Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

kwa hili mkuu ulikosea elf 5 si kitu kwako, ungempa thn umwandalie mazngira mazur ungempata ila si kwa fikra zako hizo. Maana km n kupgwa siyo kiwango hicho angekuomba pesa ndefu kdg. labda km bado mpo O level ndo kiwango hcho n kikubwa kwenu
 
ndo mana siku hizi mambo ya mademu sina. nkiingia bafuni na sabuni, nkitoa nko mwepesi mpaka kwenye unyayo
 
Huyo atakuwa mwanafunzi wa sekondari anaomba elfu tano.Halafu jamaa unaonekana bahili sana.Hiyo hata bia tatu haifiki ungemsaidia tuu
 
Watu wanahonga meli au wilaya wewe unakuja kulia lia kisa buku 5 sasa ulitaka Uvue samaki na Ndoano Tupu, Weka chambo ndo utupe ndoano majini ukishamvua nakuweka pembeni samaki huhitaji tena chambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iyo wilaya ilyo hongwa itakua ya kisalawe.
 
Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu


Shida sio kusaidia. Tatizo wadada wengi mnakuwa na nia mbaya mnapoomba hela kutoka kwa wanaume waliowatongoza, ukisaidia unaonekana zoba, fala, atm, buzi etc Mzigua90
 
Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu
Mzee niko hapa, njoo tusemezane Mzigua wangu.
 
Hayo mamilioni ninayo, ila ulimbukeni wa papuchi ndo sina, kama ni papuchi abaki nayo na mm nibaki na pesa zangu, wadada wanaotoa papuchi za bure wapo. angelita
Huwezi kuwa na milioni hata elfu 20 huna hapo ulipo bwege wewe, 5000 tuu unakuja kutoa mapovu jf ndio maana mnagongewa, na kwa level yako ni ya 5000 kushuka chini ndio maana hata huyo demu kashindwa kukuomba zaidi
 
Shida sio kusaidia. Tatizo wadada wengi mnakuwa na nia mbaya mnapoomba hela kutoka kwa wanaume waliowatongoza, ukisaidia unaonekana zoba, fala, atm, buzi etc Mzigua90
Wala hatuwaoni hivyo. Sasa elfu 5 mno nikuone zoba??
 
Mkuu umenifanya niwaze sana juu ya hiyo elf tano yako

Jibu ninilo lipata ni kuwa kila mtu ale kwa jasho sio mmoja anataka kula kwa mlija

Hongera kwa kutongoza

Hongera kwa kukata kuwa ATM

hongera kwa kujua thamani ya pesa yako

Ila umeniangusha kuja kumfungulia uzi jf

Ilitakiwa umalize kama kidume
Hajakosea Kuleta uzi, amenipa Funzo na Mimi Pia..
 
Back
Top Bottom