Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Bablai mbona unamfundisha jamaa kula nauli kama mamamsii wa bongo?Kula hela badili line mzee! Akikutafta mwabie uliuziwa simu ya wizi😀 na ukasingiziwa kesi kwahio ulikaa jela miezi 6 bila mawasiliano.
Zingatia kanuni, first date mtoto analiwa kwako!
Anaeza enda fanywa bucha😅Bablai mbona unamfundisha jamaa kula nauli kama mamamsii wa bongo?
Mwache ajitusue tu bablai. Maisha ndio haya haya. Hata wakimrestisha atakuwa emesaidia kuokoa maisha ya mtu mwingine. Labda ndio destiny yake 😂😂Anaeza enda fanywa bucha😅
Ujue kama pesa haina thamani ni bora utuYaan negative comment ni nyingi
Kuweni positiveUjue kama pesa haina thamani ni bora utu
Bila shaka unaulizia link original ya hiyo habari. Imeelezewa vizuri kwa kweli 👇Naipataje
Mwambie huyo demu apambane aje kama mtalii, mwambie pia mamlaka zimekunyima vibali so hutoweza kwenda malta mpaka wakuruhusu. mwambie wamekuambia nikwasababu zakiusalama.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Sababu anayotoa hana vibali na baba yake hatakubali
Wanga wabayaaKajaribu bahati yako bana achana na hawaa
Wabongo tuna mawazo mabaya mabaya tuWanga wabayaa
Anatakiwa asikubali kirahisi aulize maswali logic, amuwekee vikwazo then watafute possible soln kwa faida yawote. mwanafunzi akutumie 6m au mtoa mada katudanganya.Ila vibali Vya UK safi anavyo. Dogo moyo figo ni karibia 1bn
Nakazia, aanfalie figo zake kama zinathamani kuzidi hiyo $2Biashara ya kuuza viungo vya binadamu haipo huko Malta?
[emoji23][emoji23][emoji23] utani wa ngumi huuMbona bati nyingi mkuu? Unataka kuezeka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Biashara ya kuuza viungo vya binadamu haipo huko Malta?
Fanya kumuunganisha mwenzio na Ndugu yetu mtz huko sasa!Ninamjua mtu ambae tulifahamiana hapa JF. Sitomtaja kamwe maana tunaheshimiana ila mara ya Mwisho nimeongea nae video call yupo Malta na amepata mume wa kule na ana mtoto mmoja tayari.
Niliongea nae na mume wake pia tuliongea.
Kumbuka: nimefahamiana nae hapa hapa JF na aliondoka TZ kwenda kusaka life na sasa yupo huko.
Sometimes kufanikiwa maishani kunahitaji ujasiri
Usisahau KY na Lotion zingine kumbuka na kubeba Kondomu. Unaenda kuliwa sifuri.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock