Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Nimejifunza kuwa mtoa taarifa wa kigogo ametegwa akaingia kingi na sasa kajulikanaa...inshort inawezekana sytem imeinjia hizi taarifa wakitaka kumpata mvujishaji wa taarifa za ikulu na wakafanikiwa baada ya kumuingiza mkenge naye akashare info kumbe si kweli.

So i hope wamemcontain baada ya kulikana kwake na kigogo pia watamfahamu ni nani on the way out
 
Nimegundua uwepo wa manyumbu mengi sana!

Kutoka ushabiki wa hadithi uchwara za ngono mpaka upumbavu wa kuzusha na kushadadia vifo.

Eti wenyewe wanajiita 'mabaharia'!

PUMBAVU! Nyumbu wakubwa!

Washughulikiwe na hao mabavicha wenzao wasio na ubongo!
Nyie jiandaeni kulia msiba tu!
 
Nimekujibu. Nimekupa mpaka jina la kitabu na muandishi.

Kama hujui kusoma hilo ni tatizo lako, si tatizo langu.

Yani ujinga wako mwenyewe unataka kunipa kazi mimi ya kukurudisha shule?
Hahahahah mkuu unahangaishwa na ma zero brain hayo
 
Tarehe 20/10/2019 ilikuwa siku ngumu kwa viongozi wakitaifa na wananchi kwa ujumla, ilikuwa siku ambayo kuapishwa kwa viongozi kulitazamwa na kufuatilia na watu wengi kila mmoja akitaka kujua Afya ya Mhe. Rais baada ya kuwepo uvumi wa kuugua toka tarehe 18/10/2019.

Baada ya Rais kujitokeza alionyesha wazi kwamba hakuwa na furaha si kwa sababu ya ugonjwa Bali naamini alikuwa akitafakari dua za baadhi ya Watanzania dhidi yake hasa kupitia posts zilizozagaa kwenye Mtandao wa tweeter.

Naamini Kama binadamu na kwa nguvu anazotumia kuliletea maendeleo taifa hakustahili Yale aliyoyasikia na hivyo nadhani alijiuliza binadamu Hawa wanataka Nini?

Alijiuliza, je mijadala ndani ya chama chake kuanzia juu Hadi chini ilikuwa na heri kwake? Nadhani amebaini wazi kuwa wapo viongozi aliowateua ambao wanamdiss au awapo naye kifikra Bali wapo naye kimwili kulinda ajira zake.

Mhe. Anavyanzo vingi vya taarifa na kwa Sasa anawajua viongozi wote ambao waliungana kumwombea yeye na taifa mabaya na atawashughulikia si kwa ubaya Bali atawaweka kando wasubiri kufanya kazi na huyo wanayempenda.

Naamini wapo mawaziri, wapo wkuu wa mkoa na wilaya, wapo wakurugenzi na viongozi wengine ambao walihamini uvumi na walijielekeza kujua Nani atachukua nchi, Hawa wote wanapaswa kuwekwa kando kwani hawapo kulisaidia Taifa Bali wapo kusaidia familia zao.

Niombe wakati wa safisha safisha wasipate madhara ya mwili bali wasaidiwe tu warudi Kijiji kulima....hatuwezi kuishi na ndumilakuwili..

Watu walidiss wanapomwona Rais live ndo wanaanza kujitutumua kuandika tweeter kujifanya jiwe jiwe jiwe limerudi, mbona toka mwanzo mlikuwa kimya?
Huyo anatakiwa kufa tu kabla ya 2020,no way
 
CCM ni wapumbavu mno hawawezi kukuelewa, Tundu Lissu alipopigwa risasi walishinda humu wakishangilia na kumwombea kifo, Mungu alisimama na kumponya.
Sasa huyu aliyeamuru Lissu auawe, atakufa na kumwacha Lissu akiwa hai.
Nakumbuka alipougua Mwalimu Nyerere watanzania walimuombea sana na wengi wakadhani akifariki eti itakuwa mwisho wa dunia.

Mkapa na Kikwete walipougua, waliombewa mema, achilia mbali kuitwa mafisadi na kuwaita watanzania malofa

LAKINI.... hii (iwe 'planned or unplanned'), imetoa majibu tosha kuhusu kupendwa au kuchukiwa!

Nawaachia maneno matakatifu:

WAGALATIA 6:7

Msidanganyike, Mungu hadanganywi. Kwa maana kila mtu atavuna kile alichopanda.

2WAKORINTHO 9:6
Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; Apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.

Ayubu 38:1-2
Ndipo Bwana akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema, Ni nani huyu atiaye mashauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?
 
Mimi na wewe sio madaktari wake lakini siwezi kukataa katakata kuwa ni mgonjwa kwa sababu ugonjwa ni sehemu ya maisha ya binadamu.

Hoja iliyokuwepo ni kuwa Rais Magufuli ni mgonjwa sana na leo tukaambiwa amefariki na hospitali ya Lugalo wanajiandaa kupokea mwili wake! Hii sio kuongeza unachoita chumvi bali ni uzushi mbaya sana.
Yaani kumuona mtu dhaifu,mpaka uwe daktari wake? Sielewi kiwango chako cha elimu; ila unanitia mashaka sana.
 
Nimpongeze Tundu Lisu, amekaa kimya na hata alipotaka kusema alitamka maneno ya kuomba heri ya Mhe.Rais. Kwamba ameandika kutoka moyoni au la ni Siri yake na Mwenyenzi Mungu.

Niwaombe Watanzania tusivae ukatili mkubwa kiasi hiki, kiongoz anapohisiwa kupata tatizo Taifa linakaa kimya na kumwombea mazuri ila nimeshangazwa kuona mtaani hata wale wanaccm tuliotegemea wamwombee afya njema walibadilika na kuanza kujadili Kama Makamu anafaa au la. Sisemi wanaccm wote bali nasema na wale waliofurahia uvumi uliokuwa unaendelea.

Mawazi na wakuu wa Mikoa, mmeonyesha wazi kwamba upo unafiki ndani yenu na hapendwi mtu inapendwa ajira...mlikuwa na Uhuru wa kupost na kutoa tweet za faraja lakini mlikaa kimya na baadhi yenu mliwaza zaidi kuhusu next prezdaa kuliko kufuatilia afya ya aliyepo. Baada ya kutambua kwamba chuma kipo imara mkaondoka kabisa kwenye imani zenu za dini na kuanza kutengeneza posts za matusi na video zisizo na stahaa mkiamini kuwa maradhi na kifo vinaletwa na Binadamu. Kumbukeni na kaeni mkijua siku zote mtu apatwapo na matatizo au mpendwa wako anapopakaziwa kuwa na matatizo ukabaini huu buheri wa afya ni dhambi kuwashambulia wanaopakaza, yakupasa kumtukuza Mungu.

TBC, ninyi Ni chombo Cha Taifa na kinapaswa kusimama Kama chombo Cha Taifa achaneni na siasa na kujiendesha kishabiki...nyimbo ya Gozbeth haikupaswa kupigwa kwa wakati mliopiga...vipindi vyenu kwa siku tatu havikupaswa kupangiliwa mlivyovipangilia....tambueni wajibu wenu.

Kwa watawala, napenda kuwaomba mjifunze kitu kwenye tukio hili. HAKI IMEONDOKA, UHURU UMEONDOKA,USAWA UMEONDOKA, UBINAFSI UMETAWALA, CHUKI IMETAWALA. TAIFA LETU HALIPASWI KUSHANGILIA MABAYA YAWAPATAYO KIONGOZI WAO, TUJITAFAKARI MAANA IPO SIKU TUTASAIDIANA KWENYE SHIDA KUTOKANA NA VYAMA VYETU.

ADUI WA TANZANIA APASWI KUWA WATANZANIA BALI WATANZANIA WANAPASWA KUWA WALINZI WA TANZANIA.
Tanzania haipo kawaida Kama zamani, Magufuli kafanikiwa kutenga watu na kutengeneza chuki kubwa miongoni mwao
 
Eti cha kujifunza,kujifunza nini labda? Sio kila mtu aliamini huo upuuzi na tulisema wazi humu. Mods mnanioneaga mimi tu,kufuta comments zangu, futeni nyuzi za kipuuzi hizi.
 
Kwa upande wangu nimejifunza,Taifa LIMEGAWANYIKA,SIYO WAMOJA TENA.
Wazee wetu WAKUU,mh.Mwinyi,mh.Mkapa,mh. Kikwete wakishirikiana na wazee wengine kama Mangula,Msekwa,Warioba,na wazee kutoka vyama vya upinzani na viongozi wa dini wanaweza kulisulu hili Taifa.Acheni hizo siasa zenu UCHWARA,TAIFA LIMEGAWANYIKA.
 
Wewe ndio Mungu?

Je akifa ndio ccm imetoka madarakani?

Huwa nawaona wapumbavu sana coz mpaka saa hizi hamjui mnapigana na nani
CCM ni wapumbavu mno hawawezi kukuelewa, Tundu Lissu alipopigwa risasi walishinda humu wakishangilia na kumwombea kifo, Mungu alisimama na kumponya.
Sasa huyu aliyeamuru Lissu auawe, atakufa na kumwacha Lissu akiwa hai.
 
Kwa upande wangu nimejifunza,Taifa LIMEGAWANYIKA,SIYO WAMOJA TENA.
Wazee wetu WAKUU,mh.Mwinyi,mh.Mkapa,mh. Kikwete wakishirikiana na wazee wengine kama Mangula,Msekwa,Warioba,na wazee kutoka vyama vya upinzani na viongozi wa dini wanaweza kulisulu hili Taifa.Acheni hizo siasa zenu UCHWARA,TAIFA LIMEGAWANYIKA.
Taifa la tweeter na jamiiforum
 
Kila mtu anamoni tofauti kuhusi hili swala, ni vyema mtu ukajizuia sana kutaka watu Zaidi ya M50+ wafuate mtizamo wako.

Wenye bussara walikaa kimya kuepuka kukupmbwa na post zisizo kuwa na mwanzo. Mtoa post nahisi wewe ni mmoja ya watu walio kumbwa na hilo tatizo.

Endelea na Maisha achana na habari hii ya kipuuzi.
 
Nimpongeze Tundu Lisu, amekaa kimya na hata alipotaka kusema alitamka maneno ya kuomba heri ya Mhe.Rais. Kwamba ameandika kutoka moyoni au la ni Siri yake na Mwenyenzi Mungu.

Niwaombe Watanzania tusivae ukatili mkubwa kiasi hiki, kiongoz anapohisiwa kupata tatizo Taifa linakaa kimya na kumwombea mazuri ila nimeshangazwa kuona mtaani hata wale wanaccm tuliotegemea wamwombee afya njema walibadilika na kuanza kujadili Kama Makamu anafaa au la. Sisemi wanaccm wote bali nasema na wale waliofurahia uvumi uliokuwa unaendelea.

Mawazi na wakuu wa Mikoa, mmeonyesha wazi kwamba upo unafiki ndani yenu na hapendwi mtu inapendwa ajira...mlikuwa na Uhuru wa kupost na kutoa tweet za faraja lakini mlikaa kimya na baadhi yenu mliwaza zaidi kuhusu next prezdaa kuliko kufuatilia afya ya aliyepo. Baada ya kutambua kwamba chuma kipo imara mkaondoka kabisa kwenye imani zenu za dini na kuanza kutengeneza posts za matusi na video zisizo na stahaa mkiamini kuwa maradhi na kifo vinaletwa na Binadamu. Kumbukeni na kaeni mkijua siku zote mtu apatwapo na matatizo au mpendwa wako anapopakaziwa kuwa na matatizo ukabaini huu buheri wa afya ni dhambi kuwashambulia wanaopakaza, yakupasa kumtukuza Mungu.

TBC, ninyi Ni chombo Cha Taifa na kinapaswa kusimama Kama chombo Cha Taifa achaneni na siasa na kujiendesha kishabiki...nyimbo ya Gozbeth haikupaswa kupigwa kwa wakati mliopiga...vipindi vyenu kwa siku tatu havikupaswa kupangiliwa mlivyovipangilia....tambueni wajibu wenu.

Kwa watawala, napenda kuwaomba mjifunze kitu kwenye tukio hili. HAKI IMEONDOKA, UHURU UMEONDOKA,USAWA UMEONDOKA, UBINAFSI UMETAWALA, CHUKI IMETAWALA. TAIFA LETU HALIPASWI KUSHANGILIA MABAYA YAWAPATAYO KIONGOZI WAO, TUJITAFAKARI MAANA IPO SIKU TUTASAIDIANA KWENYE SHIDA KUTOKANA NA VYAMA VYETU.

ADUI WA TANZANIA APASWI KUWA WATANZANIA BALI WATANZANIA WANAPASWA KUWA WALINZI WA TANZANIA.
Nchi imejaa usiri. Ikulu haijatangaza rais anaumwa. Unataka mawaziri wa tweet pole watumbuliwe?

Ikulu inaficha rais anaumwa halafu unataka mawaziri wa tweet pole?

Hiyo nchi iliyojaa chuki anayeiongoza ni nani? Unamsikiliza kauli zake?

Sitetei kauli za kuombea mtu kifo. Si za kistaarabu na hazina maadili.

Lakini, kiongozi mkuu wa nchi anaonesha mfano gani kwa nchi? Anajenga Umoja wa Taifa au anaubomoa kwa kauli zake za ovyo?
 
Mtawala akiwa na chuki mtawaliwa utengeneza hasira,hasira ikizidi uzaa matengano mwisho utokea mauti.
Kila mtu anamoni tofauti kuhusi hili swala, ni vyema mtu ukajizuia sana kutaka watu Zaidi ya M50+ wafuate mtizamo wako.

Wenye bussara walikaa kimya kuepuka kukupmbwa na post zisizo kuwa na mwanzo. Mtoa post nahisi wewe ni mmoja ya watu walio kumbwa na hilo tatizo.

Endelea na Maisha achana na habari hii ya kipuuzi.
 
WAPINZANI HAO NI.

1. MTATIRO
2. LIPUMBA
3. MREMA LYATONGA
4.ANNA MGHWIRA
5.MOLEL WA SIHA
6. KALANGA WA MONDULI.
7. JULIANA SHONZA.
8. MWITA WAITARA
Takwimu zilizotolewa na gazeti la Mtanzania zinaonyesha tangu mwaka 2016 hadi 2018 idadi ya madiwani wa Chadema waliojiunga CCM imefikia 129 huku CUF ikifikia tisa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Jumapili, Kitengo cha Habari cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kimeeleza kuwa katika uchaguzi mdogo ujao utakaofanyika Septemba 16, unaojumlisha kata 23 Tanzania Bara, Chadema kina kata 15 za madiwani waliojiuzulu, akiwamo Diwani wa Monduli Mjini ambaye pia alikuwa ni Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Isack Joseph maarufu kwa jina la Kadogoo.

Hata hivyo, taarifa hiyo haikuwa na idadi ya madiwani waliojiuzulu na kusababisha uchaguzi mdogo uliofanyika Agosti 12, mwaka huu ukijumlisha kata 36 kutoka kata 77 zilizotangazwa awali baada ya madiwani 41 kupita bila kupingwa.

Akizungumza na Mtanzania Jumapili, Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt Vicent Mashinji, alisema katika uchaguzi huo, idadi ya madiwani wao waliojiuzulu na kujiunga CCM walikuwa 54.

Kwa upande wa CUF, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi (kambi ya Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad), Mbarala Maharagande, aliliambia Mtanzania hadi sasa idadi ya madiwani wao waliohama imefikia tisa.

Jumamosi gazeti moja la kila siku liliandika kuwa juzi pekee kulikuwa na madiwani saba kutoka kata za mkoani Pwani waliohamia CCM wakitokea vyama vya upinzani.

Gazeti hilo liliwataja majina na kata zao katika mabano kuwa ni Ally Mbwana (Ikwiriri), Abdul Omari (Kisiju), Sultan Waziri (Njia nne), Issa Salum (Magindu), Shabashaba (Ruvu), Hassan Mohamed na Hamis Mbonde.

Pia idadi aliyoitaja Maharagande inamjumuisha aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mussa Kafana, aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kiwalani, aliyejiuzulu juzi na kuomba kupokewa CCM.

Kafana alipishana siku kadhaa na aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia alikuwa Diwani wa Kata ya Vingunguti (CUF), Omary Kumbilamoto, aliyehamia CCM mwezi Julai, limeripoti Mtanzania.

Limesema kuwa sababu za madiwani hao kujiondoa Chadema hazitofautiani kwa sababu wamekuwa wakitoa hoja kuwa wanahamia CCM kuunga mkono utendaji kazi wa Rais Dk. John Magufuli.
Sasa mtu unakuwa mfuasi wa Lema, Zitto au Fatuma Karume hivi unakuwa na akili kweli?

Yani hao ndio tunaowat3gemea kuwa mbadala wa ccm, sasa wao badala ya wawe field kutafiti watalifanyia nini taifa baada ya kuitoa ccm madarakani eti wako busy kwenye account ya kigogo kulishwa umbea.

Kama yule Fatuma nmemdharau sana eti anasema ingekuwaje kama si kigogo.

Na nyie mifuasi yake mnashangilia kama mazuzu.
 
Back
Top Bottom