Tumechoka na Kampeni za Hedhi Salama 'Maredioni'. Himizeni Mabinti kuacha Tamaa na Kumomonyoka Kimaadili

Tumechoka na Kampeni za Hedhi Salama 'Maredioni'. Himizeni Mabinti kuacha Tamaa na Kumomonyoka Kimaadili

Kila Siku tu ukifungulia Redio mbalimbali Mada nyingi ni Hedhi kwa Mabinti hadi wengine sasa mnatutia Kinyaa tu kutokana na wengine kuelezea jinsi Damu zinavyotoka.

Huu muda mnaoutumia kufanya Kampeni za Hedhi Salama kwa Mabinti utumieni katika Kuwajenga zaidi Kimaadili na kuwaasa waache Tamaa na wasiwe Mazuzu ( Majuha ) katika Jamii.

Mbona miaka ya zamani akina Bibi zetu, Mama zetu, Shangazi zetu na Dada zetu walikuwa hawapati Changamoto zozote na Shule walikuwa Wanaenda, Wanafaulu, walikuwa Werevu na mpaka Wametuzaa Sisi Watoto Wao tuliorithi Uwerevu wao?

Acheni Unafiki na jikiteni katika Mambo ya Msingi juu ya hawa Mabinti na siyo Kelele za Kutwa za Hedhi Salama.

Nimemaliza.
Kwani unalazimishwa kusikiliza
 
Yaani nimesoma majibu ya watu kwenye huu uzi, nimesikitika sana, ila pia ninamshukuru mleta mada (every dark cloud has a silver lining).

Jambo la HEDHI SALAMA ni JAMBO LA KIJAMII!! Naomba tutambue hili. Tuanze na haya machache:

1. Linagusa afya ya wasichana na wanawake: sababu moja wapo ya ongezeko la ugumba, saratani ya kizazi na magonjwa ya uzazi, ni pamoja na kutokuwa na usalama wa hedhi. Taarifa potofu na ukosefu wa taulo salama umeumiza wengi. Hasa kwa vizazi vya sasa, ufahamu hafifu wa chakula kinavyoathiri hedhi, matumizi yasiyo sahihi ya dawa, taulo zisizo salama na vitu vingine, vinazidi kuwaumiza na kuwaathiri vibaya wasichana. Kuna tatizo la maumivu makala wakati wa hedhi (dysmenorrhea) umeongezeka sana na unaathiri ufanisi wa binti au mwanamke katika kazi zake za kila siku, na pia huweza kuashiria magonjwa ya uzazi.

2. Linagusa uchumi: Kila mwezi karibia kila binti au mwanamke aliyevunja ungo, lazima agharamike kupata taulo za kike au hata dawa za maumivu. Hii siyo gharama ya hiari, hasa ukihitaji usalama. Je tunajua linayoathiri uchumi wa kina mama? Pakiti ya taulo za kike ni kati ya Tsh 1,200 mpaka Tsh4,000 na zinakaa kati ya 8 hadi 10. Kila mzunguko (kutegemeana na wingi wa damu) mwanamke hutakiwa kutumia si chini ya taulo 3 kwa siku, ile awe salama. Angalao sasa kuna taulo re-usable au re-usable cups, japo siyo nyingi na siyo wote wanaweza kutumia.

3. Linagusa miundo mbinu ya maeneo ya umma: Lazima kuzingatia miundo mbinu - hasa vyoo na mabafu - katika maeneo ya umma mbayo yatakidhi mwanamke kujisafisha na kupunguza uwezekano wa athari za kiafya. Hili ni muhimu hasa mashuleni, katika hospitali, ofisi za umma, katika masoko, nk.

4. Linagusa elimu na maarifa: Elimu na maarifa kwa umma kuhusu hedhi salama ni muhimu kwa kuwa hili ni swala linalogusa sekta mbalimbali, zenye wanawake na wanaume. Elimu na maarifa sahihi hupunguza athari siyo tu kwa wanawake bali hata wanaume.

Kusema unaona kinyaa kuzungumzia maswala ya hedhi salama ni ubinafsi. Hakuna aliyechagua kuzaliwa mwanamke wala mwanaume, hivyo tuheshimu baiolojia ya kila mmoja na kuthamini tunayopitia kama binadamu.
 
