Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

We kwa akili zako meco ulomuona akiongea leo ni yule wa kawaida? Hujaona alivyo mpole.
Ukweli ni kuwa anaumwa ila hajafariki. Ila kwa jinsi ilivyoonekana mtandaoni ni kuwa hapendwi kabisaaaaa, hata ajifariji namna gani nguvu ilokuwa mtandaoni inaonyesha waz kuwa hapendwi,
OVER
Takwimu za mtandaoni zinakupoteza Ndugu.
 
Nimejifunza kwamba utamaduni wa Watanzania kumstahi rais na kumuheshimu sana, siyo tu unaisha, bali unaelekea kwenye utamaduni wa ajabu wa kumtakia mtu, tena rais, kifo.

Hii ni tabia mbaya kwa upande wa wananchi wenye mawazo hayo.

Lakini tabia mbaya hii imepaliliwa na kutiliwa mbolea na ubabe wa rais Magufuli.

Watu waliwakejeli Kikwete na Mwinyi kwa udhaifu wao, lakini haikufikia watu wengi hivi kusheherekea uvumi wa kifo cha rais.
Omba uzima siku atakapokutana na Israeli mtoa roho mambo yatakavyokua ndo uamini kuwa jamaa yako ni gundu!
 
Omba uzima siku atakapokutana na Israeli mtoa roho mambo yatakavyokua ndo uamini kuwa jamaa yako ni gundu!
Sasa magufuli kagundua kuwa CCM yake ni shiiida kubwa hawampendi kabsa
 
Hafla iliyotangazwa ndani ya saa moja kabla ya kufanyika!? Hafla za mzee kufanyika jumapili!? Hafla kutoonyeshwa wala kutangazwa TBC zote!!? Afla ambayo hadi sasa haijaingizwa Utube!? Na vipi kuhusu ile taarifa ya Vicky Nchimbi!!?!! Mi bado nina mashaka kwa kweli!!
 
Nduli Idd Amin kabla ya mauti yake kumfika alitubu na kumrudia Muumba wake, yeye ni nani asifanye hivyo? Huko kaburini mtakua naye wewe au mkeo?
 
Kitu ambacho hujajua ni kwamba wanaompenda Magufuli, na wanaomuombea heri walikuwa kimya wakisubiri taarifa rasmi kutoka Ikulu, na ndio maana live streaming ya Ikulu ilijaa comments nyingi za shwangwe na furaha baada ya watu kumuona Rais wetu pendwa. Ila tu ole wao kwa waliovumisha huu uzushi, wanaweza wakadhani watapambana na vyombo vya dola tu, wakasahau kuwa kuna wananchi wengi wenye hasira nao.
Nduli Idd Amin kabla ya mauti yake kumfika alitubu na kumrudia Muumba wake, yeye ni nani asifanye hivyo? Huko kaburini mtakua naye wewe au mkeo?
 
Nduli Idd Amin kabla ya mauti yake kumfika alitubu na kumrudia Muumba wake, yeye ni nani asifanye hivyo? Huko kaburini mtakua naye wewe au mkeo?
Sasa magufuli kagundua kuwa huko CCM wengi hawampendi anaenda kuifumua CCM upya aisuke kivingine
 
Nilichojifunza ni kwamba binadamu ni silaha yenye makali ya pande mbili. Akikuombea wema atakuombea na kukutakia mpaka basi! Na akikutakia shari atakutakia na kukuombea mpaka basi!

Ni jambo jema kama wahusika wakilitafakari.
 
Ombwe la wadudu wasiozidi 1000000. kumbuka tuko zaidi ya milioni 30 wenye akili nziri. Ukiondoa hao wadusu tuliobaki wote tuko vizuri.
Je uliangalia you tube mubashara comment za kushangilia zilivyokuwa zinaporomoka kwa maelfu??
Comment zenyew za makada wachache wa ccm halafu mtu anakuja kusema ni watanzania tena kwa ambaye amefuatilia jambo utagundua wengi waliofurahi ni watumishi wa uma na masikini wa kawaida ndo mana imeletwa hoja ya yule mkandarasi aliyetukwana na raisi hakuna cha mafisadi hapa hawajui kinachoendelea
 
Vicky Emmanuel Nchimbi wrote this piece [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Taarifa zinazosambazwa kuwa JPM amefariki si za kweli. Ni uzushi Zipuuzeni. May be if he will die in future on God's will, but as for now he is alive. It's true alipata heart attack akiwa ziarani kusini na kukimbizwa Dar usiku kwa helcopter ya jeshi kisha akasafirishwa to SA then Germany. Mama Samia aliitisha cabinet jana to adress the situation and all security organs are alerted.

Taarifa rasmi haijatolewa kwa sababu ya kuhofia kuiweka nchi kwenye tention unnecessarily. Kwa hiyo ili kupunguza minong'ono iliyopo imebidi itolewe taarifa ya uteuzi aliofanya kabla hajaugua. Ni idea iliyotolewa na Mzee Lukuvi just to calm people down. Ndio maana watu wanahoji if he is okay kwanini asijitokeze hadharani hata kwenda kununua samaki kule ferry as he used to be? uteuzi haujafanywa leo, isipokuwa leo umetangazwa tu. And the one who announced is Gerson not JPM.

Kutumia uteuzi as derteminant that he is okay is wrong. He is not okay and he is not in the country. Ndio maana hata kwenye mkutano wa AALCO he will be represented by mama Samia. Lets pray for him for the quick recovery. I'm told leo kapata nafuu na kaweza kufungua macho usiku huu. These are good news lets keep push the prayers. Hata kina Bashe na Polepole wamepata ujasiri to speak it out baada ya mzee kufungua macho usiku huu. Lakini tangu juzi alipozidiwa they were quet as absent b'se they couldnt anticipate what nature could provide.

The most important thing let's keep praying for him, and send our gratitude to Germans kwa kupambania afya ya baba yetu. Tusimuombee mabaya just b'se of political dissimilarities. Our prayers, our unity, our nation, our President.
Kama ni kweli basi wachawi wapo ama alipewa sumu
 
Ombwe la wadudu wasiozidi 1000000. kumbuka tuko zaidi ya milioni 30 wenye akili nziri. Ukiondoa hao wadusu tuliobaki wote tuko vizuri.
Je uliangalia you tube mubashara comment za kushangilia zilivyokuwa zinaporomoka kwa maelfu??

Milioni moja wanaowakilisha hisia zao ni bora kuliko milioni 30 walio kimya.
 
Nilichojifunza ni kwamba binadamu ni silaha yenye makali ya pande mbili. Akikuombea wema atakuombea na kukutakia mpaka basi! Na akikutakia shari atakutakia na kukuombea mpaka basi!

Ni jambo jema kama wahusika wakilitafakari.
Amekuwa mnyonge,usiombe kuhukumiwa na mahakama ya jamii
 
Nimejifunza kwamba utamaduni wa Watanzania kumstahi rais na kumuheshimu sana, siyo tu unaisha, bali unaelekea kwenye utamaduni wa ajabu wa kumtakia mtu, tena rais, kifo.

Hii ni tabia mbaya kwa upande wa wananchi wenye mawazo hayo.

Lakini tabia mbaya hii imepaliliwa na kutiliwa mbolea na ubabe wa rais Magufuli.

Watu waliwakejeli Kikwete na Mwinyi kwa udhaifu wao, lakini haikufikia watu wengi hivi kusheherekea uvumi wa kifo cha rais.
Wengi kina nani? Unayo idadi?
 
Back
Top Bottom