Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Msimu ujao mtaumia sana. Faida mwaka huu tumepata tsh mil 500. Na mmeona matumizi yetu ni mabilion ya fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hizi hesabu ni za Kimazabe na hazina ufafanuzi wa kueleweka ? Halafu mbona hujasema Mfadhili amepata shilingi ngapi?Msimu ujao mtaumia sana. Faida mwaka huu tumepata tsh mil 500. Na mmeona matumizi yetu ni mabilion ya fedha.
View attachment 2667424
Unataka ufafanuzi gani tena? Huoni pale?Mbona hizi hesabu ni za Kimazabe na hazina ufafanuzi wa kueleweka ?
Yanga imepata shiling ngapi na Mfadhili kachukua shulingi ngapi ?Unataka ufafanuzi gani tena? Huoni pale?
Huoni Mil 500? Mfadhili hajachukua kitu. Ametuachia Yanga.Yanga imepata shiling ngapi na Mfadhili kachukua shulingi ngapi ?
Unajua maana ya mfadhili??Mbona hizi hesabu ni za Kimazabe na hazina ufafanuzi wa kueleweka ? Halafu mbona hujasema Mfadhili amepata shilingi ngapi?
Mbona sijaona malipo ya deni la Luc Eymael aka mzee wa manyani na ma mbwa?Msimu ujao mtaumia sana. Faida mwaka huu tumepata tsh mil 500. Na mmeona matumizi yetu ni mabilion ya fedha.
View attachment 2667424
Hili utamlipa wewe.