Tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali

Kuna genge linafidia hasara waliyopata kipindi cha Mwendazake
Inafikirisha, umeandika kama utani lakini kuna ukweli ndani yake !! Na ieleweke kwamba mzigo mkubwa wa bei ya bidhaa kupanda anayeubeba ni yule mtumiaji wa mwisho ambaye hana biashara yeyote ya kumuingizia faida ! Yeye ni mlaji tu !!
 
......Until that day when they will come to their senses and start not only being serious but also take the necessary counter steps, otherwise it's a business of complaints as usual.....
 
Inafikirisha, umeandika kama utani lakini kuna ukweli ndani yake !! Na ieleweke kwamba mzigo mkubwa wa bei ya bidhaa kupanda anayeubeba ni yule mtumiaji wa mwisho ambaye hana biashara yeyote ya kumuingizia faida ! Yeye ni mlaji tu !!
👍🙏
 
Mkuu are you for real ?... Yan mtu akiongelea mafuta ni anaongelea gar ya kutembelea tu ?...This how far you could go ?..Your kidding right ?
 
Jiwe liliharibu nchi, Samia amekabidhiwa nchi wizara ya fedha haina hata mia
 
Jiwe liliharibu nchi, Samia amekabidhiwa nchi wizara ya fedha haina hata mia
Si tu kaikuta wizara haina fedha, kakuta hesabu zinasoma - "negative", yaani na madeni juu. Ni kama Mzee Rukhsa alivyopokea nchi kutoka kwa Nyerere.

Nahisi Kikwete hayasemi tu lakini ni uhakika alikuta madudu ya ajabu alipowachiwa nchi. Ndiyo maana hawa Wakristo wakishika nchi inakuwa haina neema, ni wezi wa kutupwa.

Tutegemee nini kwa watu wanaojazwa ujinga ukawajaa kuwa eti Yesu kishabeba dhambi zao, kwa hiyo kwao kufanya dhambi siyo dhambi, si wamedanganywa Yesu kishazibeba!
 
Kupanda kwa vitu KUPO.
Tatizo Samia anashindwa kujieleza.
Ana onekana mama anachochea vile
 
na bado akili zitawarudia mkiambiwa ccm ni janga la taifa hamuelewi. Tuendelee kuisoma namba ccm mbele kwa mbele, mama anaupiga mwingi.
 
Kupanda kwa vitu KUPO.
Tatizo Samia anashindwa kujieleza.
Ana onekana mama anachochea vile
Mama kajisemea ukweli, inabidi alipe madeni aliyoachiwa na miradi kwa kuwa ni mikubwa sana kuliko uwezo inabidi iokolewe isife.


Sasa hebu fikiri kidogo, mtu anakopa kujenga reli anakwenda kujenga eyapoti kwao. Anakopa kujenga bwawa la kufulia umeme anakwenda kujenga daraja kubwa kwao kwa kuwa tu hawezi kupanda ndege mara kwa mara.

Hivi yote hayo hamuyaelewi kuwa ndiyo yanayoleta madhara leo hii? Mama kakuta hesabu za fedha hakuna kitu zaidi ya madeni.
 
Mama nimegundua kuwa hashauriki, ukisema anashauriwa siamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…