Tumechoka na Kampeni za Hedhi Salama 'Maredioni'. Himizeni Mabinti kuacha Tamaa na Kumomonyoka Kimaadili

Tumechoka na Kampeni za Hedhi Salama 'Maredioni'. Himizeni Mabinti kuacha Tamaa na Kumomonyoka Kimaadili

Watoto wengi wa kike Tanzania wanapata mimba katika umri mdogo kwa sababu ya aibu kama hizi.
Watoto wa kike hawapati mimba kwasababu ya aibu ya jamii kuzungumza nao maswala ya ngono.

Mtoto wa kike kwa wastani anajua kuwa akilala na mwanaume atapata mimba. Anaamua kufanya kwasababu haogopi matokeo yake kwasababu anajua atae fungwa ni mwanaume yeye atajifungua na jamii itamtetea.

Mbona watoto wa kike wanaotoka familia zenye misimamo na kuwakazia kuwa wakizingua watapata mshikemshike wa kutiwa adabu huwa wanakuwa serious na hawashiki kizembe ujauzito?!
 
Na wana magenge yao ya kuhamasisha kugawa pedi za kike kwa wanafunzi mashuleni, hii agenda iko sambamba na ile agenda ya chanjo kwa watoto wadogo, pia agenda ya uzazi wa mpango, haya yote lengo lao ni depopullation for black people.

Utapata ushuhuda kizazi cha hawa mabinti wanaopata haya mamisaada ya hovyo hapo baadae vizazi kwao itakuwa ni kama kupata bahati ya kuokota nazi chini ya mpapai.

Hakuna misaada ya bure, hususani inayolenga jinsia ya kike, kutoka kwa hao watu wa kupushi agenda za uzazi wa mpango&kumsaidia mtoto wa kike.

Tupo ktk nyakati mbaya sana ambazo jamii ya watu weusi hususan Afrika inawindwa sana, na inawindwa kwakuwa imekuwa tishio dunia kwa kuzaliana sana na kuleta tishio la kuja kuwa superior race,

Maana hata hao wazungu siku hizi hawatak kuzaa wamejikita kweny ushoga na usagaji hivyo jamii yao inapungua sana, na ukija kwa wachina&wahindi hawa nao lao moja, wanatoa masalia ya wazawa wao huko kwa kuwapandikiza afrika ili afrika baada ya miaka mbelen ijawe mseto wa mchanganyiko wa damu yaan machotara/wageni tokea Asia, na kama ujuavyo asili haifutiki, ni rahisi hawa machotara kuja kuirudisha Afrika na mali zake zote kwa mababu zao uko Asia baada ya uzao wa watu weusi kufutika ama kuwa weak[emoji23][emoji16] , ushahidi mnao jinsi Uchumi wa Tz ulivyoshikiliwa na hawa wafanyabiashara wa kihindi,kichina na kiarabu wanavyomilik miradi mikubwa na huwa wanawanyonya sana wazawa wa kiafrika, lengo lao ni hili kuchuma na kurudisha faida kwa mababu zao huko Asia.

Inasikitisha ila ndio hivyo kama huamn angalia jinsi haya mataifa yanavyoingiza wageni na jinsi idadi ya yao inavyokuwa kwa kasi,

Hawa watu huwa na hesabu za miaka mingi uko mbelen, wanamipango ya kuja kunufaisha vizaz vyao tofauti na sisi watu weusi mipango ya kibinafsi ni tatizo na kifamilia ni hovyo zaidi ukija kwenye mipango ya kitaifa ndio usiseme viongozi daily wanatia saini mikataba wasiotaka kuiweka wazi wananchi wajue, na ndio haya haya yatakayokuja kuigharimu afrika baadae.

Ukoloni haujaisha na hauwez kuisha mpka maliasili za afrika zitakapofutika zote ama mtu mweusi ahame ktk ardhi yenye resources nying ndipo ataachwa kufanyiwa hizi hira.