Kila Siku tu ukifungulia Redio mbalimbali Mada nyingi ni Hedhi kwa Mabinti hadi wengine sasa mnatutia Kinyaa tu kutokana na wengine kuelezea jinsi Damu zinavyotoka.

Huu muda mnaoutumia kufanya Kampeni za Hedhi Salama kwa Mabinti utumieni katika Kuwajenga zaidi Kimaadili na kuwaasa waache Tamaa na wasiwe Mazuzu ( Majuha ) katika Jamii.

Mbona miaka ya zamani akina Bibi zetu, Mama zetu, Shangazi zetu na Dada zetu walikuwa hawapati Changamoto zozote na Shule walikuwa Wanaenda, Wanafaulu, walikuwa Werevu na mpaka Wametuzaa Sisi Watoto Wao tuliorithi Uwerevu wao?

Acheni Unafiki na jikiteni katika Mambo ya Msingi juu ya hawa Mabinti na siyo Kelele za Kutwa za Hedhi Salama.

Nimemaliza.
Siyo tu Hedhi, kelele za wanawake tukizikalia kimya, huko mbeleni Kuna hatari Kwa kizazi cha kiume, mzungu anaenda anageuza ukurasa taratibu wa Dunia, haki Kwa wanawake, uwezo wa kufanya kama wanaume, ndoa za jinsia moja, uzazi wa mpango utakaofanya Dunia hasa ya kiAfrika ipungue watu na kumomonyoka kukubwa Kwa maadili, South Africa wameanza kuiwini kwa kasi ya 6G
 
Huyu anadhani hedhi inatokana na ufuska! Kichaa huyu hajui siku hizi makundi makubwa ya wasichana wako mashuleni na hawana uwezo wa kununua sodo.
ungeelewa kabla hujamjibu tumechoka na biashara zao hizo biashara zao wanatangaza huko mbinga radio one inashika waende vijijini nchi zima na wafungue maduka ya pedi huko
 
Na utasikia wanasema kabisa eti "siku zao ni siku zetu" 😀😀😀
Hili suala ni fursa na watu wanaitumia
 
Hivi kuvuja damu ukeni mbona linafanywa mada sana na hawa wezi wetu? Kwani mabinti wa sasa ndio natoka hedhi je mabibi zetu hawakuwa na hedhi salama. Tena waliziba kwa khanga tu zilizotumika .
Huu ujinga ndio unaofagilia ngono tu mambo ya hedhi mabinti wafunzwe na mama zao.
Huu sio ugonjwa . Mbona wanaume wanapobadilika sauti haliwi tangazo kubwa au vichuchu vya uchungu hawaelezewi wajitunzaje?

Lengo nikuelekeza mabinti wajishughulishe na uke na kuuwazia saaaaana kuliko kingine

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Watoto wengi wa kike Tanzania wanapata mimba katika umri mdogo kwa sababu ya aibu kama hizi.
Ila ukweli hii issue inaboa Sana Kwa sasa

Umekaa na watu wako na heshima zao

Like mum and father halaf TV ndio hiyo inapitisha
Hilo tangazo na lnakua refu kweli kweli yaani
Mpaka unaaibika
 
Ila ukweli hii issue inaboa Sana Kwa sasa

Umekaa na watu wako na heshima zao

Like mum and father halaf TV ndio hiyo inapitisha
Hilo tangazo na lnakua refu kweli kweli yaani
Mpaka unaaibika
Kwani wazazi wako hawajui kama mwanamke anatakiwa apate hedhi mila mwezi??
 
Mkuu Samcezar unashauri pedi ziwe recycled [emoji3534] kama chupa za plastiki?
No. Zinatakiwa kuwa destroyed na mtumiaji. Kuna namna ya kuziharibu anazihifadhi kwenye mfuko akimaliza anachoma moto kwenye shimo la takataka. Akipata mafuta ya taa itafaa zaidi.

Kuliko kutupa chooni au kutupa katika mfuko wa takataka au kuwapa mateja wanaokwenda zitupa barabarani au makazi ya watu.

