Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Aisee unaelekea kuwa taahira.....Siyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,
Kwani ni lazima kinachofanywa na Rais wa Marekani na wengine wafanye hivyo ? Kila nchi ina mila na desturi zao!Na GENTAMYCINE naomba yoyote yule atakayeapishwa huku Afrika (kama kuna Uchaguzi wowote mwaka huu 2025 japo najua hakuna Uchaguzi wowote katika Kumbukumbu zangu) nae akiwa anacheza Muziki na ama Mkewe au Mumewe mara baada Kuapishwa basi atuonyeshe Manjonjo yake ya kujua Kucheza Muziki (hasa wa taratibu) kama ambavyo Rais Trump ametuonyesha akiwa anacheza na Mkewe Melania Trump leo.
umepanic sana mkuuSiyo kila anachofanya mzungu ni kizuri, na siyo kwa vile Trump amembusu mkewe na siye tuige, ndiyo maana mnaiga hata ushonga na mambo mengine ya hovyo Moto wa LA unawahusu mkiendelea kuigaiga,
Mimi naona wewe ndiwe tayari ulishakuwa hivyo kwa kuona kila kinachofanywa na mzungu ni kizuri tu! Ndio maana baadhi ya wanaume wa Afrika wanaiga kuolewa!Aisee unaelekea kuwa taahira.....
Aiseeeee,wawili wawili baba,Adam na HawaNi upuuzi tupu.
Kama hao Watawala hawana wenza Mimi binafsi naona kama ni sawa tu, kwanza ni faida kwa Wananchi walipakodi na ni vyema zaidi ikawa hivyo kuliko wawe na wenza Yaani Mume au mke/wake.
Kwa nchi hii ya Tanzania, watawala kuwa na wenza ni hasara kubwa sana kwa Uchumi wa Wananchi na nchi hii kwa ujumla wake kwa sababu hao wenza wanalipwa Mafao manono Sana pamoja na Viinua Mgongo kupitia fedha za Kodi zetu sisi Wananchi.
Are you Okay upstairs?Ni upuuzi tupu.
Kama hao Watawala hawana wenza Mimi binafsi naona kama ni sawa tu, kwanza ni faida kwa Wananchi walipakodi na ni vyema zaidi ikawa hivyo kuliko wawe na wenza Yaani Mume au mke/wake.
Kwa nchi hii ya Tanzania, watawala kuwa na wenza ni hasara kubwa sana kwa Uchumi wa Wananchi na nchi hii kwa ujumla wake kwa sababu hao wenza wanalipwa Mafao manono Sana pamoja na Viinua Mgongo kupitia fedha za Kodi zetu sisi Wananchi.