Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

ubaguzi mbaya sana chuki zinaanza pale wapinzani wanaponyanyaswa assume wewe ungekuwepo mpinzani usingeombea mabaya tujifunze kuthamini utu Lisu kupigwa lisasi wewe na genge lako mlikuwa mnafanya nini?
Kunyanyaswa gani mnanyanyaswa!!!!

Uite mkuu wa nchi mtu wa ajabu,uachwe hivi hivi,ili ujijenge kisiasa!!!huu upumbavu hauvumiliki,mtagongwa sana na kama mmekaa mkisubiri rais afariki mjipongeze mtazeekea hapo mezani.
 
Uzushi wa kushtusha kuhusiana na hali ya afya ya Mheshimiwa Rais umechefua watu wengi sana. Ni jambo la kusikitisha zaidi kwamba baada ya kuamini na kukurupuka kama kawaida yao, baadhi ya wasiompenda wamejiacha wazi mno kiasi kwamba hata waliowahi kuonekana wana hekima upuuzi wao umejianika wazi.

1. Utashangiliaje taarifa mbaya dhidi ya rais wa nchi yako?

2. Unawezaje kutaka kiongozi wa nchi yako aonekane mbaya jumla na kupuuza mema mengi anayofanya na kusimamia?

3. Kama ni mbaya kiasi hicho huyo aliye mzuri na kufaa kwa kila jambo ni yupi?

4. Kama huwezi kutofautisha chuki zako binafsi na wema halisi wa kiongozi wa nchi yako hekima yako ipo wapi?

5. Kama ni muhimu sana kushangilia mabaya kwa rais wa nchi yako, kwa nini walau usithibitishe kwanza?

Mh. Mkapa hakukosea sana alipotuita baadhi yetu wapumbavu na malofa wakubwa.

Hivi hata kama kuna mahala amekukosea kweli unawezaje kufurahia mambo kama mali za taifa lako kushikiliwa na mabeberu huko nje?

Asante Mzee Mkapa kwa kauli hii.
tuna viongozi Wa upinzani hovyo Sana
 
Maneno kama haya ndio yanapaswa kukemewa maana ndio yanayoongeza chuki na uhasama kwa jamii.
Kunyanyaswa gani mnanyanyaswa!!!!

Uite mkuu wa nchi mtu wa ajabu,uachwe hivi hivi,ili ujijenge kisiasa!!!huu upumbavu hauvumiliki,mtagongwa sana na kama mmekaa mkisubiri rais afariki mjipongeze mtazeekea hapo mezani.
 
Uzushi wa kushtusha kuhusiana na hali ya afya ya Mheshimiwa Rais umechefua watu wengi sana. Ni jambo la kusikitisha zaidi kwamba baada ya kuamini na kukurupuka kama kawaida yao, baadhi ya wasiompenda wamejiacha wazi mno kiasi kwamba hata waliowahi kuonekana wana hekima upuuzi wao umejianika wazi.

1. Utashangiliaje taarifa mbaya dhidi ya rais wa nchi yako?

2. Unawezaje kutaka kiongozi wa nchi yako aonekane mbaya jumla na kupuuza mema mengi anayofanya na kusimamia?

3. Kama ni mbaya kiasi hicho huyo aliye mzuri na kufaa kwa kila jambo ni yupi?

4. Kama huwezi kutofautisha chuki zako binafsi na wema halisi wa kiongozi wa nchi yako hekima yako ipo wapi?

5. Kama ni muhimu sana kushangilia mabaya kwa rais wa nchi yako, kwa nini walau usithibitishe kwanza?

Mh. Mkapa hakukosea sana alipotuita baadhi yetu wapumbavu na malofa wakubwa.

Hivi hata kama kuna mahala amekukosea kweli unawezaje kufurahia mambo kama mali za taifa lako kushikiliwa na mabeberu huko nje?

Asante Mzee Mkapa kwa kauli hii.
Kwa kawaida ulichosema ni sawa usingetegemea hayo yatokee kwa kiwango yalichotokea. Sasa kama yamekuwa hivyo, nadhani ni busara upande wa mkulu nao ujiulize kwa nini yamekuwa hivyo. Kuwaita wapumbavu na malofa sidhani kama kunasaidia, ingekuwa ni hivyo sitaona mantiki ya uzi kama huu.
Kwa sisi maticha ukiona wanafunzi wengi wamefeli na hutaki lawama basi unaimba ya kuwa hawana akili na unafunga mjadala, lakini kwa walimu makini hudadavua pamoja na ufundishaji wao ili wajue tiba itoke wapi. Tujitafakari.
 
Mimi ktk hili nimejifunza kuna wanajamii forum humu ndani ni wanafiki kwa kuandika hbr za uongo bilahata kufikiri wsnajifanya wako karibu na hbr kumbe uongo mtupu yani post zao zote nimezipuuza naona za kijingasana mtu Muongo ni kama mchawi tu na wamseaibika sana kwa kweli na wapinzani hawa haswa zitto na nduguze hawana maana kabisa waongo vibaya sana hawafai ktk jamii.
 
Kunyanyaswa gani mnanyanyaswa!!!!

Uite mkuu wa nchi mtu wa ajabu,uachwe hivi hivi,ili ujijenge kisiasa!!!huu upumbavu hauvumiliki,mtagongwa sana na kama mmekaa mkisubiri rais afariki mjipongeze mtazeekea hapo mezani.
wewe ni uchafu tu kama damu za hedhi siwezi kujibizana na wewe
 
Nimpongeze Tundu Lisu, amekaa kimya na hata alipotaka kusema alitamka maneno ya kuomba heri ya Mhe.Rais. Kwamba ameandika kutoka moyoni au la ni Siri yake na Mwenyenzi Mungu.

Niwaombe Watanzania tusivae ukatili mkubwa kiasi hiki, kiongoz anapohisiwa kupata tatizo Taifa linakaa kimya na kumwombea mazuri ila nimeshangazwa kuona mtaani hata wale wanaccm tuliotegemea wamwombee afya njema walibadilika na kuanza kujadili Kama Makamu anafaa au la. Sisemi wanaccm wote bali nasema na wale waliofurahia uvumi uliokuwa unaendelea.

Mawazi na wakuu wa Mikoa, mmeonyesha wazi kwamba upo unafiki ndani yenu na hapendwi mtu inapendwa ajira...mlikuwa na Uhuru wa kupost na kutoa tweet za faraja lakini mlikaa kimya na baadhi yenu mliwaza zaidi kuhusu next prezdaa kuliko kufuatilia afya ya aliyepo. Baada ya kutambua kwamba chuma kipo imara mkaondoka kabisa kwenye imani zenu za dini na kuanza kutengeneza posts za matusi na video zisizo na stahaa mkiamini kuwa maradhi na kifo vinaletwa na Binadamu. Kumbukeni na kaeni mkijua siku zote mtu apatwapo na matatizo au mpendwa wako anapopakaziwa kuwa na matatizo ukabaini huu buheri wa afya ni dhambi kuwashambulia wanaopakaza, yakupasa kumtukuza Mungu.

TBC, ninyi Ni chombo Cha Taifa na kinapaswa kusimama Kama chombo Cha Taifa achaneni na siasa na kujiendesha kishabiki...nyimbo ya Gozbeth haikupaswa kupigwa kwa wakati mliopiga...vipindi vyenu kwa siku tatu havikupaswa kupangiliwa mlivyovipangilia....tambueni wajibu wenu.

Kwa watawala, napenda kuwaomba mjifunze kitu kwenye tukio hili. HAKI IMEONDOKA, UHURU UMEONDOKA,USAWA UMEONDOKA, UBINAFSI UMETAWALA, CHUKI IMETAWALA. TAIFA LETU HALIPASWI KUSHANGILIA MABAYA YAWAPATAYO KIONGOZI WAO, TUJITAFAKARI MAANA IPO SIKU TUTASAIDIANA KWENYE SHIDA KUTOKANA NA VYAMA VYETU.

ADUI WA TANZANIA APASWI KUWA WATANZANIA BALI WATANZANIA WANAPASWA KUWA WALINZI WA TANZANIA.
 
Aliyekibonyeza alitaka kupima imani za kishirikina walizonazo nzego,coz kuna walioamini kuwa moshi huo ni makombora ya kimakonde.

Na jamaa akasema naona mnaniletea moshi ili kuzidi kuwachanganya wana Nzengo. Akapotea kwenda kupata ushauri wa wataalamu na kuibukia Magogoni.
 
1.Watu wengi tena waliosoma bado wanaamini tatizo linaweza kutatuliwa kwa kumtakia mtu jambo baya, hatufahamu dhana ya kuwa sisi ndio nahodha wa maisha yetu na maisha tunayoyaishi ni uamuzi wa machaguo tuliyochagua na sio bahati nasibu wala mtu mwengine kusababisha tuwe tulivyo.

2.Upinzani bado hawajakua, bado hawajawa mbadala wa CCM, Wengi wanamchukia Magufuli kwasababu ya kuminywa mirija yao na sio wana uchungu na Watanzania.

3.Serikali imefanya jambo lililosahihi, kwa wakati sahihi katika namna sahihi kabisa.

4.Inawezekana kukawa na mageuzi makubwa ya vyombo vyetu vya usalama na ile mianya ya kuvuja kwa siri ambazo wengine hatupaswi kujua imeanza kuminywa kimya kimya, watu wenye kazi zao wapo kazini.

