Tumepoteza kijana huko Houston, Texas. RIP Humphrey Magwira

Tumepoteza kijana huko Houston, Texas. RIP Humphrey Magwira

Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Bange tu
 
Kuna binadamu hawana huruma. Mtu kama huyu kabla hajaua hakusikia ile sauti inayokuonya kabla hujafanya tendo baya? Maana hiyo sauti ipo kwa kila binadamu.
Sauti hiyo huwa haidumu milele kwa mtu, ni endapo tu unakuwa una itii, ukikaza moyo mara kwa mara na kwenda kinyume chake, inafifia na kufa kabisaa, hapo sasa ni wewe na macho yako, akili yako!

Watoto wadogo wanayo, na moja ya matokeo yake ni kujua ovu na kuogopa kulitenda.

Mfano ni kama mtoto wakiume anayeanza kunamna gani kwa mara ya kwanza, akimwaga tu, anaanza kujutia na haoni kwanini alifanya hivyo na pengine kujisemea sitorudia tena mpaka muda sahihi ufike. Kisha muda unakuja, anatamani tena kwa kile alichoki-feel siku hiyo, vitamanishi viko mbele yake, pengine vizuri na vimenona, kitendea kazi kinasimama ovyo ovyo, nyuzi 45, sauti inamuonya, akili na macho vinamchochea, moyo unamdunda kwa uwoga, akitekeleza tu, moyo una slow down tena, sauti haipo, anabakiwa na kumbukumbu ya maonyo ya sauti, anajutia tena, utaratibu huu unaendelea mpaka sauti inakoma, moyo haudundi kwa spidi tena unapoelekea gesti hata na mke/mume wa mtu, mtoto wa shule n.k

Hapo sauti imekufa, unabakiwa na watu wenye busara kukuasa, sheria za nchi kukuongoza, si huna tena muongozo wa ndani! Ndo hata kumfyatulia mtu risasi kwa issue ya kugonga gari inapokuja, ingawa wanaweza sema magonjwa ya akili yanachangia.
 
Sauti hiyo huwa haidumu milele kwa mtu, ni endapo tu unakuwa una itii, ukikaza moyo mara kwa mara na kwenda kinyume chake, inafifia na kufa kabisaa, hapo sasa ni wewe na macho yako, akili yako!

Watoto wadogo wanayo, na moja ya matokeo yake ni kujua ovu na kuogopa kulitenda.

Mfano ni kama mtoto wakiume anayeanza kunamna gani kwa mara ya kwanza, akimwaga tu, anaanza kujutia na haoni kwanini alifanya hivyo na pengine kujisemea sitorudia tena mpaka muda sahihi ufike. Kisha muda unakuja, anatamani tena kwa kile alichoki-feel siku hiyo, vitamanishi viko mbele yake, pengine vizuri na vimenona, kitendea kazi kinasimama ovyo ovyo, nyuzi 45, sauti inamuonya, akili na macho vinamchochea, moyo unamdunda kwa uwoga, akitekeleza tu, moyo una slow down tena, sauti haipo, anabakiwa na kumbukumbu ya maonyo ya sauti, anajutia tena, utaratibu huu unaendelea mpaka sauti inakoma, moyo haudundi kwa spidi tena unapoelekea gesti hata na mke/mume wa mtu, mtoto wa shule n.k

Hapo sauti imekufa, unabakiwa na watu wenye busara kukuasa, sheria za nchi kukuongoza, si huna tena muongozo wa ndani! Ndo hata kumfyatulia mtu risasi kwa issue ya kugonga gari inapokuja, ingawa wanaweza sema magonjwa ya akili yanachangia.
Watoto wadogo wanayo, na moja ya matokeo yake ni kujua ovu na kuogopa kulitenda

Mimi hii sauti ninayo mpaka ukubwa huu sema ndo hivyo dhambi ndogo ndogo natenda ila natubu mwenyewe baadae😂😂😂

utaratibu huu unaendelea mpaka sauti inakoma, moyo haudundi kwa spidi tena unapoelekea gesti hata na mke/mume wa mtu, mtoto wa shule n.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Hiyo ni bange tu!! Unamkumbuka ditopile wa mzuzuri!! Kwa vile kuna tofauti ya rangi tutasema ubaguzi, ila ni hulka ya binadamu kutokana na state aliyopo in emotions, labda kaachwa na mpenziwe muda sio mrefu!!
 
Wamarekani pale waliporuhusu matumizi ya silaha ni kama na akili zao ziliharibiwa na silaha hizo. Mana kila siku ni kupigana risasi mashuleni,masupermarket,makanisani nk. Kwakweli ni hali inatisha.

Biashara ya silaha inajumuisha watu wakubwa wengi na faida ni kubwa hawawezi kuifuta
Ni kama sigara
 
Ramon Vasquez ni jina la kihispania
Atakuwa na chuki na watu weusi huyo ama ni muuza unga
Haiwezekani kugongwa kidogo tena wanasema minor atoe pistol na kumpiga rasa si Sita
Inauma sana kijana mdogo huyo

Poleni sana wafiwa Mungu awape subra katika huu wakati mgumu
 
Haiwezekani. Silaha ni biashara kubwa kuliko unavyoijua Marekani. Wanatumia ushawishi wao wa kiuchumi kuwanunua wabunge ili kutetea biashara yao.

Angalia wafadhili wa kampeni za uraisi, utakuta wao ni sehemu kubwa ya chanzo cha hela za kampeni hivyo wanakuwa wamemuweka raisi kibindoni. Endapo hawakumuweka raisi kibondoni basi wabunge. Wengi wa wabunge wananufaika na mauzo ya bunduki kifedha, alafu pia, Marekani kama nchi inauza silaha duniani kote hivyo hawawezi kukubali biashara ife. Bepari anathamini hela kuliko uhai wako
Halafu hawa mabwege wanatuhubiria sisi kuhusu democracy msyuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom