Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kwako Tshs 5000 ikawa ndogo ila kwa mwenzio ni kubwa.Yani elfu 5000 unalilia hapa...watu wanahonga mamilioni...
Huoni aibu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iyo wilaya ilyo hongwa itakua ya kisalawe.Watu wanahonga meli au wilaya wewe unakuja kulia lia kisa buku 5 sasa ulitaka Uvue samaki na Ndoano Tupu, Weka chambo ndo utupe ndoano majini ukishamvua nakuweka pembeni samaki huhitaji tena chambo
Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu
Mzee niko hapa, njoo tusemezane Mzigua wangu.Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu
Wazee hamnaga tabu nyie. Mnajua mwanamke kutunzwa. Hawa vijana wanataka slope mpaka ya papuchiMzee niko hapa, njoo tusemezane Mzigua wangu.
Huwezi kuwa na milioni hata elfu 20 huna hapo ulipo bwege wewe, 5000 tuu unakuja kutoa mapovu jf ndio maana mnagongewa, na kwa level yako ni ya 5000 kushuka chini ndio maana hata huyo demu kashindwa kukuomba zaidiHayo mamilioni ninayo, ila ulimbukeni wa papuchi ndo sina, kama ni papuchi abaki nayo na mm nibaki na pesa zangu, wadada wanaotoa papuchi za bure wapo. angelita
Kama ni kubwa aache kuwa na genyee na tamaa sasaa!!Inawezekana kwako Tshs 5000 ikawa ndogo ila kwa mwenzio ni kubwa.
Kweli kabisa, wewe utakapojisikia una hamu ya mtalimbo wa uhakika nisitue tu, mimi nipo kwa ajiri yako. At the age of 60 I am retired but not tired.Wazee hamnaga tabu nyie. Mnajua mwanamke kutunzwa. Hawa vijana wanataka slope mpaka ya papuchi
HahahahaaaKweli kabisa, wewe utakapojisikia una hamu ya mtalimbo wa uhakika nisitue tu, mimi nipo kwa ajiri yako. At the age of 60 I am retired but not tired.
Umeonaeee!!Hahahahaaa
Hajakosea Kuleta uzi, amenipa Funzo na Mimi Pia..Mkuu umenifanya niwaze sana juu ya hiyo elf tano yako
Jibu ninilo lipata ni kuwa kila mtu ale kwa jasho sio mmoja anataka kula kwa mlija
Hongera kwa kutongoza
Hongera kwa kukata kuwa ATM
hongera kwa kujua thamani ya pesa yako
Ila umeniangusha kuja kumfungulia uzi jf
Ilitakiwa umalize kama kidume