Tumedhihilisha Yanga ni Team kubwa sana Afrika

Kwa hesabu hizo kwa Lugha ya kiuchumi ni hasara kubwa.

Unatoa BILIONI 17.3

FAIDA UNAYOPATA NI MILIONI 500.
 
Kwenye mapato kuna mkopo wa bil. 4
Kwenye matumizi hakuna sehemu mmeainisha marejesho ya huo mkopo.
Je, huo mkopo ndani ya mwaka mzima bdo hamjaanza kuurudisha?
 
KUna
1.mkopo, sijaelewa, hakuna sehemu umelipwa, au yanga ndio walikopesha, kiasi iwe ni mapato.
2. mapato mengine, ni yapi hayo?
3. Bakaa, ni ipi hiyo?
4.. Zawadi za ushindi ni b 1.29, hii ni sawq, yanga kufika fainali ya confedaration walipata ngapi? Bingwa wa tpl alivuta ngapi? Mbona inavuka hiyo 1.29B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…