Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Halafu wngine kweli ni wehu,Lissu ni kichuguu tu nchi hii,vita vitokee sababu ya Lissu,wengine sijui mnafikir kwa kutumia miguu badala ya ubongo kwa kweli
Hivi kwenye watu million 60 MTU mmoja asipokuwepo hio vita itatokea wapi?Uloshawahiona gari likakosa abiria.Nchi ni watu sio MTU.
 
Kuzushiwa kifo si jambo dogo kwa kiongozi wa nchi tena kwa muda wa siku mbili mfululizo wananchi kubaki katika sintofahamu.

Hilo ni moja zaidi yake ni reaction ya watu hasa katika mitandao ya kijamii ambayo ni representative ya wale wasio kuwa nayo mizani kuelekea upande wa wale waliofurahia sana habari hiyo.

Kama Rais akipata wasaa wa kuona mitizamo ya watu kuhusiana na kifo chake, basi tutegemee hasa kuona mabadiliko makubwa katika kauli zake na matendo yake. Kauli za kibabe, kebehi, sipangiwi na mtu, acha kiherehere, Mimi Rais wa wanyonge tutegemee kupungua kwa kiasi kikubwa.

Atakuwa ameona ana kikundi cha watu wachache sana wanaomshangilia na kumpigia makofi kinafiki huku kundi kubwa likiwa linavuja machozi ya damu na hawa ndiyo wanyonge. Kundi hili ndilo lilikuwa linasubiria breaking news ya msiba wa taifa.

Kwa sasa atakuwa anajitafakari sana idadi ya watu isiyomtakia mema hivyo kuangalia approach mpya katika uongozi wake. Huna namna utauona ufalme wa mbingu huku watu ulioukuwa ukiwaongoza wanasherehekea kifo chako.
ukitaka kumjuwa mtu njisi alivyo bila chega mpe madaraka na pesa, utaona true color yake. pesa na madaraka havi mbadilishi mtu bali vinapanuwa tabia zake.
 
Yaani taarifa haiko wazi halafu Waziri au RC atoe pole!!

Unaelewa ulichoandika?
 
"Wabaya wake wameumbuka, Nimefurahi sana kumuona Raisi MAGUFULI yuko katika afya njema" AZIM DEWJI



Mwenyeezi Mungu ampe Afya na Uzima Rais Wetu Mtetezi wa Wanyonge Doctor Magufuli. Wabaya Wake Wameumbuka
 
Mkuu huu uzi una faida gani?
Tatizo ubongo wako haujai kisoda. Hapa siyo mahali pako, nenda kwenye magazeti ya Tanzanite. Hapa panahitajj Great thinkers tu siyo Buk 7 kama wewe. Get out of here asap
 
Jana alikuwa mpole, mnyenyekevu, asiye na mambo mengi, mwenye hekima na busara tele; Ametoa maagizo kwa msisitizo na bila vile vitisho vyake tulivyo vizoea, nk.

Akiendelea na aina ile ya kutoa hotuba, huku akiguswa na kuonesha kuyajali makundi yote kwenye jamii likiwemo kundi lililotengwa la watumishi wa umma; huenda mbele ya safari akarudisha imani kwa hayo makundi yote muhimu kwenye jamii.
Ukishachafuka ni ngumu kutakakata hata kwa steel wire ya chuma.Fanya mema laki moja moja baya uharibu mazuri yote
 
Bwana atainyoosha kutoka Mbinguni fimbo ya nguvu zake, ili Mh. John Pombe Joseph Magufuli awe na Enzi, Nguvu na Uweza wa ajabu dhidi maadui zake.
Kwa nguvu za Mungu mwenye nguvu natamka kwamba, watafanya kila wanalodhani litamdhoofisha MH. JPM, lakini kamwe kamwe hawataweza. Zaidi sana wataaibika tu. Na aibu yao itakuwa ni LAANA kuu juu yao. LAANA hiyo itaanzia miilini, vyumbani mwao na popote waendapo. Chochote wakiwazacho, wakinenacho, wakitendacho nk. vitakuwa ni LAANA juu yao.
Au la, wanatakiwa kuomba msamaha wa kweli.
Amina
 
Mlichojifunza nyie wazushi ni kuwa muache majungu na umbea na uzushi, fanyeni yanayowahusu tafuteni pesa mlipe kodi ya serikali nchi ipate maendeleo.
Maendeleo ni kwenda kujenga chato Airport kienyeji bila idhini ya bunge?
 
