KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Wote wanaotazamia mema kwa waomu ni watu mapungufu ya akili na wenye vichwa vyepesi visivyoweza hata kubeba historia fupi za watesi wao........
Kutazamia neema na baraka kutoka kwa serikali ya CCM ni sawa na kungoja wimbo mzuri kutoka kwa bubu......
Mtaji wa serikali ya CCM ni ujinga wa Watanzania wenye fikra na wenye bongo nyepesi zinazopepea mfano wa kitambaa chepesi kwenye upepo.....
Watanzania wanatakiwa kujua CCM ni kansa inayoliangamiza taifa hili kwa manufaa ya vizazi vyao.......alama kuu ya uponyaji kwenye taifa hili ni kuuondoa utawala CCM madaraka ni pamoja na kuwafunga watawala wote ili iwe fundisho kwa walafi wengine wenye Nia hiyo......
MUNGU IBARIKI TANZANIA......MUNGU WALAANI CCM NA VIZAZI VYAO....KAMA ULIVYO WALAANI WAOVU WENGINE CHINI YA MGONGO WA ARDHI DHIDI YA WAJA WAKO WASIOKUWA NA SAUTI.....
Kutazamia neema na baraka kutoka kwa serikali ya CCM ni sawa na kungoja wimbo mzuri kutoka kwa bubu......
Mtaji wa serikali ya CCM ni ujinga wa Watanzania wenye fikra na wenye bongo nyepesi zinazopepea mfano wa kitambaa chepesi kwenye upepo.....
Watanzania wanatakiwa kujua CCM ni kansa inayoliangamiza taifa hili kwa manufaa ya vizazi vyao.......alama kuu ya uponyaji kwenye taifa hili ni kuuondoa utawala CCM madaraka ni pamoja na kuwafunga watawala wote ili iwe fundisho kwa walafi wengine wenye Nia hiyo......
MUNGU IBARIKI TANZANIA......MUNGU WALAANI CCM NA VIZAZI VYAO....KAMA ULIVYO WALAANI WAOVU WENGINE CHINI YA MGONGO WA ARDHI DHIDI YA WAJA WAKO WASIOKUWA NA SAUTI.....