Ukiwa na mtoto wa kike ni afadhari umuepushe na hayo maagenda ya kishenzi yanayofadhiriwa na hao wenye vigenge vya NGOs maana hawa wote wako chini ya hira za mabeberu toka kila pande za mataifa yanayoitaman Afrika.

Mapedi ya hovyo hovyo, madawa ya uzazi wa mpango, mafuta& mitindo inayowalenga wanawake sikuhizi ipo kiintelejensia sana, na kamwe hawa wafadhiri na wahamasishaji hawawezi kueleza ukweli maana nao ni wafaidika wa huo ushetani wa kuwaharibia vizaz mabinti zenu.

Be carefully dunia si sehem salama
 
Umejitetea sana. Hoja zako ni nzuri sana na ninakubaliana na wewe ila naomba ufahamu kuwa kuna mambo ya msingi kitaifa na mambo ya makundi maalumu ambayo hayana haja ya kuyaleta kwenye media.

Nyuma ya hii issue ya maswala ya hedhi kuna watu wanapush ajenda ili hili swala liwe popular wao wauze pedi especially maeneo ya vijijini ambapo watu hawana uwezo kumudu pedi kupitia michango na fedha za wafadhili kutoka nje.

Hili mimi nalijua kitambo sana. Kama utakumbuka kunakipindi mange kimambi alimpost Flaviana Matata akawa ana mind kuwa ametengeneza brand ya pedi imefeli kwenye soko sababu ya bei na watu hawanunui anapata hasara so ameamua kuuza kupitia kampeni za hedhi salama.

Miaka yote unataka kunambia mabinti walikuwa wanasurvive vipi?!

Unajua ni taboo kuongelea hedhi ya mtoto wa kike hadharani?! Haya mambo wanawake huwa wanadeal nayo very private. Hedhi haijaanza juzi, ni kitu cha muda mrefu. Kwahiyo hao mabinti wa miaka hiyo wameishi vipi hadi watoto wa sasa mzungumze maswala yaonya privacy hadharani as if mnazungumzia magonjwa ya zinaa?!

Huu ni udhalilishaji lakini pia ni upotoshaji wenye lengo la kupush ajenda ya siri ya kibiashara ya kuuza pedi.


Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Wanaume siku zote tupo mstari wa mbele kutetea wanawake ila hawa wachache wenye nafasi wanaitumia vibaya kujinufaisha kibinafsi.
Una Akili ( Intelligent ) hadi Nimefurahi.
 
Kila Siku tu ukifungulia Redio mbalimbali Mada nyingi ni Hedhi kwa Mabinti hadi wengine sasa mnatutia Kinyaa tu kutokana na wengine kuelezea jinsi Damu zinavyotoka.

Huu muda mnaoutumia kufanya Kampeni za Hedhi Salama kwa Mabinti utumieni katika Kuwajenga zaidi Kimaadili na kuwaasa waache Tamaa na wasiwe Mazuzu ( Majuha ) katika Jamii.

Mbona miaka ya zamani akina Bibi zetu, Mama zetu, Shangazi zetu na Dada zetu walikuwa hawapati Changamoto zozote na Shule walikuwa Wanaenda, Wanafaulu, walikuwa Werevu na mpaka Wametuzaa Sisi Watoto Wao tuliorithi Uwerevu wao?

Acheni Unafiki na jikiteni katika Mambo ya Msingi juu ya hawa Mabinti na siyo Kelele za Kutwa za Hedhi Salama.

Nimemaliza.
Leo umeandika Cha maana acha upopoma
 
Umejitetea sana. Hoja zako ni nzuri sana na ninakubaliana na wewe ila naomba ufahamu kuwa kuna mambo ya msingi kitaifa na mambo ya makundi maalumu ambayo hayana haja ya kuyaleta kwenye media.

Nyuma ya hii issue ya maswala ya hedhi kuna watu wanapush ajenda ili hili swala liwe popular wao wauze pedi especially maeneo ya vijijini ambapo watu hawana uwezo kumudu pedi kupitia michango na fedha za wafadhili kutoka nje.

