Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Nimejifunza kuwa mtoa taarifa wa kigogo ametegwa akaingia kingi na sasa kajulikanaa...inshort inawezekana sytem imeinjia hizi taarifa wakitaka kumpata mvujishaji wa taarifa za ikulu na wakafanikiwa baada ya kumuingiza mkenge naye akashare info kumbe si kweli.

So i hope wamemcontain baada ya kulikana kwake na kigogo pia watamfahamu ni nani on the way out
 
Nyie jiandaeni kulia msiba tu!
 
Nimekujibu. Nimekupa mpaka jina la kitabu na muandishi.

Kama hujui kusoma hilo ni tatizo lako, si tatizo langu.

Yani ujinga wako mwenyewe unataka kunipa kazi mimi ya kukurudisha shule?
Hahahahah mkuu unahangaishwa na ma zero brain hayo
 
Huyo anatakiwa kufa tu kabla ya 2020,no way
 
CCM ni wapumbavu mno hawawezi kukuelewa, Tundu Lissu alipopigwa risasi walishinda humu wakishangilia na kumwombea kifo, Mungu alisimama na kumponya.
Sasa huyu aliyeamuru Lissu auawe, atakufa na kumwacha Lissu akiwa hai.
 
Yaani kumuona mtu dhaifu,mpaka uwe daktari wake? Sielewi kiwango chako cha elimu; ila unanitia mashaka sana.
 
Tanzania haipo kawaida Kama zamani, Magufuli kafanikiwa kutenga watu na kutengeneza chuki kubwa miongoni mwao
 
Eti cha kujifunza,kujifunza nini labda? Sio kila mtu aliamini huo upuuzi na tulisema wazi humu. Mods mnanioneaga mimi tu,kufuta comments zangu, futeni nyuzi za kipuuzi hizi.
 
Kwa upande wangu nimejifunza,Taifa LIMEGAWANYIKA,SIYO WAMOJA TENA.
Wazee wetu WAKUU,mh.Mwinyi,mh.Mkapa,mh. Kikwete wakishirikiana na wazee wengine kama Mangula,Msekwa,Warioba,na wazee kutoka vyama vya upinzani na viongozi wa dini wanaweza kulisulu hili Taifa.Acheni hizo siasa zenu UCHWARA,TAIFA LIMEGAWANYIKA.
 
Wewe ndio Mungu?

Je akifa ndio ccm imetoka madarakani?

Huwa nawaona wapumbavu sana coz mpaka saa hizi hamjui mnapigana na nani
CCM ni wapumbavu mno hawawezi kukuelewa, Tundu Lissu alipopigwa risasi walishinda humu wakishangilia na kumwombea kifo, Mungu alisimama na kumponya.
Sasa huyu aliyeamuru Lissu auawe, atakufa na kumwacha Lissu akiwa hai.
 
Taifa la tweeter na jamiiforum
 
Kila mtu anamoni tofauti kuhusi hili swala, ni vyema mtu ukajizuia sana kutaka watu Zaidi ya M50+ wafuate mtizamo wako.

Wenye bussara walikaa kimya kuepuka kukupmbwa na post zisizo kuwa na mwanzo. Mtoa post nahisi wewe ni mmoja ya watu walio kumbwa na hilo tatizo.

Endelea na Maisha achana na habari hii ya kipuuzi.
 
Nchi imejaa usiri. Ikulu haijatangaza rais anaumwa. Unataka mawaziri wa tweet pole watumbuliwe?

Ikulu inaficha rais anaumwa halafu unataka mawaziri wa tweet pole?

Hiyo nchi iliyojaa chuki anayeiongoza ni nani? Unamsikiliza kauli zake?

Sitetei kauli za kuombea mtu kifo. Si za kistaarabu na hazina maadili.

Lakini, kiongozi mkuu wa nchi anaonesha mfano gani kwa nchi? Anajenga Umoja wa Taifa au anaubomoa kwa kauli zake za ovyo?
 
Mtawala akiwa na chuki mtawaliwa utengeneza hasira,hasira ikizidi uzaa matengano mwisho utokea mauti.
 
Sasa mtu unakuwa mfuasi wa Lema, Zitto au Fatuma Karume hivi unakuwa na akili kweli?

Yani hao ndio tunaowat3gemea kuwa mbadala wa ccm, sasa wao badala ya wawe field kutafiti watalifanyia nini taifa baada ya kuitoa ccm madarakani eti wako busy kwenye account ya kigogo kulishwa umbea.

Kama yule Fatuma nmemdharau sana eti anasema ingekuwaje kama si kigogo.

Na nyie mifuasi yake mnashangilia kama mazuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…