Kwa hiyo wazee wa Ngende Ruangwa wali test mitambo?

Wale wazee walitoka Gamboshi na akina cyprian Musiba adui mkubwa wa membe wakaona njia bora ya kumchonganisha membe na magufuli ni kupiga uchawi kwenye anga za Ruangwa ili magufuli akasirike amkomoe membe na cyprian Musiba apate kuikwepa kesi yake iliyomlemea ingawa Bashite kajitoa mhanga kuigharamia mpaka mwisho kwa siri kubwa
 
Kuzushiwa kifo si jambo dogo kwa kiongozi wa nchi tena kwa muda wa siku mbili mfululizo wananchi kubaki katika sintofahamu.

Hilo ni moja zaidi yake ni reaction ya watu hasa katika mitandao ya kijamii ambayo ni representative ya wale wasio kuwa nayo mizani kuelekea upande wa wale waliofurahia sana habari hiyo.

Kama Rais akipata wasaa wa kuona mitizamo ya watu kuhusiana na kifo chake, basi tutegemee hasa kuona mabadiliko makubwa katika kauli zake na matendo yake. Kauli za kibabe, kebehi, sipangiwi na mtu, acha kiherehere, Mimi Rais wa wanyonge tutegemee kupungua kwa kiasi kikubwa.

Atakuwa ameona ana kikundi cha watu wachache sana wanaomshangilia na kumpigia makofi kinafiki huku kundi kubwa likiwa linavuja machozi ya damu na hawa ndiyo wanyonge. Kundi hili ndilo lilikuwa linasubiria breaking news ya msiba wa taifa.

Kwa sasa atakuwa anajitafakari sana idadi ya watu isiyomtakia mema hivyo kuangalia approach mpya katika uongozi wake. Huna namna utauona ufalme wa mbingu huku watu ulioukuwa ukiwaongoza wanasherehekea kifo chako.
Part 1: waliomzushia mabaya Raisi mikonomi mwa MUSIBA, awa Mbogo awatangazia vita kali

 
Kama Lissu Waliompiga Risasi Mpaka Leo Hawajakamatwa Basi Sioni Sababu Ya Sheria Kufanya Kazi Upande Mmoja.

Ata Kwa Lissu Kulikuwa Na Uwezekano Wa Kutokea Vita Kwani Hamkujua Ilo?
Kwani Dereva wa Lisu yuko wapi?
 
Mitandao ya Jamii hasa Twitter na JF zilitawaliwa na habari mbaya juu ya Rais JPM. Watu wengi wamewalaumu sana watoa maoni ambao walikuwa wanamtakia mabaya Mkuu wa Nchi. Hata hivyo kuna matano ya kujifunza na ushauri;

1. Afya ya Rais siyo nzuri, pengine ana mapenzi makubwa ya kuwatumikia Watanzania kwa juhudi na Uzalendo, lakini hajapata mapumziko. Afya yake tumeiona kwenye runinga.

2. Madaktari wanaogopa kumshauri juu ya working hours and over working kutokana na attitude yake ya kutoshaurika.

3. Kuna watu wengi wanampenda na walikuwa wamefadhaika sana wakati mitandao ya jamii ilikuwa inaongea habari mbaya kuhusu yeye.

4. Kuna watu wengi pia wasiompenda kutokana na stahili yake ya uongozi na uamuzi.

5. Mfumo wa mawasiliano wa Ikulu haujui wajibu wake. Labda ulikuwa unataka upate ruksa yake ili utoe taarifa. Je mgonjwa ambaye amepata dharura kubwa anakupaje ruhusa

6. Vyombo vya habari vile vya main-stream vinaogopa kuandika chochote mpaka kwa ruhusa ya Ikulu. Matokeo yake mitandao ya jamii ikabakia ndiyo njia kuu ya habari.

