Tumemuona Rais Trump akicheza na Mkewe baada ya Kuapishwa rasmi, hivyo tunaomba na wengine wakiapisha hivi karibuni nao wacheze na Wake / Waume zao

Tumemuona Rais Trump akicheza na Mkewe baada ya Kuapishwa rasmi, hivyo tunaomba na wengine wakiapisha hivi karibuni nao wacheze na Wake / Waume zao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
 
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Kavideo Basi boss
 
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Watacheza na wewe 😁😁
 
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Siyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,
 
Siyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,
Samahani 'Ushonga' kama ulivyoandika hapa ndiyo nini labda? Halafu mkiambiwa hamna Akili mnaanza Kukasirika.
 
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Naomba mwenye picha za wenza wa wawa watu.
Mama Samia
Dr Slaa
Freeman mbowe.
Naanza kuawaona wakicheza baada ya ushindi

Ni upuuzi tupu.

Kama hao Watawala hawana wenza Mimi binafsi naona kama ni sawa tu, kwanza ni faida kwa Wananchi walipakodi na ni vyema zaidi ikawa hivyo kuliko wawe na wenza Yaani Mume au mke/wake.
Kwa nchi hii ya Tanzania, watawala kuwa na wenza ni hasara kubwa sana kwa Uchumi wa Wananchi na nchi hii kwa ujumla wake kwa sababu hao wenza wanalipwa Mafao manono Sana pamoja na Viinua Mgongo kupitia fedha za Kodi zetu sisi Wananchi.
 
Ila haya mambo ya wakubwa kucheza muziki huwa yapo sana tu, mrema wa mambo ya ndani aliwahi kukatikiwa bolingo na stage show mmoja wa mwanamuziki wa kizaire aliyekuja kufanya ziara ya muziki nchini, mrema alibaki kutikisika tu. Mkapa naye na mgeni wake Muluzi wa Malawi wao walibadilishana, mke wa mkapa akacheza na Muluzi na mke wa Mulizi naye akacheza na Mkapa katika dhifa ya kitaifa
 
Back
Top Bottom