Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

....Ukitaka fahamu FAMILIA yako na MAJIRANI wana mtizamo gani juu yakoo....."....."
 
Hivi ziara yake huko Lindi leo imefanyika?

Je,Rufiji na Ikwiriri nako jana alienda?

Haya maswali ni ya Kigogo huko twitter na wala si yangu.
Kigogo alipouliza kuhusu hela za ruzuku chadema ulimkabidhi akili yako kama hivi pia?
 
Tarehe 19 na tarehe 20 October 2019 ni siku ambazo wengi wa watanzania hatutakaa tukazisahau maishani mwao.

Tulivunjwa miyoyo,tulikosa matumaini na wengine walitamani kuikimbia nchi aidha kwa kukosa matumaini au kwa kuhofia usalama wao.

Rais anapokuwa amekufa mazingira ya kutatanisha hali hiyo huleta vita ndani ya nchi.Mambo haya yalitokea nchini Rwanda na Burundi ,na nchi nyengine.

Watanzania wengi walikua wanafuatilia ziara ya Rais. Walikuwa wakifurahia sana gafla wanaambiwa na wapinzani eti amekufa tena wapinzani hao wanafurahia kifo hicho.kwa maana nyengine walikuwa wamepanga kifo chicho.

Niseme kuwa Mungu amewatuliza watazania vinginevo yaliyotokea Burundi na Rwanda yangeweza kutokea baada ya kuona watu wanashangilia mabaya juu ya rais.

Wako watu walianzisha au kushangilia mabaya hayo.wanajukikana na wengine wametajwa Leo na Musiba.yako madhara makubwa wamesababisha kutoka na uzushi huo.

Vyombo vya Dora viwasake kote waliko wawekwe ndani mpaka rais atakapotoka madarakani.Hii itakuwa afya kwa taifa letu la Leo na la kesho kwa sababu watu hawa wanavuruga nchi.

Najua wakikamatwa mataifa ya nje yatapiga makelele kama kawaida yao.lakini potelea mbali.kwanza in usalama kwao.

Waziri mwenye dhamana chukua hatua LA sivyo watanzania wengi watawaza mengi juu yako!!
Binadamu utofautiana hisia,katu haziwezi kuwa sawa.Kifo ni sehemu ya maisha,na haiwezi leta vita taratibu zipo zilishapangwa kikatiba ikitokea hiki kifanyike kipi.Nchi uongozwa na katiba sio MTU.Gari haliwezikosa dereva mmiliki akifa.
 
Kuzushiwa kifo si jambo dogo kwa kiongozi wa nchi tena kwa muda wa siku mbili mfululizo wananchi kubaki katika sintofahamu.

Hilo ni moja zaidi yake ni reaction ya watu hasa katika mitandao ya kijamii ambayo ni representative ya wale wasio kuwa nayo mizani kuelekea upande wa wale waliofurahia sana habari hiyo.

Kama Rais akipata wasaa wa kuona mitizamo ya watu kuhusiana na kifo chake, basi tutegemee hasa kuona mabadiliko makubwa katika kauli zake na matendo yake. Kauli za kibabe, kebehi, sipangiwi na mtu, acha kiherehere, Mimi Rais wa wanyonge tutegemee kupungua kwa kiasi kikubwa.

Atakuwa ameona ana kikundi cha watu wachache sana wanaomshangilia na kumpigia makofi kinafiki huku kundi kubwa likiwa linavuja machozi ya damu na hawa ndiyo wanyonge. Kundi hili ndilo lilikuwa linasubiria breaking news ya msiba wa taifa.

Kwa sasa atakuwa anajitafakari sana idadi ya watu isiyomtakia mema hivyo kuangalia approach mpya katika uongozi wake. Huna namna utauona ufalme wa mbingu huku watu ulioukuwa ukiwaongoza wanasherehekea kifo chako.
Naona unajifariji baada ya dua lenu la kinyesi kugonga mwamba
Endelea kujipa moyo
 
Yani uvunjike moyo kwa mtu asiyekupa chakula!!!?what the hell!?

Kwani hatakufa huyo mtu wenu?

Acha fikra finyu.The niga is not a God,he is going to die one day,any day.

Acheni kumpa u-Mungu.
Kwa wanufaika ni pigo kwa wahanga ni kicheko
 
Mimi kinacbonisikitisha ni wapinzani kushikwa akili na kigogo mpaka wa naacha kufuatilia mambo ya msingi kama uchaguzi na mengineyo.

Baada ya tarehe 24 mwezi ujao ntakuja hapa kuwakumbusha mlivyo nyumbu
 
Tarehe 19 na tarehe 20 October 2019 ni siku ambazo wengi wa watanzania hatutakaa tukazisahau maishani mwao.

Tulivunjwa miyoyo,tulikosa matumaini na wengine walitamani kuikimbia nchi aidha kwa kukosa matumaini au kwa kuhofia usalama wao.

Rais anapokuwa amekufa mazingira ya kutatanisha hali hiyo huleta vita ndani ya nchi.Mambo haya yalitokea nchini Rwanda na Burundi ,na nchi nyengine.

Watanzania wengi walikua wanafuatilia ziara ya Rais. Walikuwa wakifurahia sana gafla wanaambiwa na wapinzani eti amekufa tena wapinzani hao wanafurahia kifo hicho.kwa maana nyengine walikuwa wamepanga kifo chicho.

Niseme kuwa Mungu amewatuliza watazania vinginevo yaliyotokea Burundi na Rwanda yangeweza kutokea baada ya kuona watu wanashangilia mabaya juu ya rais.

Wako watu walianzisha au kushangilia mabaya hayo.wanajukikana na wengine wametajwa Leo na Musiba.yako madhara makubwa wamesababisha kutoka na uzushi huo.

Vyombo vya Dora viwasake kote waliko wawekwe ndani mpaka rais atakapotoka madarakani.Hii itakuwa afya kwa taifa letu la Leo na la kesho kwa sababu watu hawa wanavuruga nchi.

Najua wakikamatwa mataifa ya nje yatapiga makelele kama kawaida yao.lakini potelea mbali.kwanza in usalama kwao.

Waziri mwenye dhamana chukua hatua LA sivyo watanzania wengi watawaza mengi juu yako!!

Mental slavery, divide and rule, media, mitandanao mingine inajiita huru where we dare to talk openly, what a joke, wengi wana agenda, ni wanaharakati, wana mipango flani, wanalipwa na Wazungu, kueneza sera zao kama Gay Rights, so called human right, democracy.

Wanapigania uhuru wa kuongea wakati huohuo wanawatukana wengine wenye maoni tofauti.

Wanapigania uhuru wa habari wakati huo huo wanafunga accounts za maoni tofauti.

Wanapigania haki za kibinadamu wakati hapa hapa matusi ni kama lugha ya taifa.

Unafiki, uhuni, ujanja ujanja, upotoshaji, matusi, kejeli, kebehi, dharau, bado ni tatizo hapa kwetu. Niishie hapa.

Unajua hata akili ndogo inajua majadiliano, maoni tofauti ndio yanawavutia members wapya, kuikuza website yoyote.

Dawa sio kuwasaka hawa wanaharakati, waachwe waendelee na upotoshaji wao.

Serikali, Rais inabidi wajikite zaidi kufikia malengo ya kuwasaidia Watanzania wengi.

100% focus should be directed to help the poor, improve infrastructure ( elimu, hospitali, barabara, maji, umeme, kujenga mazingira, kuwawezesha watu kufanya biashara, kufungua biashara, kubwa to export our stuffs). Serikali iwaache wapige kelele.

Piga kazi Rais, matokeo yataonekana. Ila usifanye kila kitu mwenyewe waachie Makamu wako, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya,Kata, hadi watendaji vijiji wakusaidie.
 
Tarehe 19 na tarehe 20 October 2019 ni siku ambazo wengi wa watanzania hatutakaa tukazisahau maishani mwao.

Tulivunjwa miyoyo,tulikosa matumaini na wengine walitamani kuikimbia nchi aidha kwa kukosa matumaini au kwa kuhofia usalama wao.

Rais anapokuwa amekufa mazingira ya kutatanisha hali hiyo huleta vita ndani ya nchi.Mambo haya yalitokea nchini Rwanda na Burundi ,na nchi nyengine.

Watanzania wengi walikua wanafuatilia ziara ya Rais. Walikuwa wakifurahia sana gafla wanaambiwa na wapinzani eti amekufa tena wapinzani hao wanafurahia kifo hicho.kwa maana nyengine walikuwa wamepanga kifo chicho.

Niseme kuwa Mungu amewatuliza watazania vinginevo yaliyotokea Burundi na Rwanda yangeweza kutokea baada ya kuona watu wanashangilia mabaya juu ya rais.

Wako watu walianzisha au kushangilia mabaya hayo.wanajukikana na wengine wametajwa Leo na Musiba.yako madhara makubwa wamesababisha kutoka na uzushi huo.

Vyombo vya Dora viwasake kote waliko wawekwe ndani mpaka rais atakapotoka madarakani.Hii itakuwa afya kwa taifa letu la Leo na la kesho kwa sababu watu hawa wanavuruga nchi.

Najua wakikamatwa mataifa ya nje yatapiga makelele kama kawaida yao.lakini potelea mbali.kwanza in usalama kwao.

Waziri mwenye dhamana chukua hatua LA sivyo watanzania wengi watawaza mengi juu yako!!
Dabo std ya nn wengine wameuwawa na majalada yamefungwa sembuse uzushi.
 
aishi maisha marefu akilinda rasilimali za nchi lakini pia aruhusu demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari na wa kutoa maoni. kwa ufupi aiishi Katiba ya Jamhuri siyo maneno ya wapambenuksi wanaomzunguka au wanaojipendekeza kwake.
 
aishi maisha marefu akilinda rasilimali za nchi lakini pia aruhusu demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari na wa kutoa maoni. kwa ufupi aiishi Katiba ya Jamhuri siyo maneno ya wapambenuksi wanaomzunguka au wanaojipendekeza kwake.
MFALME UISHI MUDA MREFUUUUI
 
Kama Lissu Waliompiga Risasi Mpaka Leo Hawajakamatwa Basi Sioni Sababu Ya Sheria Kufanya Kazi Upande Mmoja.

Ata Kwa Lissu Kulikuwa Na Uwezekano Wa Kutokea Vita Kwani Hamkujua Ilo?
Halafu wngine kweli ni wehu,Lissu ni kichuguu tu nchi hii,vita vitokee sababu ya Lissu,wengine sijui mnafikir kwa kutumia miguu badala ya ubongo kwa kweli
 
Ata watoa wapi? Hiyo vita yao wenyewe huko huko.

Kumbuka ccm ilikuwa na wagombea 42, 2015. Na wote hawakufirahi isipokuwa Magufuli peke yake.

Wasitumie vyombo vya umma kwa mambo ya kichama.

Watumie green guard kuwatafuta, wako huko huko ccm.

Mambo yao ya ndani tutayajuaje sisi?!
swahiba wale wale tano bora maana ndo waliokomolewa sana wamama wawili na madume 3
 
wapumbavu wote wanaomsema rais vibaya mungu awaangamize na familia zao inshaaallah
 
Back
Top Bottom