Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo muuaji aje afungwe jela za Tz afumuliwe marinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lake linaonyesha ni brown { Latino]Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Katoboa sikioRAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!
![]()
Mmmh Wana vurugu kinoma basNi kweli kabisa hili tatizo ni kubwa sana na haliwezi kuisha
Kumbuka wakati Obama alipoingia madarakani alilivalia njuga na kutaka lifanyiwe kazi, ila nguvu yote iliisha maana kama nilivyosema hapo juu ni biashara kubwa inayowaingizia kipato
Haijulikani ni kiasi gani cha wananchi wanaomiliki silaha USA maana wengi wanauziana bila taarifa na wengine wananunua mpaka silaha 100 bila kuhojiwa
Yaani ukitaka uwe na arsenal yako mwenyewe ni wewe tu
Unakuwa na kajeshi kako mwenyewe
Huu ni mtihani
Nakumbuka nilikuwa nafanya kazi sehemu UK kulikuwa na jamaa alidundunduliza hela awapeleke watoto wake Orlando
Siku wameondoka wali book nyumba na gari pia kufika huko wameoga wakasema waende supermarket kununua mahitaji
Ile wanashuka kwenye gari kumbe kuna majambazi wamevamia hapo na risasi zinapigwa
Siku ya nne namuona jamaa karudisha familia anasema huko sio kwa kwenda bora aje kuangalia wanyama [emoji23]
RAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!
![]()
Hakuna sehemu niliposema mzungu nimesema mweupe, Duniani kuna mtu mweusi na mweupe tu hao wahindi wekundu hawana tofauti ki rangi na John DeepJina lake linaonyesha ni brown { Latino]
Mmmh Wana vurugu kinoma bas
Kuna vitu hujapitia mkuu ni ngumu kuelewa, lakini mara nyingi wauaji wanasema wakishaua mara moja, ile trauma (PTSD) ya mauaji ya kwanza inapelekea wanakuwa kama akili imeswitch, hivyo lazima tu kuna matukio utajikuta umeua tena. Huyo jamaa inawezekana ameshaua watu zaidi hata ya 20 lakini hii kesi ndiyo vyombo vya sheria vikafanikiwa kumkamata.Kuna binadamu hawana huruma. Mtu kama huyu kabla hajaua hakusikia ile sauti inayokuonya kabla hujafanya tendo baya? Maana hiyo sauti ipo kwa kila binadamu.
Mara nyingi hiyo sauti inatoaga onyo, usifanye hivyo, matokeo yake ni mabaya, Mungu hapendi.
Ninadamu sisi niwabishi. Sasa ndugu pande zote muuaji na ndugu wa marehemu wako ktk haki gani muda?
Mungu awape wepesi, apumzike kwa amani mdogo wetu.
Wewe vipi umekaa Tz miaka yako yote unaweza kutoa $20,000 bila kujiandaa?!Hapa ndipo nachoka na wabeba box ,yaani wamekaa huko USA zaidi ya miaka 10 lakini usd 20,000 mpaka watembeze MABAKULI.
Wale jamaa wenye viwanda vya kutengeneza silaha hawawezi kukubali abadani asilani, they are capable of anything, ikiwemo kuhakikisha Rais hashindi awamu inayofuata. Hili ni janga kwa US na kwa dunia nzima linakuja.Inasikitisha sana! Kwa nini binadamu anaweza kuwa mnyama wa kiwango hiki!
US, waombee siku moja atokee kiongozi atakayejitolea kuongoza mhula mmoja, akiwa madarakani asukume agenda ya kufanyia mabadiliko makubwa ya sheria ya umilikaji silaha ili kuwa na masharti magumu sana ya mtu kupata kibali cha kumiliki silaha. Siyo jambo rahisi, kwa kuzingatia nguvu walizonazo wamiliki wa viwanda vya kutengeneza silaha na kile chama cha wamiliki silaha, lakini inawezekana.
Dogo aliyezingua ana asili ya Latin America naye ni mbaguliwa tu...nahisi ni bangi tu na ujanaDogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Kabisa hata hivyo wanasema damu ya mtu lazima imuandame. Ndo 40 zomefika sasaKuna vitu hujapitia mkuu ni ngumu kuelewa, lakini mara nyingi wauaji wanasema wakishaua mara moja, ile trauma (PTSD) ya mauaji ya kwanza inapelekea wanakuwa kama akili imeswitch, hivyo lazima tu kuna matukio utajikuta umeua tena. Huyo jamaa inawezekana ameshaua watu zaidi hata ya 20 lakini hii kesi ndiyo vyombo vya sheria vikafanikiwa kumkamata.
Hebu tafakari, kijana mdogo kama huyo amekuwa katili hivyo, future yake itakuwaje? Hapo ana miaka 19, akifikisha miaka 40 itakuaje?!Kabisa hata hivyo wanasema damu ya mtu lazima imuandame. Ndo 40 zomefika sasa
Hakuna cha matibabu ni ubaguzi wa rangi, baadhi ya wazungu wanaona ngozi nyeusi kama laana vile.Hebu tafakari, kijana mdogo kama huyo amekuwa katili hivyo, future yake itakuwaje? Hapo ana miaka 19, akifikisha miaka 40 itakuaje?!
Lakini kama atapata matibabu ya kisaikolojia anaweza kusamehe past yake na akaendelea na maisha kama raia wa kawaida. Lakini asipokuwa chini ya uangalizi mzuri na yeye lazima tutasikia ameuawa ama ameua tena.
Wewe ndio unalazimisha hivi, ni sawa na kulazimisha duniani kuna dini mbili tu, Ukristo na Uislamu kwa sababu ndio mwisho wa upeo wako wa kuelewa mambo.Hakuna sehemu niliposema mzungu nimesema mweupe, Duniani kuna mtu mweusi na mweupe tu hao wahindi wekundu hawana tofauti ki rangi na John Deep
Msiba uko wapi huku bongo?Kuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa 🤔 habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
![]()
20-year-old shot and killed almost instantly by suspect after minor crash, FBCSO says
Authorities say the victim, who was driving, hit the shooter's car just moments before the teenage gunman reportedly opened fire.abc13.com
Narudia tena nimesema mweupe na si mzunguWewe ndio unalazimisha hivi, ni sawa na kulazimisha duniani kuna dini mbili tu, Ukristo na Uislamu kwa sababu ndio mwisho wa upeo wako wa kuelewa mambo.
Nenda South Africa tu hapo kuna White, black, coloured na Indian.
Wewe huna unalolielewa hapa duniani, lack of exposure.
Ona sasa wegawana majengo ya SerikaliUjana! Una-drive, unamiliki silaha, nk. Hizi sinema ni nzuri lakini ni mbaya sana. Ni uongo ambao wameufanya uonekane ni uhalisia.
Utemiutemi nk. Vijana wanaiga.
Angalia umri wenyewe, 20 kwa 19.