Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Yellow!!Hivi Amir Khan mcheza muvi wa india mweupe au mweusi? Jet li wa china mweupe au mweusi?
Black
White
Yellow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yellow!!Hivi Amir Khan mcheza muvi wa india mweupe au mweusi? Jet li wa china mweupe au mweusi?
Inasikitisha sana.Ilishapostiwa hapa mkuu, lakini asante kwa kutuhabarisha.
Kijana wa kitanzania afariki kwa kupigwa risasi,ughaibuni,ni baada ya kugongana na gari na kijana wa kizungu.Kijana wa kitanzania,alikuwa yuko chuo,anasomea IT.View attachment 1980977
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalala sanaKijana wa kitanzania afariki kwa kupigwa risasi,ughaibuni,ni baada ya kugongana na gari na kijana wa kizungu.Kijana wa kitanzania,alikuwa yuko chuo,anasomea IT.View attachment 1980977
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi,wakati ni hili jambo la kuhuzunisha,lipewe kipya umbrle,ili listokee kama hilo tena,kokote duniani.Mkuu ulikuwa huna bando au jela?
Hilo jambo ni kubwa,lipewe kipya umbrle,listokee tena.Unalala sana
Kivipi,wakati ni hili jambo la kuhuzunisha,lipewe kipya umbrle,ili listokee kama hilo tena,kokote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio,lakini,hili jambo sio dogo,lipewe uzito,lisijirudie.Namaanisha hii habari ilishawekwa humu siku ile ile ya tukio.
Lakini aliyeuliwa ni mtanzania mwenzetu,lazima tuwe na huzuni.Na pia lisijirudie tena,kwa kulihabarisha kwa wengi.Huku kwetu hayo matukio ni machache sana,kwa wenzetu ndio mengi sana hayo mavitu,ukizingua watu wanakupa BOMBA.
Lakini aliyeuliwa ni mtanzania mwenzetu,lazima tuwe na huzuni.Na pia lisijirudie tena,kwa kulihabarisha kwa wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
MzuzuriDitopile
In honor of my neighbor, literally village mate and gone Humphrey Magwira, with sincere grief and concern I condemn the merciless act he encountered. Vasquez's shooting on our fellow is deemed purely cold-blooded and wish and pray that the killer faces merciless punishment or even for fairness, death punishment. Few weeks ago an uncle of the passed away Humphrey came home renting more than fifty plastic chairs for the funeral ceremony and mass, we mourned and buried the deceased body in parish set graveyard Igota within the parish compounds. May God rest his soul in peace and ease the grieved hearts of the berieved!Kwenye hii habari hakuna mahali wametanabaisha kuwa aliyeuawa ni mtanzania
FORT BEND COUNTY, Texas (KTRK) -- Authorities in Fort Bend County have arrested a 19-year-old for the "senseless" killing of a driver who they say was shot and killed after the two men were involved in a minor crash Friday.
According to officials, Ramon Vasquez is said to have shot Humphrey Magwira multiple times at the intersection of Beechnut and Addicks-Clodine in the Mission Bend neighborhood.
Magwira, 20, was less than a mile away from his home at the time of the shooting. He suffered multiple gunshot wounds before he was flown to a hospital where he later died.
Doorbell video from the area showed Magwira's car T-bone Vasquez's vehicle at the intersection.
Almost instantly, Vasquez stepped out of his vehicle, fired six shots, then got back in his car and sped off.
Vasquez was later arrested and charged with murder.
He's now in the Fort Bend County Jail. His bond was set at $500,000.
"Totally inappropriate actions of one individual to kill another human over some bent metal," one investigator commented. "It's very upsetting. It's senseless."
The entire incident happened in less than 20 seconds.
Those who lead and live in that community commented about the shooting.
"We're talking about a neighborhood here in our county that is, obviously, heavily populated with several homes," said Fort Bend County Sheriff's Office spokeswoman Jacqueline Preston. "It certainly could have been much worse than it was."
"I was very terrified, because I work out outside here," said a neighbor who was awakened by the sound of the shooting. "So, I could have gotten caught in the crossfire."
Investigators originally said it appeared to be a case of deadly road rage, but later said it was not.