Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Fanya utafiti eneo anapoishi au hicho chuo kilipo book hoteli wewe mwenyewe karibu na hicho chuo kabla ya kwenda na ukifika kwa muda flani awe anakuja hapo hotelini muonane hapo usitoke kwanza msome kama anania mbaya na wewe.
 
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Mwambie huyo demu apambane aje kama mtalii, mwambie pia mamlaka zimekunyima vibali so hutoweza kwenda malta mpaka wakuruhusu. mwambie wamekuambia nikwasababu zakiusalama.

Then tupe mrejesho atakacho kujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda acha kukatishwa tamaa...wabongo hawapendi maendeleo ya watu...Kama ni kufa utakufa tu hta ukigoma kwenda..
 
Ninamjua mtu ambae tulifahamiana hapa JF. Sitomtaja kamwe maana tunaheshimiana ila mara ya Mwisho nimeongea nae video call yupo Malta na amepata mume wa kule na ana mtoto mmoja tayari.

Niliongea nae na mume wake pia tuliongea.

Kumbuka: nimefahamiana nae hapa hapa JF na aliondoka TZ kwenda kusaka life na sasa yupo huko.

Sometimes kufanikiwa maishani kunahitaji ujasiri
Fanya kumuunganisha mwenzio na Ndugu yetu mtz huko sasa!
 
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call

Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende

Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money

Na wananipenda hatari

Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.

Naomba nisaidiwe yafuatayo

Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?

Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua

Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Usisahau KY na Lotion zingine kumbuka na kubeba Kondomu. Unaenda kuliwa sifuri.
 
Back
Top Bottom