dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Na were mada zako za michango tuondolee hapa kwani umelazimishwa acha umbeaMkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.Usitoe hata mia
Waliwapa masharti mpaka yatokee maandamano na polisi waumize watz ndiyo wanaanza kuleta pesa. Ndiyo maana unamwona Lissu kila mara anataka watu waandamane lakini watz hawataki kabisa wanampenda sana Magufuli umeona leo nyomi ya Dodoma...!!?? Jiji la Dodoma lilisimama!!Si mnasema wametumwa na MABEBERU? ina maana hao MABEBERU hawajawapa pesa hadi wanachangishana? Ukiwa Ccm hata uwe na PhD unakuwa mpumbavu kama mwenyekiti tu
Kachange pesa huko saccos imefulia pesa zote walizochanga wabunge wa Saccos Mwenyekiti Faru John na kundi lake amezipiga!!Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.
Nimeshachanga, mwambie huyo boga mwenzio aiteme Chadema.Kachange pesa huko saccos imefulia pesa zote walizochanga wabunge wa Saccos Mwenyekiti Faru John na kundi lake amezipiga!!
Ifike wakati waone aibu hata rungwe haombi pesa tena anagawa maubwabwa nyie kuomba pesa kama ombaomba wa ubunguMkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Hivi nyie kila siku ni michango tu kwani mko harusini au mkutanoni si mtoke tu🤣😂Mkutano umeisha muda mfupi uliopita baada ya mgombea wetu kueleza sera zake.
Leo ameyameza maneno yake ya jana na hivyo ametueleza sera zake, ni nzuri ila kuna sehemu anarudiarudia sana.
Kilichonisikitisha ni kuwa bado jambo lile la jana limejitokeza na leo kwa kuchangishwa michango ila leo aliyesema tutoe simu na kuchanga ni John Mrema, na sijui ni nani aliwaambia tunaokuja kwenye mkutano tuna namba za Voda tu.
Hatujachanga, kwa sauti ya unyonge sana tumesingizia tena network.
Watu ni wachache sana ila tukutane kesho Segerea.
Unatoa wapi pesa wakati huna ajira??USITOE MIMI NITATOA SIKUWAHI KUTOA
Hukumsikia mchagga john mrema?? Eti toeni simu zenu kwa wenye vodaUmechangishwa pesa saa ngapi wakati ulikua kwenye lori la mpwapwa?
Ujumbe umefika,HATUTACHANGA PESAWe mama ni lini umekuwa msemaji wetu??, nakushauri tu ukitulize kipago
Hawa hata wanajielewa basiVoda tena?! Walisema tuzichome moto kwenye sakata la Ben Saanane?
Hii ndio dawa yaoMbona dawa ndogo tu, kampeni za Chadema usiende na simu au ukisikia "Tufikishe ujumbe kwa Magufuli, bonyeza nyota 150 nyota 01 nyota.... " Jua ni wizi wa mtandao. Zima simu chomoa na battery.
Nimeenda na kesho pale tabata liwiti ninaenda tena.Wewe gamba una kiherehere sana, mnafiki fulani unaejidai kuipenda Chadema kumbe ni muongo, hata hiyo mikutano nani mwenye akili timamu atakaeamini unaenda?
Wewe ni Idiot.
Pesa umeitoa wapi? We hata nauli tu hunaHujalazimishwa ila me nilikuwepo na nimechangaView attachment 1552313
Sasa kama hatujalazimishwa kwa nn kila mkutano mnatuambia tutoe simu zetu alafu tubonyeze *150*00#???Na were mada zako za michango tuondolee hapa kwani umelazimishwa acha umbea
Unataka tutoe pesa tunazitolea wapi?? Tunawacjangiaje watu ambao wamechukua kiinua mgongo zaidi ya mil 200???Ungekuwa kweli unaipenda Chadema usingetoa comment ya kipuuzi kama hiyo hapo juu, wewe ni mshamba unaejaribu kuchezea akili za wajanja, rudi bush, toka jana nimekuchora leo nakupa za uso wewe kubwa jinga.
Sema sitaki kuchanga pesa.Hatutaki kuchanga pesa