Hili mimi nalijua kitambo sana. Kama utakumbuka kunakipindi mange kimambi alimpost Flaviana Matata akawa ana mind kuwa ametengeneza brand ya pedi imefeli kwenye soko sababu ya bei na watu hawanunui anapata hasara so ameamua kuuza kupitia kampeni za hedhi salama.

Miaka yote unataka kunambia mabinti walikuwa wanasurvive vipi?!

Unajua ni taboo kuongelea hedhi ya mtoto wa kike hadharani?! Haya mambo wanawake huwa wanadeal nayo very private. Hedhi haijaanza juzi, ni kitu cha muda mrefu. Kwahiyo hao mabinti wa miaka hiyo wameishi vipi hadi watoto wa sasa mzungumze maswala yaonya privacy hadharani as if mnazungumzia magonjwa ya zinaa?!

Huu ni udhalilishaji lakini pia ni upotoshaji wenye lengo la kupush ajenda ya siri ya kibiashara ya kuuza pedi.


Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Wanaume siku zote tupo mstari wa mbele kutetea wanawake ila hawa wachache wenye nafasi wanaitumia vibaya kujinufaisha kibinafsi.
Una vzr mkuuu mwanamk adui wake Ni mwanamke
 
Hapakua na hedhi zamani?
Vyoo si wajenge?
Elimu si waweke vipeperushi wawape mabinti
Do they really have to do majukwaa about this?
Ni sawa na kuuliza:
"Hapakuwa na uzazi zamani?" au "hapakuwa na magonjwa ya macho zamani?", nk.
Kwa nini tuone haya au ubaya kuzungumzia hedhi? Hizi haya ndizo zilitufikisha pabaya hata watu wakaanza kuficha watoto wenye ualbino au wenye mahitaji maalum.

Swala siyo kujenga tu, ila unavijenga vipi? Si ni hivi karibuni tu baada ya kuanza kampeni za kutambua mahitaji ya watu wenye ulemavu ndio tumeanza kujenga majengo yanayokidhi ufikwaji wa watu wenye mahitaji maalum?

Elimu itolewe popote jamii inapofikika. Tuache fikra potofu za kuhodhi "elimu na maarifa" kwa visingizio vya utamaduni au kusingizia maadili. Tunaumiza makundi ya jamii kwa tabia hizi.
 
Siyo tu Hedhi, kelele za wanawake tukizikalia kimya, huko mbeleni Kuna hatari Kwa kizazi cha kiume, mzungu anaenda anageuza ukurasa taratibu wa Dunia, haki Kwa wanawake, uwezo wa kufanya kama wanaume, ndoa za jinsia moja, uzazi wa mpango utakaofanya Dunia hasa ya kiAfrika ipungue watu na kumomonyoka kukubwa Kwa maadili, South Africa wameanza kuiwini kwa kasi ya 6G
Acheni kiwasingizia wazungu. Kwani hayo mambo mnalkzimishwa au tunayataka wenyewe kwa tamaa zetu za hela yao
 
Hizi kampeni zinachochea umasikini maaba watu huacha kufanya kazi na kupata hizo pedi wakijua za bure zipo
 
Mwenye Lavy pads kila siku analalama apunguziwe kodi, cha ajabu ni importer
 
Umejitetea sana. Hoja zako ni nzuri sana na ninakubaliana na wewe ila naomba ufahamu kuwa kuna mambo ya msingi kitaifa na mambo ya makundi maalumu ambayo hayana haja ya kuyaleta kwenye media.

Nyuma ya hii issue ya maswala ya hedhi kuna watu wanapush ajenda ili hili swala liwe popular wao wauze pedi especially maeneo ya vijijini ambapo watu hawana uwezo kumudu pedi kupitia michango na fedha za wafadhili kutoka nje.

