makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Burundi mbali, nimepata wazo la kuhamia ZanzibariZanzibar petroleum ni 2600 na point kidogo.
Sukari ni 2000 kwa kilo.
Huyu mama siku akupinduliwa nafanya sherehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Burundi mbali, nimepata wazo la kuhamia ZanzibariZanzibar petroleum ni 2600 na point kidogo.
Sukari ni 2000 kwa kilo.
Huyu mama siku akupinduliwa nafanya sherehe
Inafikirisha, umeandika kama utani lakini kuna ukweli ndani yake !! Na ieleweke kwamba mzigo mkubwa wa bei ya bidhaa kupanda anayeubeba ni yule mtumiaji wa mwisho ambaye hana biashara yeyote ya kumuingizia faida ! Yeye ni mlaji tu !!Kuna genge linafidia hasara waliyopata kipindi cha Mwendazake
Kwa hiyo kila wakati Viongozi wkishindwa kufanya Mambo, wananchi wahame? Huo utakuwa ni ujinga...Hama huko Rwanda unasubiri nn?
👍🙏Inafikirisha, umeandika kama utani lakini kuna ukweli ndani yake !! Na ieleweke kwamba mzigo mkubwa wa bei ya bidhaa kupanda anayeubeba ni yule mtumiaji wa mwisho ambaye hana biashara yeyote ya kumuingizia faida ! Yeye ni mlaji tu !!
We mabala the farmer mbolea unanunua shilingi ngapi kenge weweNinunue wapi wakati Mimi nalima.
Rudi shamba ukalime, kuliko kukomalia mjini halafu unalia Lia Kama chizi
Mpaka kuja kuwaelewa chadema kwamba ni genge la matapeli imechukua muda aiseeHayo ndio mafunzo uliyopewa na Mbowe?
Mkuu are you for real ?... Yan mtu akiongelea mafuta ni anaongelea gar ya kutembelea tu ?...This how far you could go ?..Your kidding right ?Wabongo wengi Uchumi wenu bado wa kichoko. Hamna uwezo wa Kumiliki magari hata hayo used from Japan.
Tumechoka na VILIO UCHWARA kila siku mitandaoni utafikiri Magari Ni BASIC NEED usipokuwa nalo utakufa.
Huna uwezo wa KUMILIKI GARI basi, achana nalo.
BwegeJPM hayupo fala wew Ukraine inaijua wew
Jiwe liliharibu nchi, Samia amekabidhiwa nchi wizara ya fedha haina hata miaIssue sio Vita, issue ni kuchukua hatua. Hauwezi ku-control nini kitokee Duniani, ila unaweza ku-minimize effect ya kilichotokea. Kenya na Rwanda wamechukua hatua kwenye vita hii hii ya Urusi na Ukraine, na Mafuta hayajapanda - na wameweza ku-control inflation. Elewa logic.....Hiyo ya JPM nimekupa fact ya vitu alivyokuwa anahakikisha ana-control.
Si tu kaikuta wizara haina fedha, kakuta hesabu zinasoma - "negative", yaani na madeni juu. Ni kama Mzee Rukhsa alivyopokea nchi kutoka kwa Nyerere.Jiwe liliharibu nchi, Samia amekabidhiwa nchi wizara ya fedha haina hata mia
Kiswahili asilia, "uchwara" ni uharo.
na bado akili zitawarudia mkiambiwa ccm ni janga la taifa hamuelewi. Tuendelee kuisoma namba ccm mbele kwa mbele, mama anaupiga mwingi.Hali ya Maisha inazidi kuwa ngumu. Why jamani, why? Kila siku watu wakiamka afadhali na jana. Serikali yetu kwa sasa haijielewi kabisa. Haieleweki kuna watu wanampotosha Rais.
Kuna watu wanamshauri vibaya makusudi. Wanamshauri vibaya nchi ionekane imemshinda. Maisha haya hatukutegemea. Kila kitu kimepanda bei upandaji bei wa Petrol wa safari hii ni wa kishetani. Haya yote yanafanyika watu hata hawamwambii Rais.
Wamechukulia Ubusy wa Rais vibaya. Wanaamua kukomoa wananchi. Nchi imekuwa ngumu maradufu. Hakuna anayewatetea wananchi wasio na uwezo.
Mafuta yanapanda kwa tsh 300 nzima? Tunaenda wapi ndugu Watanzania? Ni wapi tunakwenda? Hawa watu wanaofanya hizi biashara watatuumiza mpaka lini?
Rais jamani aambiwe maana najua wanamficha hii michezo yao michafu. Wanapandishia humo humo kwa kisingizio cha soko la Dunia. Tunajua hii mipango hasa ikiratibiwa na watu ambao awamu iliyopita walikuwa wanapora maeneo na kuanzisha vituo vya mafuta.
Tunajua watu ambao wamerudishwa kwa ajili ya kuja kumalizia ngwe nyingine ya upigaji. Jamani mkila na kipofu msimshike mkono.
Watu wanakula mpaka wanavuka urefu wa kamba zao. Na haya yote Mhe Rais haambiwi. Na watu wanamshauri vibaya sana. Wanamshauri kwa nia ya kumwaribia.
Ionekane nchi imeshamshinda. Kila kitu kinaenda kiholela holela. Hadi Panya road wanafunga mitaa polisi wamejazana barabarani wakisidiana na traffic. Kwa sasa traffics wamekuwa wengi kuliko askari wa kulinda usalama wa raia .
Kwa kweli kwa hali hii tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali utosini.
La uongo lipi?Jinsi ulivyo mchawi we bibi, sishangai umeshawala nyama wajukuu zako.
Unatakiwa ukombolewe, utolewe hayo mapepo na majinni yaliyokujaa kichwani.
Mama kajisemea ukweli, inabidi alipe madeni aliyoachiwa na miradi kwa kuwa ni mikubwa sana kuliko uwezo inabidi iokolewe isife.Kupanda kwa vitu KUPO.
Tatizo Samia anashindwa kujieleza.
Ana onekana mama anachochea vile
Mama nimegundua kuwa hashauriki, ukisema anashauriwa siamini.Hali ya Maisha inazidi kuwa ngumu. Why jamani, why? Kila siku watu wakiamka afadhali na jana. Serikali yetu kwa sasa haijielewi kabisa. Haieleweki kuna watu wanampotosha Rais.
Kuna watu wanamshauri vibaya makusudi. Wanamshauri vibaya nchi ionekane imemshinda. Maisha haya hatukutegemea. Kila kitu kimepanda bei upandaji bei wa Petrol wa safari hii ni wa kishetani. Haya yote yanafanyika watu hata hawamwambii Rais.
Wamechukulia Ubusy wa Rais vibaya. Wanaamua kukomoa wananchi. Nchi imekuwa ngumu maradufu. Hakuna anayewatetea wananchi wasio na uwezo.
Mafuta yanapanda kwa tsh 300 nzima? Tunaenda wapi ndugu Watanzania? Ni wapi tunakwenda? Hawa watu wanaofanya hizi biashara watatuumiza mpaka lini?
Rais jamani aambiwe maana najua wanamficha hii michezo yao michafu. Wanapandishia humo humo kwa kisingizio cha soko la Dunia. Tunajua hii mipango hasa ikiratibiwa na watu ambao awamu iliyopita walikuwa wanapora maeneo na kuanzisha vituo vya mafuta.
Tunajua watu ambao wamerudishwa kwa ajili ya kuja kumalizia ngwe nyingine ya upigaji. Jamani mkila na kipofu msimshike mkono.
Watu wanakula mpaka wanavuka urefu wa kamba zao. Na haya yote Mhe Rais haambiwi. Na watu wanamshauri vibaya sana. Wanamshauri kwa nia ya kumwaribia.
Ionekane nchi imeshamshinda. Kila kitu kinaenda kiholela holela. Hadi Panya road wanafunga mitaa polisi wamejazana barabarani wakisidiana na traffic. Kwa sasa traffics wamekuwa wengi kuliko askari wa kulinda usalama wa raia .
Kwa kweli kwa hali hii tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali utosini.