RAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!