Hili mimi nalijua kitambo sana. Kama utakumbuka kunakipindi mange kimambi alimpost Flaviana Matata akawa ana mind kuwa ametengeneza brand ya pedi imefeli kwenye soko sababu ya bei na watu hawanunui anapata hasara so ameamua kuuza kupitia kampeni za hedhi salama.

Miaka yote unataka kunambia mabinti walikuwa wanasurvive vipi?!

Unajua ni taboo kuongelea hedhi ya mtoto wa kike hadharani?! Haya mambo wanawake huwa wanadeal nayo very private. Hedhi haijaanza juzi, ni kitu cha muda mrefu. Kwahiyo hao mabinti wa miaka hiyo wameishi vipi hadi watoto wa sasa mzungumze maswala yaonya privacy hadharani as if mnazungumzia magonjwa ya zinaa?!

Huu ni udhalilishaji lakini pia ni upotoshaji wenye lengo la kupush ajenda ya siri ya kibiashara ya kuuza pedi.


Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Wanaume siku zote tupo mstari wa mbele kutetea wanawake ila hawa wachache wenye nafasi wanaitumia vibaya kujinufaisha kibinafsi.
Ndugu yangu,

Siku zote kwenye jambo lolote hukusanyika watu wenye malengo tofauti tofauti. Ndio ulimwengu ulivyo. Hata hivyo hatuachi kuzungumzia au kuangazia maswala muhimu kwa visingizio kuwa kuna watu wana ajenda zao.

Tukianza kuhoji dhamira ya kila mmoja bila kutazama upana na uhalisia wa jambo na jinsi linavyoathiri jamii, hatutafika popote. Je hakuna wasichana wanaodhurika na kutofahamu au kuwa na uwezo wa hedhi salama? Jibu, ni kuwa wapo.

Tukisema hedhi ni jambo limekuwa kwa muda mrefu, tunasahau maswala mengi yamekuwa kwa muda mrefu ila leo hii bado tunakabiliana nayo. Maswala ya uzazi salama, ni mfano mmoja tu. Leo hii tunazungumzia kujenga hospitali, kwenda kliniki wazazi wote, elimu ya afya ya mtoto na mzazi, nk. Kwanini tusibaki na utaratibu wa zamani kwa kuwa uzazi umekuwepo tangu zamani?

Mijadala au kazi zinazolenga kweli kumhakikishia msichana na mwanamke hedhi salama siyo udhalilishaji. Hasa, udhalilishaji ni kmuacha msichana au mwanamke ateseke kwa sababu tu, jamii inaonea haya jambo la kiasili, yaliyotokana na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

Mila na desturi hubadilika kwa jinsi maisha yanavyobadilika. Kwa mfano, zamani hatukuwa na kwenda shule, hivyo kujisitiri kuliendana na shughuli za kipindi hicho. Leo hii umwambie mtoto wa kike asiende shule kwa sababu ajisitiri nyumbani?

Tusiepuke mijadala ya mbadala salama na mbinu bora katika mapito yetu kama binadamu. Muhimu ni kuheshimiana, kuthaminiana na kupunguza madhara hasi kwa binadamu mwenzako na mazingira yako.
 
Ni sawa na kuuliza:
"Hapakuwa na uzazi zamani?" au "hapakuwa na magonjwa ya macho zamani?", nk.
Kwa nini tuone haya au ubaya kuzungumzia hedhi? Hizi haya ndizo zilitufikisha pabaya hata watu wakaanza kuficha watoto wenye ualbino au wenye mahitaji maalum.

Swala siyo kujenga tu, ila unavijenga vipi? Si ni hivi karibuni tu baada ya kuanza kampeni za kutambua mahitaji ya watu wenye ulemavu ndio tumeanza kujenga majengo yanayokidhi ufikwaji wa watu wenye mahitaji maalum?

