Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Umemaliza yote!! Kongole, nitaongeza kidogo;
At least raia wameonyesha kilichopo ndani ya mioyo yao. Mkipuuza na hilo mtakua ni zaidi ya majuha. Ni muda wa kuangalia ni nini kimelifikisha taifa hapa lilipo.
Kujimwambafai haisaidii, the hate is real.
Mdharau mwiba, mguu huota tende.
 
Nimejifunza kwa usalama wa Taifa hawalali, na wanafanya kazi kubwa sana kwa nchi yetu.
Kama wameweza kuwapoteza maboya akina Kigogo
 
Nimejifunza kitu kuwa watanzania wanapenda kitu gani na wanatamani kitu gani kitokee ili furaha yako itimie...!
 
Asante ni ushindi mkubwa kuona Rais wetu ana afya nzuri, sasa kuanzia leo nitaanza kumwombea Rais Magufuri rasmi pale napokumbuka katika sala au maombi
 
Reactions: nao
Naona mtoa mada ni mpumbavu,rais ni wa watz wote na wala si kosa watz kujua afya yake.
 
Mi mapema tu niliona watu wanajibebesha gunia la misumali
Chadema hawapaswi hata kupata mbunge mmoja! Subiri tu,
Mi nimegundua hali si nzuri inatisha! Nyumbu ni wengi.
Nimejifunza kiongozi huyu hapendwi kabisa na wananchi wake! Walifurahia sana kuwa bora anaewanyanyasa na kujiona mungumtu kaondoka!
Nimejifunza kuwa Iziraeli anajimwambafai anafaa kutumbuliwa
 

Pitia hiki nilichosema zaidi ya miaka 2 iliyopita.

Is this Chess or Checkers?
 
Hayo Matango mwitu mtalishwa sana mpaka mpate akili.

Idadi ya nyumbu inaongezeka sana.
 

I thought it that way. Unapokuwa mpinzani na agenda ikawa kufa kwa Rais, wewe ndio umekula? Au chama chenu kinawakilisha Gamboshi?
Sisi sote kama binadamu yanayotuzunguka yanafanana. Sijapenda kabisa baadhi ya wana siasa na walivyochukulia haya mambo.
Sisi waumini, Rais ametupa Mwenyezi Mungu. Inakera sana mambo aliyozushiwa
 
Mshana, sky scalet, kigogo mkuje uku πŸƒπŸƒπŸƒπŸš΄πŸš΄πŸš€πŸš€πŸšΆπŸšΆMJOMBA yuko fit .............over
 
Asante ni ushindi mkubwa kuona Rais wetu ana afya nzuri, sasa kuanzia leo nitaanza kumwombea Rais Magufuri rasmi pale napokumbuka katika sala au maombi
Iko wapi afya nzuri pale? WaTanzania kwa kujidanganya??
 
Chadema na ACT vimekuja kuwa vyama vya ovyo haijawahi pata kutokea, vimekua ni vyama vya mihemuko na udaku bila hoja, falsafa au sera za msingi.
Ebu peleka ujinga wako huko kwa wavuta Bangi wenzako, nini kazi ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa kila mapungufu yake pasipo kuacha dogo wala kubwa, huwezi kuwapangia eti udaku au mihemuko wao wakosoa kila mapungufu na kama vingekuwa vyama vya hovyo CCM wangeviacha vijifie vyenyewe vipotee, lakini Mbona kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwahujumu kwa kila hali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…