Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Halafu wngine kweli ni wehu,Lissu ni kichuguu tu nchi hii,vita vitokee sababu ya Lissu,wengine sijui mnafikir kwa kutumia miguu badala ya ubongo kwa kweli
Hivi kwenye watu million 60 MTU mmoja asipokuwepo hio vita itatokea wapi?Uloshawahiona gari likakosa abiria.Nchi ni watu sio MTU.
 
ukitaka kumjuwa mtu njisi alivyo bila chega mpe madaraka na pesa, utaona true color yake. pesa na madaraka havi mbadilishi mtu bali vinapanuwa tabia zake.
 
Yaani taarifa haiko wazi halafu Waziri au RC atoe pole!!

Unaelewa ulichoandika?
 
"Wabaya wake wameumbuka, Nimefurahi sana kumuona Raisi MAGUFULI yuko katika afya njema" AZIM DEWJI


Mwenyeezi Mungu ampe Afya na Uzima Rais Wetu Mtetezi wa Wanyonge Doctor Magufuli. Wabaya Wake Wameumbuka
 
Mkuu huu uzi una faida gani?
Tatizo ubongo wako haujai kisoda. Hapa siyo mahali pako, nenda kwenye magazeti ya Tanzanite. Hapa panahitajj Great thinkers tu siyo Buk 7 kama wewe. Get out of here asap
 
Ukishachafuka ni ngumu kutakakata hata kwa steel wire ya chuma.Fanya mema laki moja moja baya uharibu mazuri yote
 
Amina
 
Mlichojifunza nyie wazushi ni kuwa muache majungu na umbea na uzushi, fanyeni yanayowahusu tafuteni pesa mlipe kodi ya serikali nchi ipate maendeleo.
Maendeleo ni kwenda kujenga chato Airport kienyeji bila idhini ya bunge?
 
Kwa hiyo wazee wa Ngende Ruangwa wali test mitambo?

Wale wazee walitoka Gamboshi na akina cyprian Musiba adui mkubwa wa membe wakaona njia bora ya kumchonganisha membe na magufuli ni kupiga uchawi kwenye anga za Ruangwa ili magufuli akasirike amkomoe membe na cyprian Musiba apate kuikwepa kesi yake iliyomlemea ingawa Bashite kajitoa mhanga kuigharamia mpaka mwisho kwa siri kubwa
 
Part 1: waliomzushia mabaya Raisi mikonomi mwa MUSIBA, awa Mbogo awatangazia vita kali

 
Kama Lissu Waliompiga Risasi Mpaka Leo Hawajakamatwa Basi Sioni Sababu Ya Sheria Kufanya Kazi Upande Mmoja.

Ata Kwa Lissu Kulikuwa Na Uwezekano Wa Kutokea Vita Kwani Hamkujua Ilo?
Kwani Dereva wa Lisu yuko wapi?
 
Magufuli ajifunze kuwa CCM wote waliotumbuliwa na CCM wale wasio wanufaika wa utawala wake hawapo pamoja naye kabsa mpaka siku wakianza kunufaika kama CCM wenzao wanaofaidi keki ya Taifa pamoja na magufuli kimya kimya na hata kwa uwazi kama cyprian Musiba anavyolipwa mabilioni kisha kuzuga kuwahadaa watanzania kuwa ni mwanaharakati huru
 
Huo uzushi ungetokea Korea ya Kim,au China,au Saudia,basi mgejua uzito wa jambo hilo.
Wangekatwa vichwa kama ishara kuna mamlaka yenye nguvu kuliko watu hao.
 
Mnaojifanya mnatete Afya ya Jiwe mbona mnashindwa kusema kwanini Ziara Ile imekatishwa bila maelezo? Hivi kina sehemu alitamka kuwa Jiwe kadanji? Halafu kwani sikuna sheria za makosa ya mitandaoni ambao mmewatungia wapinzani wa Stone Sasa mbona mnajinyeanyea tu kusaka tonge.Leteni hoja
 
Atakama aumini kama uchawi hupo aufanyi uchawi usiwepo..! Kwa clip iliyotembea na kuendelea kung'ang'ania eti afanye checkup ya afya yake ni upuuzi mtupu.

Le mutuz katua toka mataifa mbalimbali akiwa na jopo la waganga wa kienyeji mmojawapo ni mganga wa Museveni mwingine ni wa kagame, wapo hotelini wakijiandaa kuwapiga kombora kikosi kilichokwenda Ruangwa kuleta Moshi wa nyukilia ya Gamboshi, kufa kufaana kipindi hiki ndicho Bashite mratibu wa kamati za ufundi za mtukufu atavuna mapesa kama hana Akili nzuri.wageni njoo Ruangwa wenyeji Le mutuz na Boss wake Bashite wapone.
 
Angeendelea kujificha for one more day aone mbuzi na kuku s
zinavyochinjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…