Elimu itolewe popote jamii inapofikika. Tuache fikra potofu za kuhodhi "elimu na maarifa" kwa visingizio vya utamaduni au kusingizia maadili. Tunaumiza makundi ya jamii kwa tabia hizi.
Binti mpe pedi na mfundishe usafi na namna ya kuzitumia

Apate washroom safi thats it

Whats this thing majukwaani daily
Mi naona kadhia kulijadili sana
Mana nikiwa kwenye hio hali wala ht sitaki mtu ajue
Ni kitu private
 
Ndugu yangu,

Siku zote kwenye jambo lolote hukusanyika watu wenye malengo tofauti tofauti. Ndio ulimwengu ulivyo. Hata hivyo hatuachi kuzungumzia au kuangazia maswala muhimu kwa visingizio kuwa kuna watu wana ajenda zao.

Tukianza kuhoji dhamira ya kila mmoja bila kutazama upana na uhalisia wa jambo na jinsi linavyoathiri jamii, hatutafika popote. Je hakuna wasichana wanaodhurika na kutofahamu au kuwa na uwezo wa hedhi salama? Jibu, ni kuwa wapo.

Tukisema hedhi ni jambo limekuwa kwa muda mrefu, tunasahau maswala mengi yamekuwa kwa muda mrefu ila leo hii bado tunakabiliana nayo. Maswala ya uzazi salama, ni mfano mmoja tu. Leo hii tunazungumzia kujenga hospitali, kwenda kliniki wazazi wote, elimu ya afya ya mtoto na mzazi, nk. Kwanini tusibaki na utaratibu wa zamani kwa kuwa uzazi umekuwepo tangu zamani?

Mijadala au kazi zinazolenga kweli kumhakikishia msichana na mwanamke hedhi salama siyo udhalilishaji. Hasa, udhalilishaji ni kmuacha msichana au mwanamke ateseke kwa sababu tu, jamii inaonea haya jambo la kiasili, yaliyotokana na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

Mila na desturi hubadilika kwa jinsi maisha yanavyobadilika. Kwa mfano, zamani hatukuwa na kwenda shule, hivyo kujisitiri kuliendana na shughuli za kipindi hicho. Leo hii umwambie mtoto wa kike asiende shule kwa sababu ajisitiri nyumbani?

Tusiepuke mijadala ya mbadala salama na mbinu bora katika mapito yetu kama binadamu. Muhimu ni kuheshimiana, kuthaminiana na kupunguza madhara hasi kwa binadamu mwenzako na mazingira yako.
Binti ukishampa sanitary pads akajistiri kuna shida gani nyingine hapo?

Maisha na majukumu yanaendelea as usual

The rest ni elimu ya kawaida ajilinde

Heri wawekeze kufundisha mabinti utulivu mana sikuhz mabinti mapepe htrr na hii 50/50
 
Binti ukishampa sanitary pads akajistiri kuna shida gani nyingine hapo?

Maisha na majukumu yanaendelea as usual

The rest ni elimu ya kawaida ajilinde

Heri wawekeze kufundisha mabinti utulivu mana sikuhz mabinti mapepe htrr na hii 50/50
Wewe ni mmoja wa Wanawake 'very intelligent' hapa JamiiForums na nimetokea Kukupenda kwa Udadavuaji ( Uchambuzi ) wako mfupi ila wenye Elimu Kubwa kwa Wahusika, Wazazi, Walezi na Jamii yote.
 
Binti mpe pedi na mfundishe usafi na namna ya kuzitumia

Apate washroom safi thats it

Whats this thing majukwaani daily
Mi naona kadhia kulijadili sana
Mana nikiwa kwenye hio hali wala ht sitaki mtu ajue
Ni kitu private
Mimi ndiyo huwa naona Kinyaa kabisa.
 
Mimi ndiyo huwa naona Kinyaa kabisa.
Ni kitu ht mume si vizuri akaona

Imagine..af kutwa majukwaani

Wanatutoa kwenye nature..as women baadhi ya vitu ni 'reserved'

wakazie kwenye resources ziwepo na mazingira yaboreshwe
 
Sema wewe wawaambie mabinti kubebea mimba nyumbani ni aibu...usingle mother si mzyr wako busy hedhi hedhiii
 
Back
Top Bottom