara anataka watu waandamane lakini watz hawataki kabisa wanampenda sana Magufuli umeona leo nyomi ya Dodoma...!!?? Jiji la Dodoma lilisimama!!
 
Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.
Kachange pesa huko saccos imefulia pesa zote walizochanga wabunge wa Saccos Mwenyekiti Faru John na kundi lake amezipiga!!
 
Nazani chadema walitakiwa kabla ya kuchangisha waseme rudhuku zimefanya kaz gan.
 
Kachange pesa huko saccos imefulia pesa zote walizochanga wabunge wa Saccos Mwenyekiti Faru John na kundi lake amezipiga!!
Nimeshachanga, mwambie huyo boga mwenzio aiteme Chadema.
 
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.

Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.

Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.

Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.

Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Ifike wakati waone aibu hata rungwe haombi pesa tena anagawa maubwabwa nyie kuomba pesa kama ombaomba wa ubungu
 
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.

Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.

Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.

Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.

Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.

Haujalazimishwa hata US kuna michango kwenye siasa cha ajabu kipi. Unataka pesa zitoke serikalini kama wale waliojibinafsisha viwanja vya serikali?
 
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.

Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.

Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.

Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.

Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Hivi nyie kila siku ni michango tu kwani mko harusini au mkutanoni si mtoke tu🤣😂
 
Mbona dawa ndogo tu, kampeni za Chadema usiende na simu au ukisikia "Tufikishe ujumbe kwa Magufuli, bonyeza nyota 150 nyota 01 nyota.... " Jua ni wizi wa mtandao. Zima simu chomoa na battery.
Hii ndio dawa yao
 
Wewe gamba una kiherehere sana, mnafiki fulani unaejidai kuipenda Chadema kumbe ni muongo, hata hiyo mikutano nani mwenye akili timamu atakaeamini unaenda?

Wewe ni Idiot.
Nimeenda na kesho pale tabata liwiti ninaenda tena.
Ila mkianza kuchanga pesa, tutawaongopea tena kuwa hakuna network
 
Na were mada zako za michango tuondolee hapa kwani umelazimishwa acha umbea
Sasa kama hatujalazimishwa kwa nn kila mkutano mnatuambia tutoe simu zetu alafu tubonyeze *150*00#???
 
Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.
Unataka tutoe pesa tunazitolea wapi?? Tunawacjangiaje watu ambao wamechukua kiinua mgongo zaidi ya mil 200???
 
Back
Top Bottom