GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kavideo Basi bossNa GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Watacheza na wewe ππNa GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Blues.Walicheza blues au hiphop? Wimbo wa nani? Sasa kama yule jamaa akishinda hata leo tu uenyekiti atacheza na nani wakati mke wake yuko nje?
labda acheze na mmoja wa wafuasi wake wa kike ila hakuna kushikana kama muziki ni bluesWalicheza blues au hiphop? Wimbo wa nani? Sasa kama yule jamaa akishinda hata leo tu uenyekiti atacheza na nani wakati mke wake yuko nje?
Mkuu hii Code yako sijaielewa hasa hapa uliposema hujawahi kumuona akiambatana na mume. Umemaanisha nini?Sijawahi hata kumuona akiambatana na mume wao, sembuse kucheza muziki...πΆ
Siyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Samahani 'Ushonga' kama ulivyoandika hapa ndiyo nini labda? Halafu mkiambiwa hamna Akili mnaanza Kukasirika.Siyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,
ππππMkuu hii Code yako sijaielewa hasa hapa uliposema hujawahi kumuona akiambatana na mume. Umemaanisha nini?
Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
Naomba mwenye picha za wenza wa wawa watu.
Mama Samia
Dr Slaa
Freeman mbowe.
Naanza kuawaona wakicheza baada ya ushindi