Sio ustaarabu.
 
Yaani nimesoma majibu ya watu kwenye huu uzi, nimesikitika sana, ila pia ninamshukuru mleta mada (every dark cloud has a silver lining).

Jambo la HEDHI SALAMA ni JAMBO LA KIJAMII!! Naomba tutambue hili. Tuanze na haya machache:

1. Linagusa afya ya wasichana na wanawake: sababu moja wapo ya ongezeko la ugumba, saratani ya kizazi na magonjwa ya uzazi, ni pamoja na kutokuwa na usalama wa hedhi. Taarifa potofu na ukosefu wa taulo salama umeumiza wengi. Hasa kwa vizazi vya sasa, ufahamu hafifu wa chakula kinavyoathiri hedhi, matumizi yasiyo sahihi ya dawa, taulo zisizo salama na vitu vingine, vinazidi kuwaumiza na kuwaathiri vibaya wasichana. Kuna tatizo la maumivu makala wakati wa hedhi (dysmenorrhea) umeongezeka sana na unaathiri ufanisi wa binti au mwanamke katika kazi zake za kila siku, na pia huweza kuashiria magonjwa ya uzazi.

2. Linagusa uchumi: Kila mwezi karibia kila binti au mwanamke aliyevunja ungo, lazima agharamike kupata taulo za kike au hata dawa za maumivu. Hii siyo gharama ya hiari, hasa ukihitaji usalama. Je tunajua linayoathiri uchumi wa kina mama? Pakiti ya taulo za kike ni kati ya Tsh 1,200 mpaka Tsh4,000 na zinakaa kati ya 8 hadi 10. Kila mzunguko (kutegemeana na wingi wa damu) mwanamke hutakiwa kutumia si chini ya taulo 3 kwa siku, ile awe salama. Angalao sasa kuna taulo re-usable au re-usable cups, japo siyo nyingi na siyo wote wanaweza kutumia.

3. Linagusa miundo mbinu ya maeneo ya umma: Lazima kuzingatia miundo mbinu - hasa vyoo na mabafu - katika maeneo ya umma mbayo yatakidhi mwanamke kujisafisha na kupunguza uwezekano wa athari za kiafya. Hili ni muhimu hasa mashuleni, katika hospitali, ofisi za umma, katika masoko, nk.

4. Linagusa elimu na maarifa: Elimu na maarifa kwa umma kuhusu hedhi salama ni muhimu kwa kuwa hili ni swala linalogusa sekta mbalimbali, zenye wanawake na wanaume. Elimu na maarifa sahihi hupunguza athari siyo tu kwa wanawake bali hata wanaume.

Kusema unaona kinyaa kuzungumzia maswala ya hedhi salama ni ubinafsi. Hakuna aliyechagua kuzaliwa mwanamke wala mwanaume, hivyo tuheshimu baiolojia ya kila mmoja na kuthamini tunayopitia kama binadamu.
Hapakua na hedhi zamani?
Vyoo si wajenge?
Elimu si waweke vipeperushi wawape mabinti
Do they really have to do majukwaa about this?
 
Yaani nimesoma majibu ya watu kwenye huu uzi, nimesikitika sana, ila pia ninamshukuru mleta mada (every dark cloud has a silver lining).

Jambo la HEDHI SALAMA ni JAMBO LA KIJAMII!! Naomba tutambue hili. Tuanze na haya machache:

1. Linagusa afya ya wasichana na wanawake: sababu moja wapo ya ongezeko la ugumba, saratani ya kizazi na magonjwa ya uzazi, ni pamoja na kutokuwa na usalama wa hedhi. Taarifa potofu na ukosefu wa taulo salama umeumiza wengi. Hasa kwa vizazi vya sasa, ufahamu hafifu wa chakula kinavyoathiri hedhi, matumizi yasiyo sahihi ya dawa, taulo zisizo salama na vitu vingine, vinazidi kuwaumiza na kuwaathiri vibaya wasichana. Kuna tatizo la maumivu makala wakati wa hedhi (dysmenorrhea) umeongezeka sana na unaathiri ufanisi wa binti au mwanamke katika kazi zake za kila siku, na pia huweza kuashiria magonjwa ya uzazi.

2. Linagusa uchumi: Kila mwezi karibia kila binti au mwanamke aliyevunja ungo, lazima agharamike kupata taulo za kike au hata dawa za maumivu. Hii siyo gharama ya hiari, hasa ukihitaji usalama. Je tunajua linayoathiri uchumi wa kina mama? Pakiti ya taulo za kike ni kati ya Tsh 1,200 mpaka Tsh4,000 na zinakaa kati ya 8 hadi 10. Kila mzunguko (kutegemeana na wingi wa damu) mwanamke hutakiwa kutumia si chini ya taulo 3 kwa siku, ile awe salama. Angalao sasa kuna taulo re-usable au re-usable cups, japo siyo nyingi na siyo wote wanaweza kutumia.

3. Linagusa miundo mbinu ya maeneo ya umma: Lazima kuzingatia miundo mbinu - hasa vyoo na mabafu - katika maeneo ya umma mbayo yatakidhi mwanamke kujisafisha na kupunguza uwezekano wa athari za kiafya. Hili ni muhimu hasa mashuleni, katika hospitali, ofisi za umma, katika masoko, nk.

4. Linagusa elimu na maarifa: Elimu na maarifa kwa umma kuhusu hedhi salama ni muhimu kwa kuwa hili ni swala linalogusa sekta mbalimbali, zenye wanawake na wanaume. Elimu na maarifa sahihi hupunguza athari siyo tu kwa wanawake bali hata wanaume.

Kusema unaona kinyaa kuzungumzia maswala ya hedhi salama ni ubinafsi. Hakuna aliyechagua kuzaliwa mwanamke wala mwanaume, hivyo tuheshimu baiolojia ya kila mmoja na kuthamini tunayopitia kama binadamu.
Umejitetea sana. Hoja zako ni nzuri sana na ninakubaliana na wewe ila naomba ufahamu kuwa kuna mambo ya msingi kitaifa na mambo ya makundi maalumu ambayo hayana haja ya kuyaleta kwenye media.

Nyuma ya hii issue ya maswala ya hedhi kuna watu wanapush ajenda ili hili swala liwe popular wao wauze pedi especially maeneo ya vijijini ambapo watu hawana uwezo kumudu pedi kupitia michango na fedha za wafadhili kutoka nje.

Hili mimi nalijua kitambo sana. Kama utakumbuka kunakipindi mange kimambi alimpost Flaviana Matata akawa ana mind kuwa ametengeneza brand ya pedi imefeli kwenye soko sababu ya bei na watu hawanunui anapata hasara so ameamua kuuza kupitia kampeni za hedhi salama.

Miaka yote unataka kunambia mabinti walikuwa wanasurvive vipi?!

Unajua ni taboo kuongelea hedhi ya mtoto wa kike hadharani?! Haya mambo wanawake huwa wanadeal nayo very private. Hedhi haijaanza juzi, ni kitu cha muda mrefu. Kwahiyo hao mabinti wa miaka hiyo wameishi vipi hadi watoto wa sasa mzungumze maswala yaonya privacy hadharani as if mnazungumzia magonjwa ya zinaa?!

Huu ni udhalilishaji lakini pia ni upotoshaji wenye lengo la kupush ajenda ya siri ya kibiashara ya kuuza pedi.


Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Wanaume siku zote tupo mstari wa mbele kutetea wanawake ila hawa wachache wenye nafasi wanaitumia vibaya kujinufaisha kibinafsi.
 
Siyo tu Hedhi, kelele za wanawake tukizikalia kimya, huko mbeleni Kuna hatari Kwa kizazi cha kiume, mzungu anaenda anageuza ukurasa taratibu wa Dunia, haki Kwa wanawake, uwezo wa kufanya kama wanaume, ndoa za jinsia moja, uzazi wa mpango utakaofanya Dunia hasa ya kiAfrika ipungue watu na kumomonyoka kukubwa Kwa maadili, South Africa wameanza kuiwini kwa kasi ya 6G
Very true watu hawashituki tu
 
Back
Top Bottom