5.Watanzania tunapenda sana umbeya na Majungu, zamani tulikaa katika vijiwe vijiwe sasa hivi Teknolojia imeturahisishia kuendeleza tabia zetu za umbeya na Majungu.
Ni kweli badala ya kujibu hoja wanamtwanga risasi
 
Nakumbuka alipougua Mwalimu Nyerere watanzania walimuombea sana na wengi wakadhani akifariki eti itakuwa mwisho wa dunia.

Mkapa na Kikwete walipougua, waliombewa mema, achilia mbali kuitwa mafisadi na kuwaita watanzania malofa

LAKINI.... hii (iwe 'planned or unplanned'), imetoa majibu tosha kuhusu kupendwa au kuchukiwa!

Nawaachia maneno matakatifu:

WAGALATIA 6:7

Msidanganyike, Mungu hadanganywi. Kwa maana kila mtu atavuna kile alichopanda.

2WAKORINTHO 9:6
Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; Apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.

Ayubu 38:1-2
Ndipo Bwana akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema, Ni nani huyu atiaye mashauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?
 
Ukita kupendwa na kila mtu Uza Icecream usiwe Kiongozi, hakuna kiongozi asiyechukiwa na kundi flani la watu, hata hao uliowataja walichukiwa na kundi flani na wengine wakawapenda, tofauti tu ni kuwa leo technology imekua na imewaleta watu pamoja hivyo kuonekana kuwa hivi sasa matusi yanaonekana zaidi, issue hapa ni time na platform
 
Chuki ipo tangu zamani tofautu ni kuwa njia za kuonesha chuki zimerahisishwa yani mtu kuugua tu imekuwa habari tufanye kazi waTz
 
nilichojifunza kigogo wakati mwingine wanamlisha taarifa fake nae hayuko makini kuzihakiki,,i mean angeweza kutumia flightrada ili kuona ndege yeyote ya Tz ikiondoka na kutua Germany,ajipange
Kigogo aliaminiwa sana na wanamtandao sasa wanamlisha matango pori ili watu wawe wanampuuza na kwa hili la kuumwa kwa prezda yaani ameingizwa "CHAKADEMUS" 100% watu huko twita wanampa "MAKAVU LIVE".
 
Mi nampenda sana na namuombea awe mzima afanye kazi kuhusu mkapa na kikwete hapakuwa na insta wala jamii forum haikuwa na vichaa kama waliopo leo kifupi anapendwa!
 
lakini pia neno linasema kuwa "wapendeni adui zenu na waombeeni wanaoaudhi" sasa hapa watanzania kama kweli tuna gadhabu na mtu yule Mungu atatutia adabu.
 
Tarehe 20/10/2019 ilikuwa siku ngumu kwa viongozi wakitaifa na wananchi kwa ujumla, ilikuwa siku ambayo kuapishwa kwa viongozi kulitazamwa na kufuatilia na watu wengi kila mmoja akitaka kujua Afya ya Mhe. Rais baada ya kuwepo uvumi wa kuugua toka tarehe 18/10/2019.

Baada ya Rais kujitokeza alionyesha wazi kwamba hakuwa na furaha si kwa sababu ya ugonjwa Bali naamini alikuwa akitafakari dua za baadhi ya Watanzania dhidi yake hasa kupitia posts zilizozagaa kwenye Mtandao wa tweeter.

Naamini Kama binadamu na kwa nguvu anazotumia kuliletea maendeleo taifa hakustahili Yale aliyoyasikia na hivyo nadhani alijiuliza binadamu Hawa wanataka Nini?

Alijiuliza, je mijadala ndani ya chama chake kuanzia juu Hadi chini ilikuwa na heri kwake? Nadhani amebaini wazi kuwa wapo viongozi aliowateua ambao wanamdiss au awapo naye kifikra Bali wapo naye kimwili kulinda ajira zake.

Mhe. Anavyanzo vingi vya taarifa na kwa Sasa anawajua viongozi wote ambao waliungana kumwombea yeye na taifa mabaya na atawashughulikia si kwa ubaya Bali atawaweka kando wasubiri kufanya kazi na huyo wanayempenda.

Naamini wapo mawaziri, wapo wkuu wa mkoa na wilaya, wapo wakurugenzi na viongozi wengine ambao walihamini uvumi na walijielekeza kujua Nani atachukua nchi, Hawa wote wanapaswa kuwekwa kando kwani hawapo kulisaidia Taifa Bali wapo kusaidia familia zao.

Niombe wakati wa safisha safisha wasipate madhara ya mwili bali wasaidiwe tu warudi Kijiji kulima....hatuwezi kuishi na ndumilakuwili..

Watu walidiss wanapomwona Rais live ndo wanaanza kujitutumua kuandika tweeter kujifanya jiwe jiwe jiwe limerudi, mbona toka mwanzo mlikuwa kimya?
 
Ugonjwa/maradhi na kifo havifichiki. Na mwanadamu yeyote atakumbwa navyo muda wowote.
 
Back
Top Bottom