and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Angalia usirudi unachechemea. Chunga Sana "O" position itatatuliwa mchana peupe na mabeach boy wa MaltaUsikariri ndugu ,au hujawahi kudate international kupitia social network?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia usirudi unachechemea. Chunga Sana "O" position itatatuliwa mchana peupe na mabeach boy wa MaltaUsikariri ndugu ,au hujawahi kudate international kupitia social network?
Dah nimecheka sanaHahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili bati ni la nabaki Africa daaaa....Jf hatari sikutegemea kweenye maisha yangu hapa Jf kukutana na bati nyingi hivi kwenye sentensi moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante studio.[emoji125][emoji125][emoji125]
View attachment 2049402
Achana na mteremko mwambie aje yeye au mwambie kabisa wazazi na ndugu zako wamekukataza.. nakuonea huruma sana ndugu yangu. Dunia imechafuka hii oohooAisee
huna akili wewe, unaonekana bado katoto na bado hujajua kutafuta pesa zako.. Sasa nenda ukapambane na watoa Figo huko. NonsenseBest comment,thanks bro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula hela badili line mzee! Akikutafta mwabie uliuziwa simu ya wizi[emoji3] na ukasingiziwa kesi kwahio ulikaa jela miezi 6 bila mawasiliano.
Zingatia kanuni, first date mtoto analiwa kwako!
Umeuliza maswali ya msingi sana kwako, vipi hio hoja hujawauliza wao hasa walau shangazi na Hata ku Google tu, wewe kama wewe umetafakari uamuzi upi, unaweza ukawa just a penipal friend kwa miaka Hii walau 2 more years. Hata ukienda uende kama rafiki wa kawaida kbsa avoid talking sex wait and learn more from there, Malta is more of Italian culture and everything (sina hakika labda nachanganya na Cyprus), islands have loose ball hasa kwa kutegemea leisure/utalii hivo soon utajua mengi but first uwe normal friend.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Usiende badala yake mwambie mkutanie nchi iliyopo jirani na Malta Kama unaenda weka namba nitume rambirambi yangu mapema,Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Tena nonsensehuna akili wewe, unaonekana bado katoto na bado hujajua kutafuta pesa zako.. Sasa nenda ukapambane na watoa Figo huko. Nonsense
Jamaa ananikumbusha ile movie ya get out,demu anajitongozesha kwa wahuni wa kiafrica kisha anawaalika kwenda kwao ambako kuna mjumba wa kifahari.Mpelekee Baba yake FIGO hizo.
Kudate na mtoto chini ya 18 ni kifungo. Kitkachofanyika utafunguliwa kesi ya ubakaji na watasema ulikuwa unataka kutoroka umetumbukia baharini. Acha ujinga. Na hao ni organized crime cartel. Hiyo hela lazima wakuue labda upotee kabisaWadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Noma[emoji125][emoji125][emoji125]
View attachment 2049402
Naipataje[emoji125][emoji125][emoji125]
View attachment 2049402
Yaani unatuuliza sisi kana kwamba ndo tulikupa koneksheni yake.Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Figo mbili ni bei gani kule?Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock