funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Mtu kumiliki laptop ya laki 5 kageuka kuwa IT guru? Wabongo jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kumiliki laptop ya laki 5 kageuka kuwa IT guru? Wabongo jamani
Ni computer engineer wa chuo kikuu maarufu USA na anaandika makala ForbesMtu kumiliki laptop ya laki 5 kageuka kuwa IT guru? Wabongo jamani
Hawa jamaa mara nyingi ni wavuta bangi, unga na ni wahuni kweli na wala hawajali kuhusu mungu.Kuna binadamu hawana huruma. Mtu kama huyu kabla hajaua hakusikia ile sauti inayokuonya kabla hujafanya tendo baya? Maana hiyo sauti ipo kwa kila binadamu.
Mara nyingi hiyo sauti inatoaga onyo, usifanye hivyo, matokeo yake ni mabaya, Mungu hapendi.
Ninadamu sisi niwabishi. Sasa ndugu pande zote muuaji na ndugu wa marehemu wako ktk haki gani muda?
Mungu awape wepesi, apumzike kwa amani mdogo wetu.
No, kushoot mtu mpaka kifo sio kitendo cha kawaida cha kuweza kufanya bila ya kuwa na bad background au mazoea na haimake sense kwamba ukiwa kwenye bad mood basi unatoka na unamshoot mtu to death.Hiyo ni bange tu!! Unamkumbuka ditopile wa mzuzuri!! Kwa vile kuna tofauti ya rangi tutasema ubaguzi, ila ni hulka ya binadamu kutokana na state aliyopo in emotions, labda kaachwa na mpenziwe muda sio mrefu!!
weupe ni watu wasio kuw na melanin kabisa hawatofautianHakuna sehemu niliposema mzungu nimesema mweupe, Duniani kuna mtu mweusi na mweupe tu hao wahindi wekundu hawana tofauti ki rangi na John Deep
Sasa kwa sifa hizi zote kina Mange ndio waanze kusumbuwa watu kuchangia pesa ya kusafirisha mwili wake Tanzania? Kweli jameni?Ni computer engineer wa chuo kikuu maarufu USA na anaandika makala Forbes
Kwani mayahudi aliowauwa Hilter walikuwa race gani? Usijibu swali hili ksma huwajui Jewish.weupe ni watu wasio kuw na melanin kabisa hawatofautian
sana na albinos ukifuatilia mauaji ya adolf hitler kwa wayahudi million 2 ilikuw ni mambo ya
ubaguzi wa rang kama huo .
sababu kubwa ya ubaguzi ni hawataki race yao ipotee course mzungu(weupe) akizaa na colored people
by default mtoto atakuwa colored na yeye hivo itapoteza race yao,
Ndio maana adolf hitler hakuua tu colored people pia mashoga course hawakuwa na faida kweny kuongeza race yao.
Najua kimoja, hao ni colored peopleKwani mayahudi aliowauwa Hilter walikuwa race gani? Usijibu swali hili ksma huwajui Jewish.
Matumizi ya huko makubwa , inawezekana hicho kipato alichoanza kuingiza kinakuwa bado hakijaanza kujaa.Sasa kwa sifa hizi zote kina Mange ndio waanze kusumbuwa watu kuchangia pesa ya kusafirisha mwili wake Tanzania? Kweli jameni?
Maiti kwenye ndege inasafirishwa kama mzigo tu, inapimwa kilo mnalipia Bongo wanakwenda kupokelea cargo.Matumizi ya huko makubwa , inawezekana hicho kipato alichoanza kuingiza kinakuwa bado hakijaanza kujaa.
Nafurahishwa na Watanzania wanaokwenda nje na kufanya mambo makubwa ya maendeleo au kuwa na ndoto kubwa sio unakwenda nje halafu ni kwenda Klabu za usiku hata familia uliyoicha Tanzania huchangii chochote.
Nigeria uchumi wao umekuwa moja wapo ya sababu ni ya ela inayotumwa na wanigeria wa USA na nchi nyingine
Mmmmh hatariHawa jamaa mara nyingi ni wavuta bangi, unga na ni wahuni kweli na wala hawajali kuhusu mungu.
ni gangsters na texas ndio paradise.
Binafsi naamini ni chuki zile zile za ubaguzi wa rangi. Alipata sababu tu alipogongwa na huyo dogo!Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Source?Kuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa [emoji848] habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
===========
Mamlaka katika Kaunti ya Fort Bend huko Texas wamemkamata kijana wa miaka 19 kwa mauaji ya kijana Mtanzania Humphrey Magwira kwa kumpiga risasi baada ya magari ya wawili hao kugongana.
Kulingana na maafisa hao, Ramon Vasquez anasemekana kumpiga risasi Humphrey mara kadhaa katika eneo la makutano ya Beechnut na Addicks-Clodine katika kitongoji cha Mission Bend.
Magwira, 20, alikuwa umbali wa chini ya maili moja kutoka nyumbani kwake wakati alipopigwa risasi ambazo zilimuacha na majeraha mengi ya kabla ya kupelekwa hospitali ambako baadaye alifariki.
============
FORT BEND COUNTY, Texas (KTRK) -- Authorities in Fort Bend County have arrested a 19-year-old for the "senseless" killing of a driver who they say was shot and killed after the two men were involved in a minor crash Friday.
According to officials, Ramon Vasquez is said to have shot Humphrey Magwira multiple times at the intersection of Beechnut and Addicks-Clodine in the Mission Bend neighborhood.
Magwira, 20, was less than a mile away from his home at the time of the shooting. He suffered multiple gunshot wounds before he was flown to a hospital where he later died.
Doorbell video from the area showed Magwira's car T-bone Vasquez's vehicle at the intersection.
Almost instantly, Vasquez stepped out of his vehicle, fired six shots, then got back in his car and sped off.
Vasquez was later arrested and charged with murder.
He's now in the Fort Bend County Jail. His bond was set at $500,000.
"Totally inappropriate actions of one individual to kill another human over some bent metal," one investigator commented. "It's very upsetting. It's senseless."
The entire incident happened in less than 20 seconds.
Those who lead and live in that community commented about the shooting.
"We're talking about a neighborhood here in our county that is, obviously, heavily populated with several homes," said Fort Bend County Sheriff's Office spokeswoman Jacqueline Preston. "It certainly could have been much worse than it was."
"I was very terrified, because I work out outside here," said a neighbor who was awakened by the sound of the shooting. "So, I could have gotten caught in the crossfire."
Investigators originally said it appeared to be a case of deadly road rage, but later said it was not.
View attachment 1978277
Humphrey Magwira
View attachment 1978319
Ramon Vasquez, kijana ambaye anashikiliwa na mamlaka za polisi kwa mauaji ya Humphrey Magwira
Huyo aliyempiga risasi siyo mzungu, hata yeye yupo kwenye kundi la wabaguliwa.Binafsi naamini ni chuki zile zile za ubaguzi wa rangi. Alipata sababu tu alipogongwa na huyo dogo!
Basi BANGEHuyo aliyempiga risasi siyo mzungu, hata yeye yupo kwenye kundi la wabaguliwa.