Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wengi Ni ulimbukeni tu..Wabongo wakiambiwa ukweli kelele kibao.
Hawajafikia uchumi wa kumiliki gari walio wengi.
Unaweza kuona JAM na FOLENI la Magari hata 200 halafu unakuta kila kigari kina MTU MMOJA MMOJA tu.