Tumepoteza kijana huko Houston, Texas. RIP Humphrey Magwira

Tumepoteza kijana huko Houston, Texas. RIP Humphrey Magwira

Kuna wakati huwa nachangia humu JF pale wasiowahi fika Marekani au kusafiri kwenda nje ambao wanaona Marekani au Ulaya ni Kanaan au ni nchi za maziwa na asali kuwa zunguka wee nenda hadi mwezini hapa Bongo ni peponi na maisha yetu ni mazuri sana kulinganisha na maisha ya songombingo za ughaibuni lakini wengi hawaelewi ,kibaya zaidi sisi ngozi nyeusi hatupendwi kabisa na hizi ngozi nyeupe. Marekani maisha ya ngozi nyeusi ni sawa tu na maisha ya kuku, wakati wowote unaweza uawa au kuzuriwa. Mtu mweusi haishi kwa amani huko ughaibuni na hana haki,kila jambo baya linamuangukia yeye.
Hapa kwetu tatizo upatikanaji wa pesa ni mgumu! Kazi hamna yani inakulazimu ufanye biashara hata kama huna kipaji hiko mambo yanazidi kuwa hobela hobela tu!

Marekani kutengeneza pesa kwa kupitia shughuli rasmi hata kama sio ya ofisini kwenye ac ni rahisi mno ndio maana wengi wanaona bora wakimbilie huko. Imagine unafanya mishe ambayo unalipwa $25 kwa lisaa limoja. Ni equivalent ya 52,000 kwa saa kama utaigeuza hio pesa kwa madafu! Ukifanya hio kazi masaa 10 tu maana utatengeneza 520,000 kwa siku.

Bongo ili uweze kutengeneza hii pesa labda uwe dalali mwenye pete za majini 😅 ama uwe mfanyabiashara wa fast moving goods na kisha uwe na mtaji mkubwa. Yani asilimia kubwa watu wa kipato cha kati hapa bongo wanatengeneza kati ya 10,000-40,000 kwa siku.

Sasa utamfikia mtu wa marekani saa ngapi hata kama anabeba box? Mwenzio kwa siku 10 tu anatengeneza almost 10M ya kibongo. Hata kama kapanga nyumba ya $2000 still atalipa rent na bills zake na chenchi anabakiwa nazo za ku save na kufanya mambo Afrika huku.
 
Hapa kwetu tatizo upatikanaji wa pesa ni mgumu! Kazi hamna yani inakulazimu ufanye biashara hata kama huna kipaji hiko mambo yanazidi kuwa hobela hobela tu!

Marekani kutengeneza pesa kwa kupitia shughuli rasmi hata kama sio ya ofisini kwenye ac ni rahisi mno ndio maana wengi wanaona bora wakimbilie huko. Imagine unafanya mishe ambayo unalipwa $25 kwa lisaa limoja. Ni equivalent ya 52,000 kwa saa kama utaigeuza hio pesa kwa madafu! Ukifanya hio kazi masaa 10 tu maana utatengeneza 520,000 kwa siku.

Bongo ili uweze kutengeneza hii pesa labda uwe dalali mwenye pete za majini 😅 ama uwe mfanyabiashara wa fast moving goods na kisha uwe na mtaji mkubwa. Yani asilimia kubwa watu wa kipato cha kati hapa bongo wanatengeneza kati ya 10,000-40,000 kwa siku.

Sasa utamfikia mtu wa marekani saa ngapi hata kama anabeba box? Mwenzio kwa siku 10 tu anatengeneza almost 10M ya kibongo. Hata kama kapanga nyumba ya $2000 still atalipa rent na bills zake na chenchi anabakiwa nazo za ku save na kufanya mambo Afrika huku.
Mkuu si kweli ni mfanyakazi gani wa kawaida Marekani analipwa USD 25 kwa saa, na ni mji gani wanalipa kiasi hicho, pia tumeona pale yakitokea matatizo ya msiba bakuli linatembezwa hadi Bongo, kungekuwa na pesa nyingi namna hiyo basi bakuli lisngetembezwa, ni wachache wanaoishi huko kwa Biden ambao utasema hata huko Bongo nako wamejiwekeza, muulize Le Mutuz atakuambia vizuri hali ya maisha ya ughaibumi hasa US.
 
Mkuu si kweli ni mfanyakazi gani wa kawaida Marekani analipwa USD 25 kwa saa, na ni mji gani wanalipa kiasi hicho, pia tumeona pale yakitokea matatizo ya msiba bakuli linatembezwa hadi Bongo, kungekuwa na pesa nyingi namna hiyo basi bakuli lisngetembezwa, ni wachache wanaoishi huko kwa Biden ambao utasema hata huko Bongo nako wamejiwekeza, muulize Le Mutuz atakuambia vizuri hali ya maisha ya ughaibumi hasa US.
Kwa hivyo hamna watu wanaolipwa hivyo mkuu? Tupige ration ya $15 tu kwa masaa 8 ni bei gani!? Almost 35k kwa lisaa ukipiga times 8 ni kama 280K hivi!

Nani anaingiza hio hela kwa siku kwa sie wa mtaani kama sio sadali wa ngada au ndumu labda uwe dalali!
 
Back
Top Bottom