NINI KIFANYIKE:
1. Rais afanye full checkup ya afya yake na apate muda wa kupumzika.

2. Rais ajitathmini style yake uongozi, asifurahie kuogopwa bali ajenge mazingira ya kuheshimiwa

3. Ni vizuri kuna watu wanampenda ila asipuuze sababu za wale wasiompenda. Azifanye kazi na kuchukua hatua.

4. Vyombo vya habari viachwe vifanye kazi zake kitaalamu
Magufuli ajifunze kuwa CCM wote waliotumbuliwa na CCM wale wasio wanufaika wa utawala wake hawapo pamoja naye kabsa mpaka siku wakianza kunufaika kama CCM wenzao wanaofaidi keki ya Taifa pamoja na magufuli kimya kimya na hata kwa uwazi kama cyprian Musiba anavyolipwa mabilioni kisha kuzuga kuwahadaa watanzania kuwa ni mwanaharakati huru
 
Huo uzushi ungetokea Korea ya Kim,au China,au Saudia,basi mgejua uzito wa jambo hilo.
Wangekatwa vichwa kama ishara kuna mamlaka yenye nguvu kuliko watu hao.
 
Mnaojifanya mnatete Afya ya Jiwe mbona mnashindwa kusema kwanini Ziara Ile imekatishwa bila maelezo? Hivi kina sehemu alitamka kuwa Jiwe kadanji? Halafu kwani sikuna sheria za makosa ya mitandaoni ambao mmewatungia wapinzani wa Stone Sasa mbona mnajinyeanyea tu kusaka tonge.Leteni hoja
 
Atakama aumini kama uchawi hupo aufanyi uchawi usiwepo..! Kwa clip iliyotembea na kuendelea kung'ang'ania eti afanye checkup ya afya yake ni upuuzi mtupu.

Le mutuz katua toka mataifa mbalimbali akiwa na jopo la waganga wa kienyeji mmojawapo ni mganga wa Museveni mwingine ni wa kagame, wapo hotelini wakijiandaa kuwapiga kombora kikosi kilichokwenda Ruangwa kuleta Moshi wa nyukilia ya Gamboshi, kufa kufaana kipindi hiki ndicho Bashite mratibu wa kamati za ufundi za mtukufu atavuna mapesa kama hana Akili nzuri.wageni njoo Ruangwa wenyeji Le mutuz na Boss wake Bashite wapone.
 
Kuzushiwa kifo si jambo dogo kwa kiongozi wa nchi tena kwa muda wa siku mbili mfululizo wananchi kubaki katika sintofahamu.

Hilo ni moja zaidi yake ni reaction ya watu hasa katika mitandao ya kijamii ambayo ni representative ya wale wasio kuwa nayo mizani kuelekea upande wa wale waliofurahia sana habari hiyo.

Kama Rais akipata wasaa wa kuona mitizamo ya watu kuhusiana na kifo chake, basi tutegemee hasa kuona mabadiliko makubwa katika kauli zake na matendo yake. Kauli za kibabe, kebehi, sipangiwi na mtu, acha kiherehere, Mimi Rais wa wanyonge tutegemee kupungua kwa kiasi kikubwa.

Atakuwa ameona ana kikundi cha watu wachache sana wanaomshangilia na kumpigia makofi kinafiki huku kundi kubwa likiwa linavuja machozi ya damu na hawa ndiyo wanyonge. Kundi hili ndilo lilikuwa linasubiria breaking news ya msiba wa taifa.

Kwa sasa atakuwa anajitafakari sana idadi ya watu isiyomtakia mema hivyo kuangalia approach mpya katika uongozi wake. Huna namna utauona ufalme wa mbingu huku watu ulioukuwa ukiwaongoza wanasherehekea kifo chako.
Angeendelea kujificha for one more day aone mbuzi na kuku s
zinavyochinjwa
 
Back
Top Bottom